< Matendo 23 >
1 Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu akaanza kusema, “Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu.”
Paulusi na lolelela vayendisi benkuta nikucho, “Bakwangu, niva hali havusu bwa Ireeza mu mihupulo yangu milotu, kuleta sunu hanu.”
2 Hapo Kuhani Mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.
Mupurisita mukulwana cha laera avo vava zimene naye, kumu wopa kumulomo.
3 Basi, Paulo akamwambia, “Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye kama ukuta uliopakwa chokaa! Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe unaivunja Sheria kwa kuamuru nipigwe?”
Imi Paulusi nacho kwali, “Ireeza mwaku wope nawe, iwe limota vasitwe ku tuva. Wikere chakuni watula chomulao, mi hape uni laera kuti vani vakule, ku lwisanisa mulao?”
4 Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!”
Avo vava zimene hembali nivati, “Njimona mumu tukila muprurisita Mukulwana wa Ireeza vovuti?”
5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni Kuhani Mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.”
Paulusi nacho kuti, “Kana niva kwizi, Bakwangu, kana nivesi kuti mupurisita mukulwana. Mukunti kuñoletwa, “Kanji mu wambi vuvi vwa muyendisi wa vaantu venu.”
6 Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni Masadukayo na nyingine Mafarisayo. Basi, alipaaza sauti yake mbele ya Baraza: “Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka.”
Cwale Paulusi ha vona kuti imwina imbali ye nkuta vavali masaduki ni vamwi vafalisi, cha wamba chaku nyamuna liinzwi munkuta, “Bakwangu, ni mu Falisi, mwana wabafalisi. Ivaka lya kuti nina inseepo yakuti kuti vafu kavavuuke ini atulwa chayo”
7 Baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya Mafarisayo na Masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
Ha wamba vulyo, inkani chiza tanga mukati kavaFalisi ni MaSaduki, imi vuungi nivwa liyaba.
8 Kisa chenyewe kilikuwa hiki: Masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. Lakini Mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
“Mukuti maSaduki vacho kuti kakwina kuvuka kuva vafwile, kakwina mañiloi, kakwina luhulo, kono baFalisi va zumina muzonse.”
9 Kelele ziliongezeka na baadhi ya walimu wa Sheria wa kikundi cha Mafarisayo walisimama na kutoa malalamiko yao kwa nguvu: “Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye.”
Cwale chi kweza ilata ikando, ni vamwi vañoli vawila kuvaFalisi niva ziima kukaanana, nivati, “Katu wani chifosahele kozu mukwame, kwina vule hamwi Luhuho kamba Iñiloi njilya wamba kwali?”
10 Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. Kwa hiyo, aliwaamuru askari wake kuingia kati ya lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome.
Hakuva ni nkani inkando, muyendisi wenkondo, ava tite kuti Paulusi mwa halolwe vusasa ku vali, imi cha laera valwi venkondo kuya hansi ni kumu twala chenkaani ku mu zwisa kuvenkuta, ni kumu leta munzuvo ikolete.
11 Usiku uliofuata, Bwana alisimama karibu na Paulo, akamwambia, “Jipe moyo! Umenishuhudia katika Yerusalemu, utafanya vivyo hivyo mjini Roma.”
Masiku e chilila Ireeza na ziimana hembali naye, nikumuti, “Siye ku tiya, mukuti uva paki vuniti kachangu mwa Jerusalema, imi uka pake vulyo ni mwa Roma.”
12 Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: “Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo.”
Haliza ku ñatula, maJuda vamwi chiveza hamwina, niku sumpila chikuto havali veene: chivati, kete valye kamba kunywa chimwi konji chive haya Paulusi.
13 Watu zaidi ya arobaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.
Vavali kuhitilila amakumi one vava tendi uwu mulelo.
14 Basi, walikwenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, “Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo tutakapokuwa tumemuua Paulo.
Nivayenda ku mupurisita mukulwana, ni kuvakulwana niku kawamba, “Chitwalivika tuvene mu chikuto chikando, kusa lya chimwi konji chitwe haya Paulusi.
15 Sasa basi, ninyi pamoja na Baraza tumeni ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu.”
“Cwale, hanu, mu siye inkuta i wambile muyendisi wenkondo, nikuka muleta kwenu, uvu musaka kusakisisa indava zakwe, imi iswe, mutuve kulitukiseze kumwi haya naseni kusika kunu.”
16 Lakini mtoto wa kiume wa dada yake Paulo alisikia juu ya mpango huo; hivyo akaenda ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo.
Kono mwana'nchizye wa Paulusi wa chiswisu naa zuwa kuti vava lele chaku lindila, imi ava yendi kukenjila munzuvo isilelezwe nikuta Paulusi,
17 Hapo Paulo akamwita mmoja wa askari, akamwambia, “Mchukue kijana huyu kwa mkuu wa jeshi; ana kitu cha kumwambia.”
Paulusi cha kumbila zumwi wa vaganteri nikucho, “Mutwale uzu mukwame kuva yendisi ve nkondo mukuti wina chimwi kawola kumu wambila.”
