< Matendo 11 >

1 Mitume na ndugu kule Yudea walisikia kwamba watu wa mataifa mengine pia walikuwa wamelipokea neno la Mungu.
Asunasi dunu amola eno Yesu Ea fa: no bobogesu dunu Yudia soge ganodini, da Dienadaile dunu da Gode Ea sia: lalegagui dagoi, ilia nabi.
2 Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
Amalalu, Bida da Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: loba, Yu dunu amo da Dienadaile dunu ilia gadofo damumusa: dawa: i, ilia Bidama gagaboi.
3 “Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!
Ilia amane sia: i, “Di abuliba: le di da gadofo hame damui Dienadaile dunu amo ea diasuga asili, gilisili ha: i nasula?”
4 Hapo Petro akawaeleza kinaganaga juu ya yale yaliyotendeka tangu mwanzo:
Amaiba: le, Bida da hou huluane degabo hamoi amola fa: no mabe huluane ilima olelei.
5 “Siku moja nikiwa nasali mjini Yopa, niliona maono; niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu.
Amane, “Na da Yoba moilaiga sia: ne gadoloba, esalawane agoane ba: i. Liligi gudu sa: ili amo da abula la: idi bega: eno gagui la: idi bega: eno gagui biyaduyale agoane gagui amo, muagado yolesili osoboga doaga: musa: dalebe ba: i. Amo liligi da na gadenene doaga: i.
6 Nilichungulia ndani kwa makini nikaona wanyama wenye miguu minne, wanyama wa mwituni, wanyama watambaao na ndege wa angani.
Na da abula ganodini ba: beba: le, ohe fi, sio fi, sema hamoi amola sema hame liligi, gilisili esalebe ba: i.
7 Kisha nikasikia sauti ikiniambia: Petro amka, chinja, ule.
Amanoba, sia: bagade na nabi agoane, ‘Bida! Di wa: legadole, amo liligi medole legele moma!’
8 Lakini mimi nikasema: La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.
Be na bu adole i, ‘Hina Gode! Hame mabu! Na da sema hamoi ha: i manu hamedafa nasu!’
9 Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.
Amanoba, na da sia: eno muagado misi amane nabi, ‘Gode da liligi amo ea ledo sema fadegale ilegei, amo da ledo gala mae sia: ma!’
10 Jambo hilo lilifanyika mara tatu, na mwishowe vyote vilirudishwa juu mbinguni.
Amo hou da udianawane ba: i. Amalalu, amo liligi Gode da bu muagado amoga hiougili, bu hame ba: i.
11 Ghafla, watu watatu waliokuwa wametumwa kwangu kutoka Kaisarea waliwasili kwenye nyumba niliyokuwa nakaa.
Amogaluwane, dunu udiana, ilia da Sesalia moilaiga asunasili, na esalu diasu amoga doaga: i.
12 Roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu sita waliandamana nami pia kwenda Kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa Kornelio.
Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da nama mae aligili, ilima sigi masa: ne sia: i. Na na: iyado guiguda: esala gafeyale gala, Yoba Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu, ilia amola sigi asili, Sesalia moilaiga doaga: le, ninia Gonilia: se ea diasua golili sa: i.
13 Yeye alitueleza jinsi alivyokuwa amemwona malaika amesimama nyumbani mwake na kumwambia: Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro.
E da a: igele dunu ea diasu ganodini lelebe ba: i, amo ninima olelei. A: igele ea sia: ema amane olelei, `Di dunu asunasima. Yoba moilaiga dunu ea diodafa da Saimone Bida, amo lala, adola ahoasu dunu asunasima!
14 Yeye atakuambia maneno ambayo kwayo wewe na jamaa yako yote mtaokolewa.
E da di amola dia sosogo fi huluane, dilima gaga: su logo olelemu!’
15 Na nilipoanza tu kuongea, Roho Mtakatifu aliwashukia kama alivyotushukia sisi pale awali.
Amalalu, na da ilima muni sia: nanoba, Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala ninia dogo ganodini musa: aligila sa: i, amo defele, ilia dogo ganodini aligila sa: i.
16 Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: Yohane alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.
Amalalu, na da Hina Yesu Gelesu Ea sia: bu dawa: i. E musa: amane sia: i, ‘Yone da dunu hanoga fane sanasi. Be Na da fa: no Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amoga dili ba: bodaise hamomu.
17 Basi, kama Mungu amewapa pia watu wa mataifa mengine zawadi ileile aliyotupa sisi tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu kumpinga Mungu?”
