< Matendo 21 >
1 Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda moja kwa moja mpaka Kosi. Kesho yake tulifika Rodo, na kutoka huko tulikwenda Patara.
Ie nifamitsok’ am’iereo, le nijon-dakañe naho niranga mb’e Kosy naho mb’e Rodo amy loak’ àndroy, boak’ao le nimb’e Patara añe,
2 Huko, tulikuta meli iliyokuwa inakwenda Foinike, hivyo tulipanda, tukasafiri.
naho nahtendreke lakañe hitsake mb’e Foenika mb’eo zahay le nijoñe vaho nionjoñe an-day.
3 Baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona Kupro, tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea Siria. Tulitia nanga katika mji wa Tiro ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.
Ie nahatalake i Kiprosy le nenga’ay am-pitàn-kavia, le nionjoñe mb’e Sirià vaho toly e Tirò eo, hanjotsoa’ i lakañey i kilanka’e.
4 Tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. Waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.
Nitsoehe’ay o mpiòkeo, le nañialo am’iereo ao fito andro, ie nitolom-panohiñe i Paoly añamy Arofoy ty tsy hionjoñe mb’e Ierosaleme añe.
5 Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. Wote pamoja na wanawake na watoto wao walitusindikiza mpaka nje ya mji. Tulipofika pwani, sote tulipiga magoti tukasali.
Aa ie niheneke o andro’aio, le nionjoñe vaho nanonjohy i lia’aiy. Nanese anay ze hene mpiama’e reke-baly naho anake ampara’ te nienga i rovay naho nitongalek’ añ’ olon-driake eo niloloke.
6 Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao.
Ie nifanolo-pañanintsiñe, le nijon-dakañe, vaho nimpoly iereo.
7 Sisi tuliendelea na safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.
Ie nihenefa’ay i lia boak’e Tiròy le avy e Tolemaia, naho nifañontane amo mpiama’eo vaho niambahiny am’iereo andro raike.
8 Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu.
Nionjoñe amy maraiñey zahay le nandoake e Kaisaria naho nizilik’ añ’anjomba’ i Filipo Mpitaroñe, mpiamy fito rey, vaho nañialo ama’e.
9 Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.
Efatse ty anak’ ampela’e somondrara, songa mpitoky.
10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.
Ie nandrare tobok’ andro maro ao, le nizotso hirik’e Iehodà añe ty mpitoky atao Agabo,
11 Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema “Roho Mtakatifu asema hivi: Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye ukanda na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa.”
niheo mb’ama’ay mb’eo, nandrambe ty fiètse’ i Paoly le nandrohy o fità’eo naho o fandia’eo vaho nanao ty hoe: Hoe ty tsara’ i Arofo Masiñey: Hambañe amy zao ty handrohiza’ o Jiosy e Ierosalemeo ty tompo’ ty fiètse toy, haneseañ’ aze am-pità’ o kilakila ondatio.
12 Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.
Ie jinanji’ay, le nihalaly amy Paoly, zahay naho ondati’ i toetseio, ty tsy hionjoñe mb’e Ierosaleme añe.
13 Lakini yeye alijibu, “Mnataka kufanya nini? Mnataka kuvunja moyo wangu kwa machozi? Niko tayari siyo tu kutiwa ndani kule Yerusalemu, ila hata kufa kwa ajili ya Bwana Yesu.”
Aa hoe ty natoi’ i Paoly: Inoñ’ o iroveta’ areo hampikoretse ty trokoo? Tsy t’ie ho vahoreñe avao, fa toe veka’e hikenkañe e Ierosaleme ao ty amy tahina’ Iesoà Talèy.
14 Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: “Mapenzi ya Bwana yafanyike”
Kanao tsy lefe nampiantofan-dre, le nado’ay ami’ty hoe: Ty satri’ i Talè ro hanoeñe.
15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.
Añe i andro rezay, le nañalankañe zahay vaho nionjomb’e Ierosaleme mb’ eo.
16 Wengine kati ya wale wafuasi wa Kaisarea walienda pamoja nasi, wakatupeleka nyumbani kwa Mnasoni ambaye tulikuwa tunakwenda kukaa naye kwa muda. Mnasoni alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi.
