< 2 Petro 3 >

1 Wapenzi wangu, hii ni barua ya pili ninayowaandikia. Katika barua hizo mbili nimejaribu kufufua fikira safi akilini mwenu kwa kuwakumbusheni mambo haya.
ہے پْرِیَتَماح، یُویَں یَتھا پَوِتْرَبھَوِشْیَدْوَکْترِبھِح پُورْوّوکْتانِ واکْیانِ تْراتْرا پْرَبھُنا پْریرِتانامْ اَسْماکَمْ آدیشَنْچَ سارَتھَ تَتھا یُشْمانْ سْمارَیِتْوا
2 Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu.
یُشْماکَں سَرَلَبھاوَں پْرَبودھَیِتُمْ اَہَں دْوِتِییَمْ اِدَں پَتْرَں لِکھامِ۔
3 Awali ya yote jueni kwamba siku za mwisho watakuja watu ambao mienendo yao inatawaliwa na tamaa zao mbaya. Watawadhihaki ninyi
پْرَتھَمَں یُشْمابھِرِدَں جْنایَتاں یَتْ شیشے کالے سْویچّھاچارِنو نِنْدَکا اُپَسْتھایَ
4 na kusema: “Aliahidi kwamba atakuja! Je, sasa yuko wapi? Mambo ni yaleyale tangu babu zetu walipokufa; hali ya vitu ni ileile kama ilivyokuwa mwanzo wa ulimwengu!”
وَدِشْیَنْتِ پْرَبھوراگَمَنَسْیَ پْرَتِجْنا کُتْرَ؟ یَتَح پِترِلوکاناں مَہانِدْراگَمَناتْ پَرَں سَرْوّانِ سرِشْٹیرارَمْبھَکالے یَتھا تَتھَیواوَتِشْٹھَنْتے۔
5 Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na nchi zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji;
پُورْوَّمْ اِیشْوَرَسْیَ واکْییناکاشَمَنْڈَلَں جَلادْ اُتْپَنّا جَلے سَنْتِشْٹھَمانا چَ پرِتھِوْیَوِدْیَتَیتَدْ اَنِچّھُکَتاتَسْتے نَ جانانْتِ،
6 na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
تَتَسْتاتْکالِکَسَںسارو جَلیناپْلاوِتو وِناشَں گَتَح۔
7 Lakini mbingu na nchi za sasa zahifadhiwa kwa neno la Mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto. Zimewekwa kwa ajili ya Siku ile ambapo watu wasiomcha Mungu watahukumiwa na kuangamizwa.
کِنْتْوَدھُنا وَرْتَّمانے آکاشَبھُومَنْڈَلے تینَیوَ واکْیینَ وَہْنْیَرْتھَں گُپْتے وِچارَدِنَں دُشْٹَمانَواناں وِناشَنْچَ یاوَدْ رَکْشْیَتے۔
8 Lakini, wapenzi wangu, msisahau kitu kimoja! Mbele ya Bwana, hakuna tofauti kati ya siku moja na miaka elfu; kwake yote ni mamoja.
ہے پْرِیَتَماح، یُویَمْ ایتَدیکَں واکْیَمْ اَنَوَگَتا ما بھَوَتَ یَتْ پْرَبھوح ساکْشادْ دِنَمیکَں وَرْشَسَہَسْرَوَدْ وَرْشَسَہَسْرَنْچَ دِنَیکَوَتْ۔
9 Bwana hakawii kutimiza yale aliyoahidi kama watu wengine wanavyofikiri kuwa atakawia. Yeye ana saburi kwa ajili yenu, maana hapendi hata mmoja wenu apotee, bali huwavuta wote wapate kutubu.
کیچِدْ یَتھا وِلَمْبَں مَنْیَنْتے تَتھا پْرَبھُح سْوَپْرَتِجْنایاں وِلَمْبَتے تَنَّہِ کِنْتُ کوپِ یَنَّ وِنَشْییتْ سَرْوَّں ایوَ مَنَحپَراوَرْتَّنَں گَچّھییُرِتْیَبھِلَشَنْ سو سْمانْ پْرَتِ دِیرْگھَسَہِشْنُتاں وِدَدھاتِ۔
10 Siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Siku hiyo, mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu; vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake.
