< 1 Timotheo 3 >

1 Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
Akcang pyen ta: Kpami mat naw sangcim üng ngvai a bi hlü hin akdaw säiha ngaihnak ni.
2 Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
Sangcim ngvai cun kbäüeinak am ve yah: a khyu mat däk ve yah khai, a mlung mhnemki, amät nängeiki, dawkyaki, a ima khin khina theiki, mtheinak pi pawh theiki,
3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
ju käh mpyüiki, ngtun käh pawhki, hniphnawiki, dim’ye lü ngui pi käh jawng na yah khai,
4 anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
ani cun amäta imkyawng up khawh lü a canae naw leisawng u lü a mtheh pi ngja yah khaie.
5 Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
Amäta imkyawng up vai am ksingki naw ihawkba Pamhnama sangcim cun msümcei khai ni?
6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
Jumeinak üng ngkhäng lü käh awhcah yah khai, Khawyai cun awhcah lü mkatnak a yaha kba käh thawn khai ni.
7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
Ani cun sangcim k'uma am veki khyange naw ami leisawng üngva Khawyaia mannak hlü üng lät lü a jo pi am se khai ni.
8 Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
Sangcim k'uma khüikie pi ngneisak daw lü ngcimcaihki; nguia hnu käh läk lü ju pi käh mpyüihmah yah khai;
9 wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
amimi naw mdana ngthungtak cun ksingkhyapnak kcang am kcüng yah khaie ni.
10 Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
Akcüka sükcetnak kham u lü acun ami lät üng khüi bi yah khaie.
11 Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
Ami khyue pi ami ngneisak daw lü cawkcek käh pawh lü anaküt üng thephya lü mlung mhnemkiea kya yah khaie ni.
12 Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
Sangcim üng khüiki cun a khyu mat däk ve yah khai, a canae ja a imkyawng cun akdawa jah up khawh yah khai.
13 Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
Sangcim k'uma khüikie cun akdawa ngdüi tho lü Khritaw Jesuh jumeinaka mawng pi ling lü pyen khawh yah khai.
14 Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
Ahina ca ka yuk lawa kba, säng säng se nami veia law lü ning jah hmu khaia äpei veng.
15 Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
Lüpi ka cü üngta ahina ca naw ngthungtak däh lü ktunga kyakia Pamhnama imbung ja xüngseikia Pamhnama sangcim k'uma ihawkba vecawh vai ti cun ning jah ksingsak khai ni.
16 Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.
Mi hjawkkhah ning ihlawka ngthup lü dämki ti cun u naw pi am kpet khawh: Ani cun nghngicima kba ngdang law lü akcün akha üng Ngmüimkhya naw a ngdansak, khankhawngsä he naw hmukie, ani cun khyangmjüea veia kpyaü hükie, khawmdek lum üng jumei u lü khankhawa kai beki ni.

< 1 Timotheo 3 >