< 2 Petro 3 >

1 Wapenzi wangu, hii ni barua ya pili ninayowaandikia. Katika barua hizo mbili nimejaribu kufufua fikira safi akilini mwenu kwa kuwakumbusheni mambo haya.
T mashotso! itsh t guut'irwan gitl woshoniye, git woshúwotsi itsh t guut' keewanotsi gawde'er kááw asaabiyo it detsetwok'o itn kup'shosh etaatniye.
2 Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu.
Hniyere shin S'ayin nebiywots bo keewts keewonat it wosheetsots weeron it datstso no doonz wottsonat noon woriits tzaziyo gaw itdek'etwok'o geefe.
3 Awali ya yote jueni kwamba siku za mwisho watakuja watu ambao mienendo yao inatawaliwa na tamaa zao mbaya. Watawadhihaki ninyi
Jamoniyere shino han t'iwintsde'ere, s'uwaatsi aawwotsitse aatsnifetsr bo gond tewni jafrats sha'it k'aldirwots weetune,
4 na kusema: “Aliahidi kwamba atakuja! Je, sasa yuko wapi? Mambo ni yaleyale tangu babu zetu walipokufa; hali ya vitu ni ileile kama ilivyokuwa mwanzo wa ulimwengu!”
Bowere «Doonzo Iyesus weetwe ett jangiyere eterosha b́ teshi? Beree, abee? Yoots nihwots bo k'irts dúron b́ tuutso jam keewo azeetso b́ teshtsok'one b́ beyiri» bo eteti.
5 Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na nchi zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji;
Ashaanots ay dúroniyere shino daro Ik' aap'on bí azetsok'o datsunwere bdooze aatsonat aatsatse b́ wottsok'o danfetst danatsone bo eteti.
6 na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
Manoori teshts datsunwere aatson k'oot'eyatniye b́ t'afi.
7 Lakini mbingu na nchi za sasa zahifadhiwa kwa neno la Mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto. Zimewekwa kwa ajili ya Siku ile ambapo watu wasiomcha Mungu watahukumiwa na kuangamizwa.
And beyiru daronat datsonmó Ik' ash woterawwots bo t'afit angshi aawotsi tawosh koteyarniye bo tesheti.
8 Lakini, wapenzi wangu, msisahau kitu kimoja! Mbele ya Bwana, hakuna tofauti kati ya siku moja na miaka elfu; kwake yote ni mamoja.
T mashotso! itmó doonzokere ik aawo kum aawok'o, kum aawo ik aawok'o b́ wottsok'o ik keewan batk'ayere.
9 Bwana hakawii kutimiza yale aliyoahidi kama watu wengine wanavyofikiri kuwa atakawia. Yeye ana saburi kwa ajili yenu, maana hapendi hata mmoja wenu apotee, bali huwavuta wote wapate kutubu.
Ik ik ashuwots boosh bí artsok'o doonzo keewt b́ jangits keewo s'eenosh ja'aratse, ernmó jam asho naandrone etosh b́ bodetwok'onat asho konwor b́ t'afawok'o b́ geetsotsne itsh b́ k'amiri.
10 Siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Siku hiyo, mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu; vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake.
Doonzo aawonmó danerawon úmp'etsok'o weetwe, manots aawots darwots k'áári eenon beshitúne, darotsi azeets jamo tawon mic'r t'afitwe. Datsunat biyatse finets keew jamo mis'etwe,
11 Maadamu kila kitu kitaharibiwa namna hiyo, je, ninyi mnapaswa kuwa watu wa namna gani? Mnapaswa kuishi kitakatifu na kumcha Mungu,
Eshe jam keewanots hank'on bot'afitkawotiyal, bere, it S'ayin beyon Ik'o arefetsr beyo aawk'oneya itsh geyiyo b́ k'azeti?
12 mkiingojea Siku ile ya Mungu na kuifanya ije upesi—Siku ambayo mbingu zitateketezwa kwa moto na kuharibiwa, na vitu vyake vya asili vitayeyushwa kwa joto.
Eshe Ik' weet aawo mirac'on kotirwotsnat káári b́ weetwok'o k'alirwotsi wotoore, manoor daro tawon mic'r t'afitwe, azeetswots taw k'ees'on woc'wtsitúne,
13 Lakini sisi, kufuatana na ahadi yake, twangojea mbingu mpya na dunia mpya ambayo imejaa uadilifu.
Ernmó noosh b́ jangitsok'on kááwo b́ beetwoko handr daronat handr datsatsne no kotiri.
14 Kwa hiyo wapenzi wangu, mkiwa mnangojea Siku ile, fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na kuwa na amani naye.
Mansh t mashotso! jaman b́ wotit aawo kotoka itfa'oni wotiyala, doonzo ik jago it atse gond keewo wee k'efetwo deshawwotsi wotar jeenon iti b́ daatsitwok'o kúp'ar beewere,
15 Mnapaswa kuuona uvumilivu wa Bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na Mungu.
No doonz b́ k'amts k'amo itsh kasho b́ wottsok'o dande'ere, shunetso no eshu P'awlos bísh imets daniteelfok'on itsh b́ guut'tso haniye.
16 Hayo ndiyo asemayo katika barua zake zote anapozungumzia suala hilo. Yapo mambo kadhaa katika barua zake yaliyo magumu kuyaelewa, mambo ambayo watu wajinga, wasio na msimamo, huyapotosha kama wanavyopotosha sehemu nyingine za Maandiko Matakatifu. Hivyo wanasababisha maangamizi yao wenyewe.
Bí han jangosh b́ wosh jamwotsitsere hank'on guut't, b́ woshwotsitsnoru ik ik keewwots t'iwintsosh falerawwots fa'ane. Dano boosh shaptswotsnat hake baka etiru k'oshwots S'ayin mas'afwotsi bo k'uurirwok'o keewanotsno bo k'uuriri, manowere bo k'alit bo t'afoshe.
17 Lakini ninyi, wapenzi wangu, mmekwisha jua jambo hili. Basi, muwe na tahadhari msije mkapotoshwa na makosa ya waasi, mkaanguka kutoka katika msimamo wenu imara.
Itmó t mashotso! haniyere shin shino dan itdek'tsotse weeri gondetswots dáróón geetseyar, it need'ts kúp' manatse it dihirawok'o it atso korde'ere,
18 Lakini endeleeni kukua katika neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu uwe kwake, sasa na hata milele! Amina. (aiōn g165)
dab maniyere no doonznat no ato Krstos Iyesus s'aatonat bín danon dambaan dambaan erere, bísh ando dúre dúroshowere mango wotowe! Amen. (aiōn g165)

< 2 Petro 3 >

The World is Destroyed by Water
The World is Destroyed by Water