Nindre ama’ay ty ila’ o mpiòke e Kaisariao, le nendese’ iereo mb’amy nte-Kiprosy atao Menasona, mpiòke hatrela’e, hañialoa’ay ama’e.
17 Tulipofika Yerusalemu, ndugu waumini walitupokea vizuri sana.
Ie nandoake e Ierosaleme ao, le rinambe’ o roahalahio antalatala-saba,
18 Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwako pia.
amy loakandroy le niheo mb’ am’ Iakobe t’i Paoly naho zahay, vaho tao iaby o beio.
19 Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote Mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake.
Nifañontane am’ iereo re vaho hene natalili’e kiraikiraike o raha nanoen’ Añahare añivo’ o kilakila ‘ndatio amy fitoroña’eio.
20 Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, “Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini Sheria ya Mose.
Ie jinanji’ iereo, le nandrenge an’Andrianañahare vaho nanoa’ iareo ty hoe: O rahalahio, henteo te añ’aleale o Jiosy mpiatoo, songa mahimbañe an-Kake.
21 Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa mengine kuwa wasiijali Sheria ya Mose, wasiwatahiri watoto wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi.
Toe nampandrendreheñe am’iereo te ihe mañòke ze fonga Jiosy añivo’ o kilakila’ ndatio ty hamorintseñe i Mosè, naho manoro te tsy ho savareñe ty ana’ iareo vaho tsy horiheñe o lilitseo.
22 Sasa, mambo yatakuwaje? Ni dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili hapa.
Inoñ’ arè ty hatao? amy te tsi-mete tsy ho janjiñe t’ie pok’eo,
23 Basi, fanya kama tunavyokushauri. Tunao hapa watu wanne ambao wameweka nadhiri.
aa le anò ze hatoro’ay azo: Ama’ay atoañe t’indaty efatse fehè’ ty fanta.
24 Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa, ukalipe na gharama zinazohusika, kisha wanyolewe nywele zao. Hivyo watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa juu yako hazina msingi wowote, na kwamba wewe binafsi bado unaishi kufuatana na maagizo ya Sheria za Mose.
Endeso i lahilahy rey le itraofo fañeferam-batañe le avaho ty fañè’ iareo amy fiharatañe añamboney; vaho hene hahafohiñe te tsy amam-bente’e i nampahafohineñe azo iareo, f’ie toe mañavelo an-kavantañañe vaho mifahatse’ amy Hàke.
25 Kuhusu wale watu wa mataifa mengine ambao wamekuwa waumini, tumekwisha wapelekea barua tukiwaambia mambo tuliyoamua: wasile chochote kilichotambikiwa miungu ya uongo, wasinywe damu, wasile nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati.”
Aa naho o kilakila ondaty mpiatoo, fa nisokira’ay ty safiri’ay te hifoneña’ iareo ze nisoroñañe an-kazomanga, naho ty lio, naho ze nidageañeñe, vaho ze hakarapiloañe.
26 Basi, kesho yake Paulo aliwachukua wale watu akafanya ibada ya kujitakasa pamoja nao. Kisha akaingia Hekaluni kutoa taarifa kuhusu mwisho wa siku za kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
Aa le rinambe’ i Paoly indaty rey, ie maraindray le nindre niefetse vaho nizilik’ añ’anjomban’ Añahare ao nitaroñe te heneke o androm-piefera’ iareoo ampara’ te songa añengàñe soroñe.
27 Wakati siku hizo saba zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka katika mkoa wa Asia walimwona Paulo Hekaluni. Wakachochea hasira kati ya kundi lote la watu, wakamtia nguvuni
Aa ie ho nigadoñe i fito àndro rey, le natrabi’ o Jiosy nte-Asia nahaisake iareo añ’anjomban’ Añahareo i màroy, hitsepak’ aze,
28 wakipiga kelele: “Wananchi wa Israeli, msaada, msaada! Huyu ndiye yule mtu anayewafundisha watu kila mahali mambo yanayopinga watu wa Israeli, yanayopinga Sheria ya Mose na mahali hapa patakatifu. Hata sasa amewaingiza watu wa mataifa mengine Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu.”
ami’ty koike ty hoe: Ry ‘ndaty nte Israeleo, oloro! Intoy t’indaty mañòke sikal’ aia sikal’ aia ty handietse ondatin-tikañeo naho i Hake vaho ty toetse toy, mbore nampizilihe’e amy anjombay o nte-Grikao le naniva ty toetse-miavake toy.
