< Matendo 3 >

1 Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala.
Bitrus nan Yohana wahazi inni yeh udenge Asere.
2 Na pale karibu na mlango wa Hekalu uitwao “Mlango Mzuri”, palikuwa na mtu mmoja, kiwete tangu kuzaliwa. Watu walimbeba huyo mtu kila siku na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia Hekaluni.
Sa wabiki upuru ana tukum ariri wadusa wa iri uru nu ma ciki carki ayome sarki tanu, ake ayeze a inki ahirame koya ni sisizo mamiki urigiza utari anabu wa nyangizi adudo.
3 Alipowaona Petro na Yohane wakiingia Hekaluni, aliwaomba wampe chochote.
Sa ma ira Bitrus nan Yohana wa udenge Asere ma rikuwe tari.
4 Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”
Bitrus nan Yohana warikuwe je, magu, iran duru”.
5 Naye akawageukia, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
Iriba ime idusa ikuri a hirawe inu basa madi kin iri, mum ahira awe.
6 Kisha Petro akamwambia, “Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!”
Bitrus magu, “Inzom inni kirifi sandi nyawe ba, imumbe san zini ine ini indi nyawe, a nyimo ani za ni Yeso unu zatu madini.
7 Halafu, akamshika mkono wa kulia, akamwinua. Papo hapo miguu na magoti yake yakapata nguvu.
Bitrus ma meki tari tinare tumeme ma hirzame mahiri tihihira timeme tiwitino inni kara.
8 Akaruka, akasimama na kuanza kutembea. Halafu akaingia pamoja nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu.
Mahiri fagat, ma tunno, matubi tanu, maribe anyumo udenge Asere nan we unnu hinzina inni nonzo na Asere.
9 Watu wote waliokuwa hapo walimwona akitembea na kumsifu Mungu.
Vat anu wa irime mahhaka inu, haka ununzo Asere.
10 Walipomtambua kuwa ndiye yule aliyekuwa anaombaomba karibu na ule “Mlango Mzuri” wa Hekalu, wakashangaa mno hata wasiweze kuelewa yaliyompata.
Wairime memani desa ma cukuzuno ana tukum a riri aginome uribi ze udenge Asere bi yau bi mekuwe kan imumbe sa awuza me.
11 Watu wote, wakiwa na mshangao mkubwa wakaanza kukimbilia mahali palipoitwa “Ukumbi wa Solomoni,” ambapo yule mtu alikuwa bado anaandamana na Petro na Yohane.
Mara anyimo inta Bitrus nan Yohana anu wa sumi, uhana, ukagunna nan we anyimo anikubu sa atisa, nikubu ni Solomon imum ibiyau imikuwe.
12 Basi, Petro alipowaona watu hao akawaambia, “Wananchi wa Israeli, kwa nini mnashangazwa na jambo hili? Mbona mnatukodolea macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya mtu huyu aweze kutembea?
Sa Bitrus ma ira anime ma bukiwe shi, unu Isaraila, nyanini ya wu ikuna biyau? aneni ya inkon duru aje gusi tahiri zame inni kara niruni?
13 Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Yesu mtumishi wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru.
Asere Ibrahim, nan Ishaku, a Yakubu, acokoro utuba ma nunzi ka urere ume Yeso nan uzika urere ume Yeso, de sa ya nya, game, aje a Bilatus, sa ma zikin inguna madi cekime.
14 Alikuwa mtakatifu na mwema; lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa muuaji afunguliwe.
Na iri me unu lau, nan nukabanu ugime agi aceki shi unu huzanu.
15 Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uzima. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo.
Isabi hu nitini nu vengize uzatu mara. Asere a hirza me a mu cau, haru ta ira anime.
16 Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona nyote.
Aname nizanime nini, uham inni za nimeme, ini yanya unu ugino sa ihira irusa nikara, anime ani uhem in Yeso wa nyame ni huma a ve ashi me.
17 “Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda hayo kwa sababu ya kutojua kwenu.
Aname, nihenu, in rusa utasa utame uni uzi ya wuza anime, kasi a ana je ashime wa wu zi anime.
18 Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake ateseke.
A, anime Asere a myinca mtize time mu atinyo tanu kurzu utize, Yeso Kristi madiziti.
19 Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.
A, anime cekini imomu izenzeng, gamirkani, barki a visa madini mashi me, Ugomo Asere ma nya shi ni huma.
20 Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu.
Ma tumi innunu zatu umadini sa nyara shi dati unu nu utuba me mani, Yeso.
21 Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani. (aiōn g165)
Me mani desa tigomo ta sereti nyara ukabi barki uganiya udati ubarka utimumum, sa Ugomo Asere manya atinyo tanu kurzuzzo utize ti lau. (aiōn g165)
22 Kwa maana Mose alisema, Bwana Mungu wenu atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe.
Musa magu, Ugomo Asere madi hirza shi ure unu kurzo anyimo'anu henu shime, kasibe sa ma hirzam, kadure kani i kunna imumbe sa mabuki.
23 Yeyote yule ambaye hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali na watu wa Mungu na kuangamizwa.
Idi cukuno vat de sa makunna unu kurzuzo tizetige me madi ribe ijas.
24 Manabii wote, kuanzia Samweli na wale waliomfuata, walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa yakitendeka siku hizi.
E, Samaila ma bu aban ga gino me, vat tize ti inde me tini.
25 Ahadi zile Mungu alizotoa kwa njia ya manabii ni kwa ajili yenu; na mnashiriki lile agano Mungu alilofanya na babu zenu, kama alivyomwambia Abrahamu: Kwa njia ya wazawa wako, jamaa zote za dunia zitabarikiwa.
Shi ahana anu kurzuzo tize tini sa Ugomo Asere ma inki tize nanaka co ushime utuba, bishime vat nan tikura tishime anyimo une me wakim uringiringirka.
26 Basi, ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake.”
Sa, Asere mahirza udura u meme matubi matumime ahira ashime barki maringirkashi maro mashime ma kini tihara tiburi.

< Matendo 3 >