< Matendo 27 >
1 Walipokwisha amua tusafiri mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine chini ya ulinzi wa Yulio aliyekuwa ofisa wa jeshi katika kikosi kiitwacho “Kikosi cha Augusto.”
Bho jhiamulibhu kujha twilondeka kusafiri kwa masi kulota Italia, bhan'kabidhi Paulo ni bhafungwa bhangi kwa afisa mmonga bhwa jeshi la Kiroma jhaakutibhweghe Julio, ghwa kikosi kya Agustani.
2 Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji wa Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi.
Twakweli meli kuhoma Adramitamu, ambajho jhajhele isafiriajhi mundemandema jha pwani jha Asia. Hivyo tukajhingila baharini. Aristaka kuhoma Thesolanike jha Makedonia akalota pamonga ni tete.
3 Kesho yake tulitia nanga katika bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.
Ligono lyalakesisi tukasopa nanga mu mji bhwa Sidoni, ambapo Julio ambombili Paulo kwa ukarimu ni kunduhusu kulota kwa bharafiki zake kupokela ukarimu bhwa nene.
4 Kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha Kupro ambapo upepo haukuwa mwingi.
Kuhoma api tokalota mu bahari twasafiri kusyongoka kisiwa kya Kipro ambakyo kya k'engibhu ni m'pongo, kwa ndabha m'pongo utusumbuleghe.
5 Halafu tulivuka bahari ya Kilikia na Pamfulia, tukatia nanga Mura, mji wa Lukia.
Baada jha kusafiri mmasi kalibu ni Kilikia ni Pamfilia, tukahida Mira, mji bhwa Lisia.
6 Hapo yule ofisa alikuta meli moja ya Aleksandria iliyokuwa inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani.
Pala jhola afisa ghwa jeshi lya Kiroma, ajhikolili meli kuhoma Alexandria ambajho jhilondeghe kusafiri kulota Italia. Akatukwesya mugati.
7 Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na Nido. Kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.
Baada jha kusafiri molimoli kwa magono mingi ni hatimaye twfikili kwa tabu karibu ni Kinidas, m'pongo ghwa turuhusuili lepi kabhele kulota njela ejhu hivyo twasafiri mundemandema jha kivuli kya Krete khoni twikikenga mp'ongo, mkabala ni Salmone.
8 Tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo “Bandari Nzuri”, karibu na mji wa Lasea.
Twasafiri mundemandem jha pwani kwa ukakatafu, mpaka tukafika mahali papakutibhu Fari Haveni ambajho ijhele karibu ni mji bhwa Lasi.
9 Muda mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo:
Twatolili muda umelele muni, ni muda bhwa mfungo ghwa Kiyahudi ghwajhele umalikupea kabhele, na henu jhajhele ni hatari kujhendelela kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
10 “Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu.”
ni kujobha, “Bhagosi, nibhona safari jha twilonda kulota ejhe ni madhara ni hasara simehele, siyo tu jha misighu ni meli, lakini ni jha maisha gha jhotu.”
11 Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema Paulo.
Lakini afisa ghwa jeshi la Kiroma akampelekesya zaidi bwana ghwa muene ni mmiliki ghwa meli, kuliko mambo ghala ghaghalongelibhu ni Paulo.
12 Kwa kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea kuendelea na safari, ikiwezekana mpaka Foinike. Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi.
Kwandabha bandari jhajhelepi sehemu rahisi kutama wakati bhwa mepu, mabaharia bhingi bhashauriri tusafiriajhi kuhoma pala, ili kwa namna jhejhioha tubhwesiajhi kubhufikila mji bhwa Foinike, tutamayi pala bhwakati bhwa mepu. Foinike ndo bandari okhu Krete, na jhilola kaskazini mashariki ni kusini mashariki.
13 Basi, upepo mzuri wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo lao; hivyo wakang'oa nanga, wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete.
Mp'ongo ghwa kusini bho bhujhendili kubhuma molimoli, mabaharia bhakafikirira kujha bhamalili kukabha kya bhakilondeghe. Bhakajhonja nanga ni kusafiri mundemandema jha Krete karibu ni pwani.