29 Sababu ya kusema hivyo ni kwamba walikuwa wamemwona Trofimo mwenyeji, wa Efeso, akiwa pamoja na Paulo mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.
(Ie niisa’ iereo an-drova ao nindre amy Trofimo nte Efesosy, naho sinafiri’ iereo te nendese’ i Paoly añ’anjomban’ Añahare ao.)
30 Mji wote ulienea ghasia; watu wakaja kutoka pande zote, wakamkamata Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje ya Hekalu na papo hapo milango ya Hekalu ikafungwa.
Le nivalitsikotake iaby i rovay, naho niropake mb’eo ondatio nitsepak’ i Paoly naho kinororò’ iereo mb’alafe’ i anjomban’ Añaharey vaho vinarindriñe o lalam-beio.
31 Walikuwa tayari kumuua, lakini habari zilimfikia mkuu wa jeshi la Kiroma kuwa Yerusalemu yote ilikuwa imejaa ghasia.
Ie nimanea’ iareo havetrake le nahatakatse i talèm-pirai-lian-dahin-defoñey, te nifandrakaraka iaby t’Ierosaleme;
32 Mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo.
aa le ninday lahindefoñe miharo mpifele-jato amy zao re nitsondemboke te nizotso, nisorogoda mb’am’iareo ao. Ie zoe’ i màroy i talè mandroron-dahin-defon-katsaorañe, le napo’ iareo ty fikobokobohañ’ i Paoly.
33 Mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. Kisha akauliza, “Ni mtu gani huyu, na amefanya nini?”
Loneake eo i talèy nigore aze, le linili’e t’ie ho vahorañe an-tsilisily roe, vaho hinerehere’e te ia, naho ze nanoe’e.
34 Wengine katika lile kundi la watu walikuwa wanapayuka kitu hiki na wengine kitu kingine. Kwa sababu ya ghasia hiyo, mkuu wa jeshi hakufaulu kujua kisa kamili. Hivyo, aliamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome.
Le hirik’ amy màroy ty nitazataza izay, naho ty nikontsiañ’ izao; aa kanao tsy haharendreke ty to amy fitabohazakey, le nampanase’e mb’ añ’ akibam-piosoñañ’ ao.
35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.
Ie pok’ am-panongañe eo, le nonjone’ o lahin-defoñeo an-tsoroke re ty amy haandoviaha’ i lahialeñeiy,
36 Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, “Muulie mbali!”
amy t’ie norihe’ i màroy nikoiake ty hoe: Aseseo!
37 Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, “Naweza kukwambia kitu?” Yule mkuu wa jeshi akamjibu, “Je unajua Kigiriki?
Ie ho nazili’ o lahin-defoñeo añ’ anjomba ao t’i Paoly le hoe re amy talèy: Te hivolañe ama’o iraho? Aa hoe re: Mahay Grika v’iheo?
38 Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?”
Tsy ihe hao i nte-Egipte nañoràke fakomale-bey, ninday ‘ndaty mpamono efats’ arivo mb’ an-dratraratra añey?
39 Paulo akajibu, “Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia; mimi ni raia wa mji maarufu. Tafadhali, niruhusu niongee na watu.
Hoe t’i Paoly: Jiosy iraho, nte Tarsosy e Kilkia añe, tan-drova tsy atao tsotra. Ehe, apoho hitaroñe am’ ondatio.
40 Yule mkuu wa jeshi akamruhusu. Hivyo Paulo alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa Kiebrania.
Nimea’e lily, le nijohañe amy fanongañey t’i Paoly nanondrotondro am’ondatio am-pitàñe, le nianjiñe do’e iereo vaho nilañona’e an-tsaontsy Hebreo ty hoe,