< 2 Petro 1 >

1 Mimi Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo, nawaandikia ninyi ambao, kwa wema wake Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo, mmejaliwa imani ileile ya thamani kuu tuliyojaliwa sisi.
USimon Petulo un'sung'hua ghwa Yesu Kilisite, ku vano vooni vano vupiile ulwitiko lwa lutalama ndavule fino tulyupile usue, ulwitiko luno luli mun'kate ja Nguluve nu mpoki ghwitu uYesu Kilisite.
2 Nawatakieni neema na amani tele katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
uvumosi vuvisaghe kulyumue; ulutengano lwongelele kukilila uluhala lwa Nguluve nu Mutwa ghwitu uYesu
3 Kwa uwezo wake wa kimungu, Mungu ametujalia mambo yote tunayohitaji, ili tuishi maisha ya kumcha Mungu kwa kumjua yeye aliyetuita tuushiriki utukufu na wema wake yeye mwenyewe.
kukilila uluhala lwa Nguluve tukavile imbombo sa mwene sooni vwimila uvunoghelua vwa vwumi, huma kulyune juvo atukemhel. ile vwimila uvunono vwake vwa vwimike vwake.
4 Kwa namna hiyo ametujalia zawadi kuu na za thamani ambazo alituahidia, ili kwa zawadi hizo mpate kuziepa kabisa tamaa mbaya zilizomo duniani, na mpate kuishiriki hali yake ya kimungu.
ku sila iji akatuhuvisie mu lufingo ulukome ulwa ndalama. akavombile ndiki neke kukutuvomba kuuva vimilisi vwa vwandilo vwa Nguluve, fino tughendelela kukuvuleka uvuhosi vwa iisi iji.
5 Kwa sababu hiyo, fanyeni bidii ya kuongeza fadhila katika imani yenu: ongezeni elimu katika fadhila yenu,
mu ili vombagha ku ngufu sooni neke kukwongelesia uvunono ku sila ja lwitiko lwinu, ulwakuva uvunono nu luhala,
6 kuwa na kiasi katika elimu yenu, uvumilivu katika kuwa na kiasi, uchaji wa Mungu katika uvumilivu wenu,
kukilila uluhala, padebe, na kukilila isabuli padebe, na kukilila isabuli vwimike.
7 udugu katika uchaji wenu, na mapendo katika udugu wenu.
kukilia ulughano lwa vwimike vwa vanyalukolo.
8 Mkiwa na sifa hizo zote kwa wingi, zitawawezesheni kuwa watendaji na kupata faida katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
ndeve isi sooni mwesili n'kate jiinu, ghighendelela kukula n'kate jiinu, pe umue namuliiva vaanhu vano navihola imheke mu luhala lwa Mutwa ghwitu uYesu Kilisite.
9 Lakini mtu asiye na sifa hizo ni kipofu, hawezi kuona na amesahau kwamba alikwisha takaswa dhambi zake za zamani.
neke ghweni juno nailiiva nisi sooni, ikusagha isa pavupipi seene, umwene ghwe nailola. ashemilue uluvalasio lwa sambi saake isa pakali.
10 Kwa hiyo basi, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuufanya huo wito wenu mlioitiwa na Mungu uwe jambo la kudumu katika maisha yenu; kama mkiishi namna hiyo hamtaanguka kamwe.
lino, vanyalukolo vango, vombagha nu ngufu sooni neke kuhakikisia ulukemhelo vwimila jiinu. ndeve muvomba isi namulikuvala.
11 Kwa namna hiyo mtafaulu kupewa haki kamili ya kuingia katika Utawala wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios g166)
pe pano mukujikavila uvwinga vwa mulyango ghwa kwingilila muVutwa vwa kusila na kusila uvwa Mutwa nu mpoki ghwitu uYesu Kilisite. (aiōnios g166)
12 Kwa hiyo nitaendelea kuwakumbusheni daima mambo haya, ingawa mmekwisha yafahamu, na mko imara katika ukweli mlioupokea.
pe lino, une niliiva tayale kukuvakumbusia ke kinga nambe mukagula, na lino mulivakangafu mu kyang'haani.
13 Nadhani ni jambo jema kwangu, muda wote niishio hapa duniani, kuwapeni moyo na kuwakumbusheni juu ya mambo haya.
nisagha kuuuti nili ni lweli kukuvasisimula na kukuvakumbusia mu agha ghooni. pano nijighe mu tembile iji.
14 Najua kwamba karibu nitauweka kando mwili huu wenye kufa, kama Bwana alivyoniambia waziwazi.
ulwakuva nikagula kuva na n'siki n'tali nikujivusia itembile jango. ndavule uMutwa Yesu Kilisite fino akanisonile.
15 Basi, nitajitahidi kuwapatieni njia ya kuyakumbuka mambo haya kila wakati, baada ya kufariki kwangu.
nikutanga ni ngufu sango sooni vwimila jiinu neke mukumbuke isi sooni kyande nivukile.
16 Wakati tulipowafundisheni juu ya ukuu wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, hatukutegemea hadithi tupu zisizo na msingi. Sisi tuliuona utukufu wake kwa macho yetu wenyewe.
ulwakuva usue natukafwatile injovele sino sikalembilue ku vunono kyaongo pala pano tukale tujova ingufu na kuvoneka kwa Mutwa ghwitu uYesu Kilisite, pe pano usue tulyale valolelesi va vwimike vwake.
17 Sisi tulikuwapo wakati alipopewa heshima na kutukuzwa na Mungu Baba, wakati sauti ilipomjia kutoka kwake yeye aliye Utukufu Mkuu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu mpenzi, nimependezwa naye.”
umwene akupile uvwimike nu... kuhuma kwa Nguluve Nhaata pano isavuti jikapulikike kuhuma mu vwimike jikaati, “uju ghwe mwanango mughanike ghwango juno ninoghiile naghwao.
18 Tena, sisi wenyewe tulisikia sauti hiyo kutoka mbinguni wakati tulipokuwa pamoja naye juu ya ule mlima mtakatifu.
tukapulike isavuti iji jikahumile ku kyanya pano tulyale nave ku kidunda ikyimike.
19 Tena, ujumbe wa manabii watuthibitishia jambo hilo; nanyi mwafanya vema kama mkiuzingatia, maana ni kama taa inayoangaza mahali penye giza mpaka Siku ile itakapopambazuka na mwanga wa nyota ya asubuhi utakapong'ara mioyoni mwenu.
tuli ni lisio ilya vuvili lino lithibitike, lino mu ilio muvomba vunono. ji tala jino jivika pakilo kuhanga pano kukia ni nondue isa sino sivineka mu numbula sinu.
20 Zaidi ya hayo, lakini, kumbukeni kwamba hakuna mtu yeyote awezaye kufafanua mwenyewe unabii ulio katika Maandiko Matakatifu.
mukagulaghe agha kuuti, kusila vuvili vuno vulembilue ulwa kusaghua na vavili vavuo,
21 Maana hakuna ujumbe wa kinabii unaotokana na matakwa ya binadamu, bali watu walinena ujumbe wa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
kuuti kusili uvuvili vuno vwisile ku vunoghelua va vaanhu, pe pano vakawesisie kukilila UMhepo uMwimike juno akajovile kuhuma kwa Nguluve.

< 2 Petro 1 >