< 2 Wakorintho 8 >
1 Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
Tusaka kuti mwi zibe, balatiwa, kuamana ni chisemo che Irreeza icho ciba hewa kwi ikereke ya Mosodoniya.
2 Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
Mwinako inkando ye miliko ni kunyandiswa, bungi bo kusangwa kwabo ni muku nyanda mubu njebwe bwabo babaleti chifumu chikando ahulu che yumbula.
3 Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,
Kakuti niha bupaki kuti babahi chobungi sina mubabali kuwolera. Ni kuzwirira kusi ye nkulo zabo
4 walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu.
nimu kutu kumbira ahulu kuchibaka cho kuli yabira mowu musebezi niba zumine.
5 Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Ichi kahena chiba pangahali ubu mutubali hupulere. Lyinu, babatangi kuli ha abobene kwa Simwine. Lyahanu njibeza kuliha abovene kwetu che tato ye Irreeza.
6 Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
Linu tuba kumbiri Tite, yaba tangi kale uwu musebezi, kuti a manisize uwu mutendo wo kuha kwi neku lyenu.
7 Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo.
Kono mwina buikalabero muzitu zonse- ni mwitumero, ni mukuwamba, ni mwi ngana, ni mukusepahala konse, ni mwi rato lyenu kwetu. Lyahanu mubone kuti muwonderela munkezo zokuha.
8 Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.
Niwamba ichi isiñi uba itayero. Kono, Ni wamba ichi iri kulika buniti bwe rato lyenu cho kubu swanisa cho kusaka kwa bamwi bantu.
9 Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe.
Kakuti mwizi chisemo cha Simwine wetu Jesu Kheresite. Nangati kuti abali kufumite, che baka lyenu aba sandu kanjebwe, iri kuti cho bunjebwe bwakwe muwole kuba bafumite.
10 Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo.
Mweyi indava kani mihe ikerezo iyo isina kayi mituse. Chirimo chimwina chiba mani, kena mubatangi kupanga chimwi, kono mubali kunyolerwe kuchi panga.
11 Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.
Lyahanu mu maniseze. Sina mukubena inchiseho ni takazo yo kuchipanga hana, cwale mule kuchileta kumamanikizo, sina ahulu sina mumu wolera.
12 Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.
Sina haiba muhupwire kupanga iyi ikezo, i ndotu mi i tambulwa. i swanera kuli tinga kamo muntu mwa kwatire, insiñi kamwasa kwatire.
13 Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.
Inyi kalulo kayina mumukwa ukuti bamwi bawole kuyimululwa mi inwe mu hambirizwe. Chikwina bulyo, kuswanera kuba niku zumizanwa.
14 Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa.
Cho kuba nizingi mweyinu inako mukutuse inzo zibasaka. Iyi njikuti nabo zingi zibakwete nizi wole kutusa zimusaka, mi iri kuti nikube niku yenderera.
15 Kama Maandiko yasemavyo: “Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Yina ubu muyi ñolerwe: “Uzo yowina zingi kena ababi nichimwi chiba shali, mi zumwi yabena tuche kena ba tayeri kamba kusaka chimwi.”
16 Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.
Kono buitumero bube kwe Ireeza, yaba biki mwi nkulo ya Tite chisemo chikando icho chini mikwatire.
17 Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
Kakuti ka tambuli fera ikupo zetu, kono aba sepahali ahulu kuyamana nacho. Aba kezi kwenu cho kusaka kwakwe.
18 Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote.
Tuba mutumini naye muzwale yo rumbiwa ahulu mu makereke onse che misebezi yakwe yo kuwamba i evengeli.
19 Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema.
Insiñi bulyo iyi, kono naye bulyo abali kuketetwe kube kereke kuti tuyende naye muku hinda iyi inkezo yokuha. Iyi njo kurumbiwa kwa Simwine iye mwine ni mukusaka kutusa kwetu.
20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.
Tukwesi kulika kusiya kuwoleka kuti zumwi kanji a woli kubirera kuyamana naswe kuyamana noku kuha kutu hindite.
21 Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.
Tu babalera kupanga icho chi kutekeha, isiñi bulyo habusu bwa Simwine, kono niha bunsu bwa bantu.
22 Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.
Tumu tumina nizumwi muzwale nabo. Hangi nitu mulika, mi tuba muboni kuti kutabera misebezi yonse ya hewa na tabite. Mi lyahanu usangitwe chebaka lye sepo inkando yena nayo mwenu.
23 Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
Haili cha Tite, mubereki kuninangu ni mulikanangu kwenu. haili che mizwale yetu, batumiwa mbabe kereke. Basepahala kwa Khresitte.
24 Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali.
Lyahanu muba ntondeze i rato lyenu, mi mutondeze kwi kereke ibaka lyo kuli tundumuna kwetu kuyamana nanwe.