14 Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao “Upepo wa Kaskazi” ulianza kuvuma kutoka kisiwani.
Lakini baada jha muda mfupi mp'ongo n'kali, bhwabhukutibhweghe bhwa kaskazini mashariki, ukajhanda kututobha kuhoma kwiselya jha kisiwa.
15 Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo.
Wakati meli ijhelemibhu ni kushindwa kubhukali mp'ongo, tukajhedekelana ni hali ejhu, tukasafirisibhwa nabhu.
16 Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli.
Tukajhumba kup'etela lubhafu lwa luukingighe mp'ongo bhwa kisiwa kyakikutibhweghe Kauda; ni kwa taabu sana twafanikibhu kuokola bhwatu.
17 Wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya Libya. Kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo.
Baada jha kujha bhabhufutili, bhatumili ngojhi kuuk'onga meli. Bhatileghe kujha ngatubhwesi kulota ku lieneo lya n'sanga ghumehele lya Syiti, hivyo bhakaselesya nanga na bhagendesibhu mundemandema.
18 Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.
Twatobhibhu kwa nghofu sana ni linyegha, hivyo ligono lyalyifwatili mabaharia bhakajhanda kusopa misighu kuhoma mu meli.
19 Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.
Ligono lya tatu, mabaharia bhakayanda kup'omba masi kwa mabhoko gha bhene.
20 Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona jua wala nyota; dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka yakatuishia.
Wakati ambapo lijobh ni litondo syatumuliki lepi kwa magono mingi, bado linyegha libhaha lyatutobhili, ni matumaini kujha tubetakuokolibhwa ghabhokili.
21 Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, “Waheshimiwa, ingalikuwa afadhali kama mngalinisikiliza na kuacha kusafiri kutoka Krete. Kama mngalifanya hivyo tungaliiepuka shida hii na hasara hizi zote.
Baada jha kujha bhalotili muda mrefu bila kyakulya, apu Paulo akajhema pagati pa mabaharia akajobha, “Bhagosi, mlondekeghe mnip'elekesiajhi, ngatubhokilepi kuhoma Krete, ili kukabha agha madhara ni hasara.
22 Lakini sasa ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea.
Na henu nikabhafariji mkipelayi muoyo, kwa ndabha kubetalepi kujha ni upotefu bhwa maisha kati jha muenga, isipokujha hasara jha meli tu.
23 Kwa maana jana usiku malaika wa yule Mungu ambaye mimi ni wake na ambaye mimi ninamwabudu alinitokea,
Kwa ndabha kiru kya kilotili malaika ghwa K'yara, ambajhe K'yara ojhu nene ne ghwa muene, ni ambajhe nikamwabudi kabhele - malaika ghwa muene ajhemili palubhafu pa nene
24 akaniambia: Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu, kwa wema wake, amekufadhili kwa kuwaokoa wote wanaosafiri nawe wasiangamie.
ni kujobha, “Usitili Paulo. Lazima ujhemayi palongolo Kaisari, na langayi, K'yara ku bhunofu bhwa muene akupelili abha bhoha ambabho bhisafiri pamonga ni bhebhe.
25 Hivyo, waheshimiwa, jipeni moyo! Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa.
Efyo, bhagosi, mukipelayi muoyo, kwandabha nikan'kier K'yara, kujha ibetakujha kama kyanibhajobhili.
26 Lakini ni lazima tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani.”
Lakini lazima tulamatayi kwa kutobhibhwa mu baadhi jha fisibhwa.”
27 Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
Bho ufikili kiru kya kumi na nne, bho twigendesibhwa okhu ni okhu mu bahari jha Adratik, kama kiru kya manane naha, mabaharia bhafikirileghe kujha bhikaribila kundema.
28 Hivyo walitafuta kina cha bahari kwa kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita arobaini. Baadaye wakapima tena wakapata mita thelathini.
