< 1 Wathesalonike 5 >
1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya.
Pero sobre los tiempos y su orden, mis hermanos, no hay necesidad de que les diga nada.
2 Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.
Porque ustedes saben que el día del Señor vendrá como ladrón en la noche.
3 Watu watakapokuwa wanasema: “Kila kitu ni shwari na salama” ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.
Cuando dicen: Hay paz y no peligro, vendrá sobre ellos destrucción repentina, como dolores de parto en una mujer encinta; y no podrán escapar de eso.
4 Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.
Pero ustedes, mis hermanos, no están a oscuras, para que ese día los alcance como a un ladrón.
5 Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.
Porque todos ustedes son hijos de la luz y del día; no somos de la noche ni de la oscuridad.
6 Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Entonces, no descansemos como lo hacen los demás, pero seamos alertas y sobrios.
7 Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku.
Porque los que duermen lo hacen en la noche; y los que se emborrachan, se emborrachan de noche;
8 Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.
Pero nosotros, que somos del día, seamos serios, poniéndonos la coraza de la fe y el amor, y sobre nuestras cabezas, como un casco la esperanza de la salvación.
9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
Porque el propósito de Dios para nosotros no es la ira, sino la salvación por medio de nuestro Señor Jesucristo,
10 ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
Quien murió por nosotros, para que, despierto o durmiendo, tengamos parte en su vida.
11 Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
Entonces, continúen consolando y edificándose unos a otros, como lo han estado haciendo.
12 Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo.
Pero les pedimos esto, hermanos míos: respeten y valoren a los que trabajan entre ustedes, que están sobre ustedes en el Señor para mantener el orden entre ustedes;
13 Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.
Y tengan una alta opinión y amor a causa de su trabajo. Estén en paz entre ustedes mismos,
14 Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote.
Y nuestro deseo es que mantengan el control sobre aquellos cuyas vidas no están bien ordenadas, dando consuelo a los débiles de corazón, apoyando a aquellos con poca fuerza y Sean pacientes con todos.
15 Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote.
Que nadie dé mal por mal; pero siempre vean lo que es bueno, el uno para el otro y para todos.
Tener alegría en todo momento.
18 na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
En todo da gloria, porque este es el propósito de Dios en Cristo Jesús para ustedes.
19 Msimpinge Roho Mtakatifu;
No apagues el fuego del Espíritu;
No menosprecies las profecías;
21 Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema,
Someterlo todo a prueba; mantener lo que es bueno;
22 na epukeni kila aina ya uovu.
Absténganse de toda apariencia de maldad.
23 Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu—roho, mioyo na miili yenu—mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
Y que el Dios de la paz los santifique a todos; y que su espíritu y alma y cuerpo sean libres de todo pecado en la venida de nuestro Señor Jesucristo.
24 Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Él que los ha llamado es fiel, es fiel y cumplirá todo esto.
25 Ndugu, tuombeeni na sisi pia.
Hermanos, oren por nosotros.
26 Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.
Dale a todos los hermanos un beso santo.
27 Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.
Doy órdenes en el nombre del Señor de que todos los hermanos estén presentes en la lectura de esta carta.
28 Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
La gracia de nuestro Señor Jesucristo sea con ustedes. Amén.