کِنْتُ کْشَپایاں چَورَ اِوَ پْرَبھو رْدِنَمْ آگَمِشْیَتِ تَسْمِنْ مَہاشَبْدینَ گَگَنَمَنْڈَلَں لوپْسْیَتے مُولَوَسْتُونِ چَ تاپینَ گَلِشْیَنْتے پرِتھِوِی تَنْمَدھْیَسْتھِتانِ کَرْمّانِ چَ دھَکْشْیَنْتے۔
11 Maadamu kila kitu kitaharibiwa namna hiyo, je, ninyi mnapaswa kuwa watu wa namna gani? Mnapaswa kuishi kitakatifu na kumcha Mungu,
اَتَح سَرْوَّیریتَے رْوِکارے گَنْتَوْیے سَتِ یَسْمِنْ آکاشَمَنْڈَلَں داہینَ وِکارِشْیَتے مُولَوَسْتُونِ چَ تاپینَ گَلِشْیَنْتی
12 mkiingojea Siku ile ya Mungu na kuifanya ije upesi—Siku ambayo mbingu zitateketezwa kwa moto na kuharibiwa, na vitu vyake vya asili vitayeyushwa kwa joto.
تَسْییشْوَرَدِنَسْیاگَمَنَں پْرَتِیکْشَمانَیراکانْکْشَمانَیشْچَ یُوشْمابھِ رْدھَرْمّاچاریشْوَرَبھَکْتِبھْیاں کِیدرِشَے رْلوکَے رْبھَوِتَوْیَں؟
13 Lakini sisi, kufuatana na ahadi yake, twangojea mbingu mpya na dunia mpya ambayo imejaa uadilifu.
تَتھاپِ وَیَں تَسْیَ پْرَتِجْنانُسارینَ دھَرْمَّسْیَ واسَسْتھانَں نُوتَنَمْ آکاشَمَنْڈَلَں نُوتَنَں بھُومَنْڈَلَنْچَ پْرَتِیکْشامَہے۔
14 Kwa hiyo wapenzi wangu, mkiwa mnangojea Siku ile, fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na kuwa na amani naye.
اَتَایوَ ہے پْرِیَتَماح، تانِ پْرَتِیکْشَمانا یُویَں نِشْکَلَنْکا اَنِنْدِتاشْچَ بھُوتْوا یَتْ شانْتْیاشْرِتاسْتِشْٹھَتھَیتَسْمِنْ یَتَدھْوَں۔
15 Mnapaswa kuuona uvumilivu wa Bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na Mungu.
اَسْماکَں پْرَبھو رْدِیرْگھَسَہِشْنُتانْچَ پَرِتْرانَجَنِکاں مَنْیَدھْوَں۔ اَسْماکَں پْرِیَبھْراتْرے پَولایَ یَتْ جْنانَمْ اَدایِ تَدَنُسارینَ سوپِ پَتْرے یُشْمانْ پْرَتِ تَدیوالِکھَتْ۔
16 Hayo ndiyo asemayo katika barua zake zote anapozungumzia suala hilo. Yapo mambo kadhaa katika barua zake yaliyo magumu kuyaelewa, mambo ambayo watu wajinga, wasio na msimamo, huyapotosha kama wanavyopotosha sehemu nyingine za Maandiko Matakatifu. Hivyo wanasababisha maangamizi yao wenyewe.
سْوَکِییَسَرْوَّپَتْریشُ چَیتانْیَدھِ پْرَسْتُتْیَ تَدیوَ گَدَتِ۔ تیشُ پَتْریشُ کَتِپَیانِ دُرُوہْیانِ واکْیانِ وِدْیَنْتے یے چَ لوکا اَجْناناشْچَنْچَلاشْچَ تے نِجَوِناشارْتھَمْ اَنْیَشاسْتْرِییَوَچَنانِیوَ تانْیَپِ وِکارَیَنْتِ۔
17 Lakini ninyi, wapenzi wangu, mmekwisha jua jambo hili. Basi, muwe na tahadhari msije mkapotoshwa na makosa ya waasi, mkaanguka kutoka katika msimamo wenu imara.
تَسْمادْ ہے پْرِیَتَماح، یُویَں پُورْوَّں بُدّھوا ساوَدھاناسْتِشْٹھَتَ، اَدھارْمِّکاناں بھْرانْتِسْروتَساپَہرِتاح سْوَکِییَسُسْتھِرَتْواتْ ما بھْرَشْیَتَ۔
18 Lakini endeleeni kukua katika neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu uwe kwake, sasa na hata milele! Amina. (aiōn g165)
کِنْتْوَسْماکَں پْرَبھوسْتْراتُ رْیِیشُکھْرِیشْٹَسْیانُگْرَہے جْنانے چَ وَرْدّھَدھْوَں۔ تَسْیَ گَورَوَمْ اِدانِیں سَداکالَنْچَ بھُویاتْ۔ آمینْ۔ (aiōn g165)

< 2 Petro 3 >

The Great Flood
The Great Flood