< Matendo 14 >
1 Kule Ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika sunagogi la Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki wakawa waumini.
Ik'oniyonitse P'awlosnat Bernabasn towaat ayhudiwots Ik' k'oni moots bokindi, manoknowere ay ayhudiwotsnat Ik' ash Woteraw ayidek't ayts ashuwots bo amanefetsosh bodaniyi.
2 Lakini Wayahudi wengine waliokataa kuwa waumini walichochea na kutia chuki katika mioyo ya watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu.
Amaneraw ayhudiwotsmó Ik'i ash woterawwotsi tuzit eshuwotsats shit'o b́weetwok'o bok'ali.
3 Paulo na Barnaba waliendelea kukaa huko kwa muda mrefu. Waliongea kwa uhodari juu ya Bwana, naye Bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa juu ya neema yake, kwa kuwawezesha kutenda miujiza na maajabu.
Mansh P'awlosnat Bernabasn doonzo keewo ááwu shuk'on keewfetst manoke ayi gizewos boteshi, doonzonwere milikitwotsnat adits keewwotsi bokishon bofinetwok'o alo boosh imt, b́ s'aati aap'o ariko b́wottsok'o b́kiitsfoni.
4 Watu wa mji huo waligawanyika: wengine waliwaunga mkono Wayahudi, na wengine walikuwa upande wa mitume.
Kitutse beyiruwotsmó, gitoko kayaat bado ayhudiwotsnton bado woshetswotsnton bowoti.
5 Mwishowe, baadhi ya watu wa mataifa mengine na Wayahudi, wakishirikiana na wakuu wao, waliazimu kuwatendea vibaya hao mitume na kuwapiga mawe.
Ik' ash woterawwotsna ayhudiwots bo naashuwotsnton wotdek't P'awlosnat Bernabasn kaarar shútson togosh bogeyi,
6 Mitume walipogundua jambo hilo, walikimbilia Lustra na Derbe, miji ya Lukaonia, na katika sehemu za jirani,
P'awlosn at Bernabasn man bodantsok'on Lst'ranat Derbeyi eteef Lik'a'on kituwotsnat bogúúratse fa'a datsats giifat boami.
7 wakawa wanahubiri Habari Njema huko.
Manoknowere doo shishiyo bonabi.
8 Kulikuwa na mtu mmoja huko Lustra ambaye alikuwa amelemaa miguu tangu kuzaliwa, na alikuwa hajapata kutembea kamwe.
Lst'ra datsatse b́ tufo lasha'awutsts ash iko fa'e b́tesh, ashaan b́ shuweetson tuut dura b́teshtsotse b́ tufoon sha'a danaka,
9 Mtu huyo alikuwa anamsikiliza Paulo alipokuwa anahubiri. Paulo alimtazama kwa makini, na alipoona kuwa alikuwa na imani ya kuweza kuponywa,
Ashaan P'awlos b́ keewor bedek'tni b́ k'ebiri b́ tesh, P'awlos ashman t'iwintsdek't s'iilt kashosh bín betsit imnetiyo b́ detso b́ bek'tsok'on,
10 akasema kwa sauti kubwa, “Simama wima kwa miguu yako!” Huyo mtu aliyelemaa akainuka ghafla, akaanza kutembea.
«Kaawde'er ntufoon need'owe!» ett k'aari eenon b́keewi, ashmanwere t'oolat tuut hake bak b́sha'i.
11 Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, ulianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: “Miungu imetujia katika sura za binadamu!”
Ashuwotswere P'awlos b́ k'altso bo bek'tsok'on, bok'aaro eenshdek't «Ik'uwots ash aron wotdek't nok oot'rnee!» ett Lik'aoni noon keewu keewon bokeewi.
12 Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme.
Bernabasshower «Dya» boeti. Keewu keewiruwo P'awlosi b́ teshtsotse bísh «Hermeniye» boeti.
13 Naye kuhani wa hekalu la Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na shada za maua mbele ya mlango mkuu wa mji, na pamoja na ule umati wa watu akataka kuwatambikia mitume.
Kitoniyere úratse fa'o diyako s'ayin máá kahniyo minzi wrwotsnat k'odets funduwotsnowere kiti fengesho maants dek'wat ash ashonton ikwotdek't P'awlosnat Bernabasnsh wosho t'intsosh b́geyi.
