< 1 Timotheo 5 >
1 Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama ndugu zako,
ulekaghe pikun'dalikila umunhu un'goyo, looli um'bulaghe hwene mpafi ghwako. avadiimi ujovaghe navo hwene vanino.
2 wanawake wazee kama mama yako, na wasichana kama dada zako, kwa usafi wote.
nava vahinja, uvavombelaghe muvunofu vwoni hwene valumbulio.
3 Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli.
uvavulaghe avitiki kuuti, vavatangaghe avakijuuva avafwile avasila lutango.
4 Lakini mjane aliye na watoto au wajukuu, hao wanapaswa kujifunza kutimiza wajibu wao wa kidini kwa jamaa zao wenyewe na hivyo kuwalipa wazazi wao na wazee wao, kwani hilo ni jambo la kupendeza mbele ya Mungu.
neke umfwile ghweni juno ali na vaana nambe avisukulu, avuo vamanyilaghe taasi kuvomba sino sinoghile munyumba saave. vavavombelaghe avapafi vaave, ukuo kwekugomosia sino voope vavombilue. kuvomba uluo kwekuno uNguluve ikeela.
5 Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu wa kumsaidia, amemwekea Mungu tumaini lake na huendelea kusali na kumwomba msaada usiku na mchana.
umukijuuva umfwile juno naali nu muunhu ughwa kuntanga, ujuo ikumuhuvila uNguluve, ikufuunya na kusuuma ulutango kwa Nguluve pakilo na pamwisi.
6 Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.
looli umukujuuva umfwile juno ikeela uvunoghekua vwa iisi, ujuo mfue napano ivoneka mwumi.
7 Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
soope isio uvavuule avitiki kuuti valeke kupikua.
8 Lakini kama mtu hawatunzi watu wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani kwake, basi, mtu huyo ameikana imani, na ni mbaya zaidi kuliko mtu asiyeamini.
neke umuunhu ghweni juno naikuvatanga avaanhu vaake, kyonga ava munyumba jaake, ujuo iiva alulekiile ulwitiko, iiva m'biivi kukila umupanji.
9 Usimtie katika orodha ya wajane, mjane yeyote ambaye hajatimiza miaka sitini. Tena awe amepata kuolewa mara moja tu,
umfwile anoghiile kuuva muvutavike vwa vafwile, nave ali na maaka kutengulila ifijigho ntanda, kange na m'bwafu.”
10 na awe mwenye sifa nzuri: aliyewalea watoto wake vizuri, aliyewakaribisha wageni nyumbani kwake, aliyewaosha miguu watu wa Mungu, aliyewasaidia watu wenye taabu, na aliyejitolea kufanya mambo mema.
olekwaghe vunofu, ndavule avisaghe asungile avaana vaake vunofu, atengeliile avagheesi na vitiki, avatangile vano vupumusivua, kange avombile imbombo sooni inofu.
11 Usiwaandikishe wajane vijana, kwani kama tamaa zao za maumbile zikizidi kuwa na nguvu zaidi kuliko kujitolea kwao kwa Kristo watataka kuolewa tena,
looli avafwile avajeela, nungavupilaghe muvutavike, ulwakuva uvunoghelua vwa m'bili vukuvaghighila kukila kukutavula kwa Kilisite, apuo vilondagha kutolua.
12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
mu uluo viiva vikwingila muvuhighi, ulwakuva vavulekile ulufingo lwave kwa Kilisite, ulwakujigha kisila kutolua kange.
13 Wajane kama hao huanza kupoteza wakati wao wakizurura nyumba hata nyumba; tena ubaya zaidi ni kwamba huanza kuwasengenya watu, na kujitia katika mambo ya watu wengine, huku wakisema mambo ambayo hawangepaswa kusema.
palikimo nuluo, vimanyila uvwolo panovighendaghenda munyumba isa vaanhu. nakwekuti vuvwolo vwene, kange viiva vaheehi na kuhanga mumbombo isa vange, nu vuholiholi na kujova sino nasinoghiile.
14 Kwa hiyo ningependelea wajane vijana waolewe, wapate watoto na kutunza nyumba zao ili adui zetu wasipewe nafasi ya kusema mambo maovu juu yetu.
lino, une nikeela avafwile avajeela, vatolwaghe vapapaghe avaana na kulolelela inyumba saave, neke avalugu valeke kukuvajova fivi.
15 Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.
ulwakuva avafwile vamonga vasovike, vikum'bingilila uSetano.
16 Lakini kama mama Mkristo anao wajane katika jamaa yake, yeye anapaswa kuwatunza na si kuliachilia kanisa mzigo huo, ili kanisa liweze kuwatunza wajane wale waliobaki peke yao kabisa.
nave umukijuuva umwitiki ali na vafwile munyumba jaake, avatangaghe, kuuti ulukong'haano luleke kukwangilua. neke ulukong'haano luuva nu vweleefu uvwa kuvatanga avafwile avange avasila lutango.
17 Wazee wanaowaongoza watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha.
avaloleleli va lukong'haano, vano vivomba imbombo vunofu, voghopwaghe na kuhombua vunofu,” kyongo vano vikuhumia kudalikila na kuvulanisia.
18 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka.” na tena “Mfanyakazi astahili malipo yake.”
ulwakuva lilembilue muMalembe aMimike kuuti, ulekaghe kukujibunga ing'ombe umulono, pano jisyonda ingano paluvugha. kange lilembilue, um'bomba mbombo anoghiile kuhombua uluhombo lwake.”
19 Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu.
ulekaghe kukwitika inongua sino sijovua vwimila umuloleleli ghwa lukong'haano, kisila vwolesi vwa vaanhu vavili nambe vatatu.
20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
looli avaloleleli vano vifihoka amakole, uvadalikilaghe pavinga, kuuti avange voghopaghe.
21 Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika watakatifu uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.
nikukulaghila pamaso gha Nguluve, na pamaso gha Yeesu Kilisite na vanyamhola avasalulua kuuti, ugadililaghe aghuo, ulekaghe kuhigha ng'hani ng'hani kisila kulutang'hinia nambe kutangila lubale.
22 Usiharakishe kumwekea mtu yeyote mikono kwa ajili ya kumtumikia Bwana. Usishiriki dhambi za wengine; jiweke katika hali safi.
nungamwitikisyaghe ng'haning'hani umuunhu pikumwimika pa mbombo ja Mutwa, ulwakuva ungam'biike umuhosi pa mbombo, najuuve ghuuva uhangile amakole ghaake. uve ghulolelelaghe uvwumi vwako, uvisaghe mugholofu.
23 Usinywe maji tu, bali unywe divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako, kwani unaugua mara kwa mara.
kuhuma lino, nunganywisaghe amalenga gheene, looli unywisaghe nu luhuuje ludebe vwimila inhamu jaako ija lileme ni nhamu isingi sino sasikukugasia.
24 Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
nungavitikisyaghe ng'hani ng'hani avanhu pa mbombo ja Mutwa, ulwakuva avanhu avange, amakole ghaave, ghali pavuvalafu, ghikuvalongolela kuvuhighi. neke avange, amakole ghaave ghafisiime, ghivoneka pambele.
25 Vivyo hivyo, matendo mema huonekana waziwazi, na hata yale ambayo si dhahiri hayawezi kufichika.
enendiki, imbombo inofu sivoneka pavuvalafu, soope sino sifisiime sihanga sivoneke.