< 2 Timotheo 2 >

1 Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata katika kuungana na Kristo Yesu.
Tu, pois, meu filho, fortifica-te na graça que ha em Christo Jesus.
2 Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
E o que de mim, d'entre muitas testemunhas, ouviste, confia-o a homens fieis, que sejam idoneos para tambem ensinarem os outros.
3 Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo yesu.
Tu, pois, soffre as afflicções como bom soldado de Jesus Christo.
4 Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi.
Ninguem que milita se embaraça com negocios d'esta vida, para agradar áquelle que o alistou para a guerra.
5 Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo.
E, se alguem tambem milita, não é coroado se não militar legitimamente.
6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
O lavrador que trabalha deve ser o primeiro a gozar dos fructos.
7 Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote.
Considera o que digo: o Senhor, porém, te dê entendimento em tudo.
8 Mkumbuke Yesu Kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa Daudi, kama isemavyo Habari Njema ninayoihubiri.
Lembra-te de que Jesus Christo, que é da descendencia de David, resuscitou dos mortos, segundo o meu evangelho;
9 Kwa sababu ya kuihubiri Habari Njema mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo,
Pelo que soffro trabalhos e até prisões, como um malfeitor; mas a palavra de Deus não está presa.
10 na hivyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele. (aiōnios g166)
Portanto tudo soffro por amor dos escolhidos, para que tambem elles alcancem a salvação que está em Christo Jesus com gloria eterna. (aiōnios g166)
11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
Palavra fiel é esta: que, se morrermos com elle, tambem com elle viveremos:
12 Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana.
Se soffrermos, tambem com elle reinaremos: se o negarmos, tambem elle nos negará:
13 Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
Se formos infiéis, elle permanece fiel: não pode negar-se a si mesmo.
14 Basi, wakumbushe watu wako mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu mkuu kwa wale wanaousikia.
Traze estas coisas á memoria, protestando diante do Senhor que não tenham contendas de palavras, que para nada aproveitam senão para perversão dos ouvintes.
15 Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake, na ambaye hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli.
Procura apresentar-te a Deus approvado, como obreiro que não tem de que se envergonhar, que maneja bem a palavra da verdade.
16 Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ya kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu.
Mas oppõe-te aos clamores vãos e profanos, porque produzirão maior impiedade.
17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.
E a sua palavra roerá como cancro; entre os quaes são Hymeneo e Phileto;
18 Hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika.
Os quaes se desviaram da verdade, dizendo que a resurreição era já feita, e perverteram a fé de alguns.
19 Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.”
Todavia o fundamento de Deus fica firme, tendo este sello: O Senhor conhece os que são seus, e qualquer que nomeia o nome de Christo aparte-se da iniquidade.
20 Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine ni vya matumizi ya pekee na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
Ora n'uma grande casa não sómente ha vasos de oiro e de prata, mas tambem de pau e de barro, e uns para honra, outros, porém, para deshonra.
21 Basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo hayo yote maovu, atakuwa chombo cha matumizi ya pekee, kwa sababu amewekwa wakfu, anamfaa Bwana wake na yupo tayari kwa kila kazi njema.
De sorte que, se alguem se purificar d'estas coisas, será vaso para honra, sanctificado e idoneo para uso do Senhor, e preparado para toda a boa obra.
22 Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi.
Foge tambem dos desejos da mocidade; e segue a justiça, a fé, a caridade, e a paz com os que, com um coração puro, invocam o Senhor.
23 Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.
E rejeita as questões loucas, e sem instrucção, sabendo que produzem contendas.
24 Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu,
E ao servo do Senhor não convém contender, mas sim ser manso para com todos, apto para ensinar e supportar os maus;
25 ambaye ni mpole anapowaonya wapinzani wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata kuujua ukweli.
Instruindo com mansidão os que resistem, se porventura Deus lhes der arrependimento para conhecerem a verdade,
26 Hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa Ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.
E tornarem a despertar, e se desprenderem dos laços do diabo, em que á vontade d'elle estão presos.

< 2 Timotheo 2 >