14 Barnaba na Paulo walipopata habari hiyo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:
Wosheets, P'awlosnat Benabasn man boshishtsok'on shiyanon botaho bo gaat'i, ash asho maantsowere wos't kuhefets hank'o boeti,
15 “Ndugu, kwa nini mnafanya mambo hayo? Sisi pia ni binadamu kama ninyi. Na, tuko hapa kuwahubirieni Habari Njema, mpate kuziacha hizi sanamu tupu, mkamgeukie Mungu aliye hai, Mungu aliyeumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo.
«It ash ashuwots eegishe han itk'aliri? Nowoor itnk'o ash noone, Noo hanok nowaa it hank'o k'awuntsal keewu jamatse wokar daro, datso, aatsk'aronat bogitsotse daatseyiru jamo aztso Kashetso Izar Izewer maants it aanituwok'o sheeng keewo shishiyishee,
16 Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.
Beshts dúrowotsitse ash jamo botook weeron boametuwok'o Ik'o boon kazb́k'ri,
17 Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha kwa mambo mema anayowatendea: huwanyeshea mvua toka angani, huwapa mavuno kwa wakati wake, huwapa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”
Wotowa bako bíaawuk'o sheengo Izar Izeweri b́ wottsok'o gaawit sheeng fino k'alo need'iratse, darotse awusho itsh bútsiree, maay kakuwi shashwotsi itsh b́ imi, Mishonat geneeúon itn b́woriyi.»
18 Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
Wosheetsots mank'o dabt bokeewiyalor ash asho boosh wosho t'intso b́k'azetuwok'o bobazi ayidek' kic'oone.
19 Lakini Wayahudi kadhaa walikuja kutoka Antiokia na Ikonio, wakawafanya watu wajiunge nao, wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani amekwisha kufa.
Ayhudiwotsmó Ans'okiyonat t Ik'oniyonn manok waat ash asho tuzdek't P'awlosi shútson botogetuwok'o bowoshi, k'irb́wutstsok'o bíarere geets dek't kitotse kishbok'ri.
20 Lakini waumini walipokusanyika na kumzunguka, aliamka akarudi mjini. Kesho yake, yeye pamoja na Barnaba walikwenda Derbe.
Ernmó b́danifuwots waat bín gúúrdek't boned'fere P'awlos tuut kitots b́kindi, yaats guurok'onowere Bernabasnton Derbe maants bíami.
21 Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko Derbe na kupata wafuasi wengi, walifunga safari kwenda Antiokia kwa kupitia Lustra na Ikonio.
P'awlosnat Bernabasn Derbe datsatse doo shishiyo danit ay ashuwotsi amantsuwotsi bowoshiyakon Lst'ronat Ik'oniyonn beshat P'sdiyin fa'úts Ans'okits boami.
22 Waliwaimarisha waumini wa miji hiyo na kuwatia moyo wabaki imara katika imani. Wakawaambia, “Ni lazima sisi sote tupitie katika taabu nyingi ili tuingie katika ufalme wa Mungu.”
Dats jam manotsatsnowere amantsuwots boamantsats kup'bodek'etuwok'o boon kup'iyonat izosh «Ik'i mengstots kindosh ay gondo noosh geyife» etfetst boon bdaniyi.
23 Waliteua wazee katika kila kanisa kwa ajili ya waumini, na baada ya kusali na kufunga, wakawaweka chini ya ulinzi wa Bwana ambaye walikuwa wanamwamini.
Ik' k'oni maa mootse eenash eenashuwotsnowere boosh bonaashi, s'omat Ik'o bok'oniyakonowere bín boamants doonzosh adaro imbok'ri.
24 Baada ya kupitia katika nchi ya Pisidia, walifika Pamfulia.
P'sdiyanowere beshat P'nfli maants boami,
25 Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
P'ergeyitsnowere Ik' aap'tso bodaniyakon At'aliyi maants boami,
26 Kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi Antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
Maniyere hakonowere bok'alts Ik'i s'aatosh adaro boosh ímeets Ans'okimaants markabon boami.
27 Walipofika huko Antiokia walifanya mkutano wa kanisa la mahali hapo, wakawapa taarifa juu ya mambo Mungu aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia mlango watu wa mataifa mengine mlango wa kuingia katika imani.
Manok bobodetsok'on amantsuwotsi ikok kakudek't Ik'o awuk'o k'alt bonton wotdek't b́fiints jamonat Ik'i ash woterawwotswor boamanituwok'o awuk'o k'alt fengesho boosh b́k'eshtsok'o bokeewi
28 Wakakaa pamoja na wale waumini kwa muda mrefu.
Manoknowere amantsuwotsnton ay aawo boteshi.