Bhatumili milio kup'ema kina kya masi nabhakabhaka mita thelathini na sita, baada jha muda mfupi bhakap'ema kabhele bhakakabha mita ishirini na sita, baada jha muda mfupi bhakap'ema kabhele bhakakabha mita ishirini na saba.
29 Kwa sababu ya kuogopa kukwama kwenye miamba, waliteremsha nanga nne nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi.
Bhatilili kujha bhibhwesya kugonga miamba, hivyo bhakaselesya nanga sinchenche kuhomela sehemu jha lukhela jhihidayi manyata.
30 Wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.
Bhala mabaharia bhakajha bhilonda bhaselisi maboti mu masi madebemadebe gha kuokolela maisha, na bhakajha bhikifuanya bhisopa nanga pa sehemu jha palongolo jha liboti.
31 Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.”
Lakini Paulo akan'jobhela jhola askari ghwa jeshi la Kiroma ni bhala askari, “Mwibhwesya lepi kuokoka isipokujha bhanu abha bhibakila mu meli”.
32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.
Kisha askari bhala bhakadumula mighojhi jha liboti ni kujhileka jhitolibhwayi ni masi.
33 Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: “Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.
Wakati mwanga ghwa lukhela ghwihoma, Paulo akabhasihi bhoha angalau bhala bhadebe. Akajobha, “Ejhe ligono lya kumi na nne mwilendela bila kulya mlilepi khenu.
34 Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.”
Hivyo nikabhasihi mtolayi kyakulya kidebe, kwandabha ejhe kwandabha jha kuishi kwa muenga; na lujhelepi hata lujhusili lumonga pamitu ghya jhomu lwalibetakujhagha.
35 Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula.
Abhoamali kujobha aghu, akalota n'kate akan'shukuru K'yara palongolo jha mihu gha khila munu. Kisha akaumetula n'kate akajhanda kulya.
36 Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.
Kisha bhoha bhakapelibhwa muoyo na bhene bhakalota kyakulya.
37 Jumla tulikuwa watu mia mbili na sabini na sita katika meli.
Twajhele bhanu 276 mugati mu meli.
38 Baada ya kila mmoja kula chakula cha kutosha, walipunguza uzito wa meli kwa kutupa nafaka baharini.
Bho bhalili fya kutosha, bhaibhombi meli mbepe kwa kutagha ngano mu masi.
39 Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
Bhojhifikiri pamusi, bhajhitambuili lepi kundema, lakini bhakabhona sehemu jha kundema jhajhingili mmasi jhajhijhele ni n'sanga mwingi. bhakajadiliana kama bhibhwesya kugendesya meli kulota apu.
40 Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.
Hivyo bhakesihobhosya nanga bhakasileka mmasi. Katika muda bhobhuobhu bhakasihobhosya mighojhi jha nanga ni kujhijhinula sehemu jha palongolo kulotela ku mp'ongo, hivyo bhakalota sehemu jha nsanga bhumehele.
41 Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana, na meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi.
Lakini bhakahida mahali ambapo miela mibhele ghya masi ghibhonana, ni meli jhikalota kun'sanga. Ni jhela sehemu jha palongolo jha meli jhakwamili pala na jhabhwesilepi kubhoka, lakini sehemu jha palongolo jha meli jhikajhanda kudumuka kwa ndabha jha ukali ghwa manyegha.
42 Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka.
Mpango ghwa bhala askari bhwajhele kubhakoma bhafungwa, ili kwamba ajhelepi ambajhe ngaasoghili ni kutoroka.
43 Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani,
Lakini jhola askari ghwa jeshi lya Kiroma alondeghe kumwokola Paulo, hivyo akabhujhemeka mpango bhwa bhene; ni kubhaamuru bhala ambabho bhibhwesya kusogha, bharukayi kuhoma mu meli hoti na bhalotayi kundema.
44 na wengine wafuate wakijishikilia kwenye mbao au kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika salama pwani.
Kisha bhagosi bhamana bhakakesya, bhangi panani pa fenu fenge kuhoma mu meli. Kwa njela ejhe jhatokili bhoha twibeta kufika kinofu kundema.