< 1 Timotheo 3 >

1 Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
Muwambilo uwu we niti: Haiva zumwi muntu usaka kuva muruti, ulakaza mutendo mulotu.
2 Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
Imihe muruti uswanela kuva nikusanyazahala. Uswanela kuva mukwame wamwanakazi umwina. ave niku liwonda, nikuzuwisiza, nikulikuteka, yosaka kutabmula vayene, yowola kuruta.
3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
Kanji avi chindakwa cha vunjwala, insi wekondo, kono yolukite, wina inkozo. Kanjavi muntu yosaka masheleñi.
4 anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Yo yendisa vezuvo yakwe nenza. ni vana vakwe vamuzuwe mi vamuhe ikute liyere.
5 Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
Mukuti haiva muntu kezi kutomela vezuvo yakwe nenza, mwatokomele vule ikeleke ya Ireeza?
6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
Imi nsazi avi muntu yozwa hakuzumima, pona cholikumusa mane akawile mwikatulo ya diavulusi.
7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
Ave yopakwa nenza nivantu vena hanze, ilikuti kanji awili mumaswavi nikaswa ka diavulusi.
8 Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
Vahikana, kakwiziva, vave nivutali, isiñi vendimi zovere. Kanji vavi zinywi zavunjwara ahulu kamba nikulya ahulu.
9 wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
Vavike ininti ive zivahazwa yetumelo ni zwalo linjolola.
10 Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
Vaswanela kutatuvwa lwetazi, linu valukela kuhewa musevezi kakuli vashiyeme.
11 Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
Nivanakazi chenzila iswana bave nikuzuwisisa. Kanji bavi vasoha. Bave nikuliwonda, imi bave nikulwonda nikusepahala muzintu zonse.
12 Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
Muhikana wekeleke ave ni mwanakazi yeke. Vayendisa hande bana bavo ni mazuvo avo nenza.
13 Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
Mukuti kwavo vavasebezi hande vakwete musevzi mulotu, kavawane mazimo malotu, ninguzu zina mwa Kereste.
14 Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
Niñolela izi zintu kwako, imi nisepa kwiza kwenu hahanu.
15 Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
Linu heva niniyleha, nimiñolera ili kuti mwizive mumuswanela kwi kalila muzubo ya Ireeza, Iliyo Ikeleke ya Ireeza yohala, mutomo ni tuso ihala.
16 Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.
Mi Indava isakananwa yive zivahazwa ikunutu yakulapela ikando: “Aba vonahazwa munyama, abavikwa yolukite muluhuho, abavonwa ni mañiloyi, abawambwa kumansi, abazuminwa mwikanda, imi avahindilwa mwinkanya.”

< 1 Timotheo 3 >