18 Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, “Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia.”
Imi niva muhinda mushisu nikumu twala kumuyendisi we nkondo ni kukacho, “Paulusi musuminwa wani sumpila kwali, ni kuni takuti nilete uzu mushisu kwako. Wina cha saka kuwamba kwako.”
19 Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
Mukulwanna we nkondo na muhinda kwiyanza ni kuya kuchivaka chi li ungwile ni kumu vuza, “Chinzi cho swanela kuni wamba kwangu?”
20 Yeye akasema, “Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.
Mulombwana chamuwambila, “Majuda bazumizana kuti bakukumbile utwale Paulusi izona kukuta, ubu basaka kukabuza chakuya chenako ye indaba yakwe.”
21 Lakini wewe usikubali kwa maana kuna watu zaidi ya arobaini walio tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa wamemuua. Sasa wako tayari, wanangojea tu uamuzi wako.”
Kono kazi ubahi ye, kakuti kwina bakwame bahitilila makumi one bamubandamine. Ba bika chikuto hewulu lyabo, kense balye kapa kunywa hesi chiba mwihaya. Niheba hanu bali ndukiseze, balindile kuti uba zuminine.”
22 Mkuu wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo.
Imi mupurisita mukulwana nasiya mushisu kuliyendela, hamana kumu laera, “Kanji uwambili nangati yeke kuti wa wamba izi zintu kwangu.”
23 Basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, “Wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende Kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.
Cha sumpila kwali vakwame vovere nikuti, “Uhinde valwi venkondo vachita myanda yovere vali tukiseze kuyenda konji kwa Sizeriya ni vatanti ve mbizi vena makumi achita myanda yovere hape, niva milinga vena myanda yovere. Mumu nyamuke hakati kamasiku.”
24 Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa.”
Naava laera hape ku lukisa imbizi Paulusi yawola kwichila hateni, ni kumu twala siinte kwa Felekisi muvusisi.
25 Halafu mkuu huyo wa jeshi akaandika barua hivi:
Imi avañoli iñolo chovuti;
26 “Mimi Klaudio Lusia ninakuandikia wewe Mheshimiwa Felisi, mkuu wa mkoa. Salamu!
“Kilaudiyasi Laisiyasi kuyo tompeha muvusisi Felekisi, intumeliso.
27 “Wayahudi walimkamata mtu huyu na karibu wangemuua kama nisingalifahamishwa kwamba yeye ni raia wa Roma na hivyo nikaenda pamoja na askari nikamwokoa.
Uzu mukwame ava suminwa kuma Juda, imi ava kusaka kwi hayiwa kuvali, hani keza havali ni masole venkondo, nikumu haza, kuzwa hani ziva kuti Muroma.
28 Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.
Nivaku saka kwiziva ivaka hava zekiswa, cwale cina mutwala kunkuta.
29 Niligundua kwamba mashtaka yenyewe yalihusu ubishi juu ya sehemu kadha wa kadha za Sheria yao na hivyo sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili auawe au afungwe gerezani.
China lituta kuti ukwete ku zekiswa kuamana che mpuzo za mulao wavo veene, ni kuti kakwina zimusumina kutwala ku lufu kamba ku pika.
30 Nilipofahamishwa kwamba Wayahudi walikuwa wamefanya njama za kumuua, niliamua kumleta kwako. Nikamwambia washtaki wake walete mashtaka yao mbele yako.”
Imi ni kwezibahazwa kwangu kuti kuveena vusandukili kozu mukwame. imi namu tumina hahanu kwako, ni ku laera valwisi vakwe ku leta zivamunyaza chazo havusu vwako. Shale sinte!”
31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.
Cwale valwi venkondo chiva kuteka intaero zavo: niva hinda Paulusi nikumu leta masiku kwa Antiporisi.
32 Kesho yake askari wa miguu walirudi ngomeni, wakawaacha wale askari wapanda farasi waendelee na safari pamoja na Paulo.
Izuva lichilila, vuungi vwa valwi benkondo nivasiya vantanti ve mbizi kuti vayende naye imi avo vene niva voola kuchivaka chisilelezwe.
33 Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.
Vatanti vembizi hava sika mwa Sizeriya, niva leta iñolo kumuvusisi, niku tambika Paulusi kwali.
34 Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,
Muvusisi hamana kuvala iñolo, na vuuza kuti Paulusi uzwa muchikiliti nzi; he ziva kuti uzwa kwa Sisilia,
35 akasema, “Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki wako kufika.” Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani ya ukumbi wa Herode.
Nati, “Muni zuwe chokwizula vazekisi vako chiveza kunu,” imi cha laera kuti a vikiwe mumuleneñi wa mubuso wa Heroda.