Amaiba: le, Gode da hahawane dogolegele iasu liligi musa: ninia Hina Yesu Gelesu Ea hou lalegaguiba: le ninima i liligi defele, E da Dienadaile dunuma i dagoi, ninia noga: le ba: sa. Amaiba: le, na da Gode Ea logo hedofamu hamedei ba: i!”
18 Waliposikia hayo, waliacha ubishi, wakamtukuza Mungu wakisema, “Mungu amewapa watu wa mataifa mengine nafasi ya kutubu na kuwa na uzima!”
Amo sia: nababeba: le, ilia logo hedofamusa: sia: yolesili, Godema nodoi. Ilia amane sia: i, “Dafawane! Gode da Dienadaile dunu Ema sinidigima: ne amola eso huluane Fifi Ahoanusu lama: ne, logo fodoi dagoi!”
19 Kutokana na mateso yaliyotokea wakati Stefano alipouawa, waumini walitawanyika. Wengine walikwenda mpaka Foinike, Kupro na Antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa Wayahudi tu.
Yesu Ea fa: no bobogesu dunu mogili, Sidibene medole legei hou amo fa: no mabe se nabasu hou beda: iba: le, afafale, mogili da Finisia, Saibalase amola A: dioge, amoga asili, Gode Ea Sia: olelelalu. Be ilia da Yu dunu ilima fawane olelei.
20 Lakini baadhi ya waumini waliotoka Kupro na Kurene, walikwenda Antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile Habari Njema juu ya Bwana Yesu.
Be eno Yesu Ea fa: no bobogesu dunu da Saibalase amola Sailini yolesili, ilia A: dioge moilai bai bagadega asi. Be ilia Hina Yesu Gelesu Ea sia: Ida: iwane gala, amo Dienadaile dunu amola dunu huluane ilima olelei.
21 Bwana aliwasaidia na idadi kubwa ya watu iliamini na kumgeukia Bwana.
Hina Gode Ea gasa da fidibiba: le, ilia sia: nababeba: le, dunu bagohame da dafawaneyale dawa: beba: le, Hina Godema sinidigili, Ea hou lalegagui.
22 Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia.
Yelusalemega Yesu Ea fi dunu da amo sia: nababeba: le, ilia da Banaba: se amo A: dioge moilai bai bagadega asunasi.
23 Alipofika huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na kuwahimiza wote wadumu katika uaminifu wao kwa Bwana.
Banaba: se da A: dioge moilaiga doaga: i. Gode da A: dioge fi ilima hahawane dogolegele iasu hou i dagoi ba: beba: le, e da hahawane ba: i. E da ilima ilia asigi dawa: su huluane amola dafawaneyale dawa: su hou huluane, hahawane Godema ima: ne sia: i.
24 Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.
Banaba: se da dunu ida: iwane esalu. Ea dogo da Gode Ea A: silibu Ea hou amola dafawaneyale dawa: su hou, amoga nabaiwane dialu. Amaiba: le, dunu bagohame da Yesu Ea hou lalegagui.
25 Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo
Amalalu Banaba: se da Solo hogomusa: , Dasase moilaiga asi.
26 Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
Hogole ba: lalu, e da Solo A: dioge moilaiga oule asi. Ode afae ganodini mae yolesili, Banaba: se amola Solo da Yesu Ea fa: no bobogesu fi ilima gilisili, ela dunu bagohame ilima Yesu Ea hou olelei. A: dioge moilaiga, degabo agoane eno dunu ilia Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu ilima Galisadiane (Christian) dio asuli.
27 Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
Amo ode ganodini, balofede dunu ilia Yelusaleme moilai bai bagade yolesili, A:dioge moilaiga doaga: i.
28 Basi, mmoja wao aitwaye Agabo alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (Njaa hiyo ilitokea wakati Klaudio alipokuwa akitawala).
Balofede afadafa, ea dio amo A: gabase da Gode Ea A: silibu amo Ea gasaga, ha: bagade da osobo bagade soge huluanedafa amoga doaga: mu sia: i. (Amo ha: i bagade da Galodiase e da Louma fi ilima hina bagade esalebe, amo esoga doaga: i.)
29 Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.
Yesu Ea fa: no bobogesu dunu ilia ilegele, ilia afae afae ilia labe defele, ilia Yesu fi na: iyado dunu Yudia soge ganodini esalu, amo fidima: ne, muni iasimusa: dawa: i.
30 Basi, wakafanya hivyo na kupeleka mchango wao kwa wazee wa kanisa kwa mikono ya Barnaba na Saulo.
Ilia muni gagadole, Banaba: se amola Solo, elama ianu, ela da bu Yudia sese asigilai dunu ilima ima: ne sia: i.

< Matendo 11 >