< 2 Wakorintho 13 >
1 Hii ni mara yangu ya tatu kuja kwenu. “Kila tatizo litatatuliwa kwa ushahidi wa watu wawili au watatu,” yasema Maandiko.
是我第三次要到你們那裏去。『無論什麼事,憑兩個或三個見證的口供,才得成立。』
2 Nilikwisha sema, na kama ilivyokuwa safari ya pili, sasa nasema tena nikiwa mbali: wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine, nitakapokuja, watakiona cha mtema kuni.
我第二次在你們那裏時已經說過,如今不在的時候,再預先向那些以前犯了罪的和其餘的眾人說:我若再來,必不寬容!
3 Mtajionea wenyewe kwamba Kristo anasema ndani yangu. Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi miongoni mwenu.
這是因為你們願尋求基督在我內說話的證驗,基督對你們並不是軟弱的,相反,衪在你們中是有能力的。
4 Maana hata kama alisulubiwa kwa sababu ya udhaifu, lakini sasa anaishi kwa uwezo wa Mungu. Sisi pia tu dhaifu kwa kuungana naye lakini tutaishi naye kwa uwezo wa Mungu kwa ajili yenu.
衪雖然由於軟弱而被釘在十字架上,卻由於天主的德能仍然活著;我們也是一樣,雖然我們在衪內也成了軟弱的,但對於你們,我們卻也要由於天主的德能同衪一起活著。
5 Jichunguzeni ninyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo Yesu yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi ninyi mmeshindwa.
你們該考查考查自己,是否仍站在信德上,你們要考驗考驗自己! 難道你們自己認不出耶穌基督就在你們內嗎﹖若不然,你們就是禁不起考驗的。
6 Lakini natumaini kwamba ninyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.
但我希望你們認清我們並不是禁不起考驗的。
7 Tunamwomba Mungu msifanye uovu wowote, lakini si kusudi tuonekane kama watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, hata kama sisi tunaonekana kuwa tumeshindwa.
我們祈求天主,使你們不作什麼惡事,並不是為顯明我們是經得起考驗的,而是為叫你們行善,使我們好似成為經不起考驗的一般。
8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.
因為我們並不能作什麼來反對真理,只能擁護真理。
9 Tunafurahi kwamba sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; kwa hiyo tunaomba mpate kuwa wakamilifu.
因為幾我們軟弱,而你們有能力,我們才喜歡;我們只求一件事:就是你們的成全。
10 Basi, ninaandika barua hii nikiwa mbali, ili nitakapofika kwenu nisilazimike kuwa mkali kwenu kwa kutumia ule uwezo alionipa Bwana; naam, uwezo wa kujenga na si wa kubomoa.
為此,當我還未來的時候,先寫了這些,免得我來到的時候,要照主所賜給我的,那原來是為建樹而不是為破壞的權柄,嚴厲處置你們。
11 Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni mashauri yangu, muwe na nia moja; kaeni kwa amani. Naye Mungu wa mapendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
此外,弟兄們! 你們要喜樂,要勉力成全,要服從勸勉,要 同心合意,要彼此和睦;這樣,仁愛與平安的天主必與你們同在。
12 Salimianeni kwa ishara ya upendo.
你們要以聖吻彼此問候;
13 Watu wote wa Mungu huku wanawasalimuni.
這裏的聖徒問候你們。
14 Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote.
願主耶穌基督的恩寵,和天主的愛情,以及聖神的相通,常與你們眾人相偕。