< 2 Wathesalonike 2 >

1 Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana
Ti eshuwotso! no doonz Iyesus Krstos woonat noowere bínton wotosh nokakweyi jangosh itn nok'onirwo haniye,
2 msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.
Wee shayiron wee aap'on keewetsok'on wee noyitse woshoon guut'etsok'on woshde'er «Doonzo aawo waare» eton kááron it nibo shek'eek'aye, kic'ono kic'k'ayere.
3 Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.
Asho ik keewonor itn b́ant'elcerawok'k'owa, shin shino haalo b́warawon, Ik'o bín b́t'afit weeri gond asho b́be'erawo, aawman waratse.
4 Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu kuwa ni mungu, au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu.
Weerr gond ashaan Izar Izewerotsiye ett ik'iyeyiru jam keewotsiyere damb b́tooko een b́wooshfoni, «Ik'o taane» erfetsrnwere dab Ik'i mootse bewosh ááw shuk'on b́ned'iti.
5 Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi?
Itnton tteshor keewanotsi itsh keewat tteshtsok'o gawraatsteya?
6 Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.
Bísh beezets sa'aton b́be'efetsosh and b́be'erawok'o bín baziyiruwo eeg b́wottsok'owo danfte.
7 Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe.
Aashts weer gondi angman fino dek'tuure, b́wotefere andoor baziyirwo fa'e, han b́wotwere baziyiru ekeew b́t'affetsoniye.
8 Hapo ndipo Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake.
Maniyere ilowere nemalon beyiruman be'etwe, doonzo Iyesus b́ nonotsi kash jongon bín úditwe, be'eyi eenon aanar b́ woor b́beyoko t'afibazetwe.
9 Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
Mor gond asho b́weet shed'ani angon kootets aditswotsnat milikituwotsn ayi adits keewwotsnowere k'alone,
10 na kutumia udanganyifu wa kila namna kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea. Hao watapotea kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.
Mank'owere t'afit ashuwotsi bín bo dashit eeg naari gond keewwotsi k'alone. Ashaanots bot'afitwere kashosh boon betsitwo ariko shunt dek'o bo k'aztsotsne.
11 Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.
Man jangosh kooton boamanituwok'o Ik'o boon ant'elcit ango boats woshitwe.
12 Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa.
Hanwere b́ wotit aro amaneratsone et morrats geneúwiru jamwotsats angshetwok'owe.
13 Tunapaswa kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua tangu mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.
Doonzon shuneets eshuwotso! noomó it jangosh Ik'o jam aawo udo noosh geyife, no uditwere it shayiri S'ayinon it s'ayinontsonat arono it amanon it kashitwok'o Ik'o shini itn galb́dek'tsoshe.
14 Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Ik'o no itsh no nabts doo shishiyann itn s'eegts doonzo Iyesus Krstos mango it kayitwok'owe.
15 Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu.
Mansh t eshuwotso, kúp'arr need'ore, it aap'ona wotowa guut'ets woshon nooke itsh beshts dano kúp'ide'er deshere.
16 Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios g166)
B́ tookon no doonz Iyesus Krstosnat, noon shuntso, b́ s'aaton dúre dúri kúp'iyo, sheeng jangóno noosh imtso Ik'o no nihiye. (aiōnios g166)
17 aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.
Bí it maac'o kúp'shwe, sheeng finonat sheeng noon keew jamon itn kup'shwe.

< 2 Wathesalonike 2 >