< 1 Timotheo 1 >
1 Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu,
Ik'o no atoke no nojangtso Iyesus Krstos tzaziyon woshek wottso P'awlosoke.
2 nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.
Imnetiyon ari t naayi wottso T'imotiyossh, Ik'o nonihokere, nodoonz Iyesus Krstosoke s'aatonat mihretiyonu, jenonu neesh wotowe.
3 Napenda ukae huko Efeso, kama nilivyokuomba nilipokuwa ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho ya uongo. Wakomeshe watu hao.
Mek'edoniy maants tiamor neesh oona ti ettsok'on, manoke fa'a ash ik ikuwots kooti dano bodanirawok'o nwoshish Efesonitse beewe.
4 Waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani.
Tururonat s'uu deshaw naar taawo maants k'ayr boanerawok'o boon azazowe, keewanots moosha bodoweti bako amanon fineyiru Ik'i finosh t'ak'ameratsnee.
5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli.
Tzaziyanmó nib s'ayinotse, asaabi s'ayinon, arik wotts amanon daatsets shunoniye.
6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.
Ik ik ashuwots keewanotsatse k'aleyat k'awunts deshaw moosho maants k'az anernee.
7 Wanapenda kuwa walimu wa Sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.
Man bok'aluwere nemo daniyruwotsi woto geeyatniye, wotowabako bokeewiruwo danatsne, arkeewetsnone boetirwono t'iwintsratsne.
8 Twajua kwamba Sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.
Asho geyitsok'on bín b́finiyal nemo sheeng b́wottsok'o danfone.
9 Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale;
Mank'owa nemo ned'iye ash kááwuwots b́woterawk'o danfone, nemo beeze mishetswotsnat k'uur finetsuwotsshe, Ik'osh k'erawwotsnat morr finetsuwotsshe, s'ayin woterawwotsnat kash keewo gac'iruwotsshe, bonihonat bo indon úd'iru kash úd'iruwots,
10 sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.
Widetswotsna, g'ad'wotsnat, asho up'dek'amt kemiru jaktswotsnat kootetswotsi, kooton taarirwotsnat arik wotts dano k'uriru keew jamo finiruwotsshe.
11 Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri.
Arik wotts danonmó b́ daatset mangiyets Ik'o b́ shishits mangts doo shishiyone, doo shishiyanwere taash adar imetsoniyee.
12 Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu. Namshukuru kwa kuniona mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie,
Finosh taan amanetso woshde naashiyosh taawdek't imtso nodoonz Iyesus Krstosi udirwe.
13 ingawa pale awali mimi nilimtukana na kumtesa na kumdhulumu. Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa ninafanya.
Dab haniyere shin Krstosi c'ashtsonat gishtso, ketitso twotiyalor, bí taash mhretiyo b́woshi, bíwere taash mhretiyan b́wosh taa jaman t k'al daronat aman tk'aztsatse tuutson b́ teshtsotsne.
14 Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana na Kristo Yesu.
Noo Ik'o s'aato Iyesus Krstosn nok wotts imnetiyonat t shunonton s'eent ooytso taash imere.
15 Usemi huu ni wa kuaminika, na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote,
«Iyesus Krstos morr finetswotsi kashiwosh datsats waare» etiru aap'o arikonat ash jamo dek'o bin b́ geyit keewe, morrets jamuwotsitsnor bítsi bog morretso taane.
16 lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele. (aiōnios )
Ernmó taash mihretiyow oshere, taash mhretiyo woshere Iyesus Krstos ayidek't ayts b́ k'amoon ashe dash morretso wottsosh tiatse kitsosh bín amanitsuwotsnat dúre dúri kash datsituwotssh sheeng artso t wotishee. (aiōnios )
17 Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee—kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina. (aiōn )
Mansh dúre dúri Nugúsosh, k'irrawosh, be'erawosh, Ik'o Izar Izewersh mangonat udon bísh dúre dúrosh wotowe! Amen. (aiōn )
18 Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,
T naayi T'imotiwoso! haniyere shin njangosh bek'on keewetsok'on azazets adaranotsi neesh imetuwe, bek'mann jisheyar kes'i sheengo kec'ee,
19 na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine hawakusikiliza dhamiri zao na hivyo wakaiharibu imani yao.
Amanonat maac' s'ayinetso wotowe, ash ik ikuwots bonibo bojuutsatse tuutson markabo jongon b́t'ffok'o bo imnetiyo t'afs'uure.
20 Miongoni mwao ni Humenayo na Aleksanda ambao nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.
Boyitse Hemenewosnat t Iskndrn fa'enee, boowere Ik' c'ash aap'o keewo k'azo bo danetwok'o Shed'anosh beshidek'at imik'rere.