< 1 Wathesalonike 5 >
1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya.
Ana me abanga uganiya, nihenu, daki ya cukuno se a nyertike shi ni vat ba.
2 Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.
Isa rusa ni vat, uwui ugomo Asere u eze gusi ukari in niye.
3 Watu watakapokuwa wanasema: “Kila kitu ni shwari na salama” ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.
Uganiya sa anu wadi gu tizin, ''iriba irom nan ti cukum ti huma'' abini me iwono idi tu we. Idi zi pazaza gusi une ahira uyo. Wada suburka me ba.
4 Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.
Shi nihenu, ida zo me shi anyimo amariu ba, uguna uwui me udi mukurka shi gusi ukari.
5 Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.
Vat ushi ahana amasa wani nan ahana uwui. Tida zon duru ahana ani ye, nani amariu ba.
6 Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Kati ti wuzi moro gusi ukasu wa anu ba, ca ti cukuno unu hira ahira nan unu inko iriba ahira a'indw.
7 Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku.
An desa wa wuza moro wa wuza in niye nini, andesa ubere uhuza, uhuza in niye nini.
8 Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.
Sa ya cukuno haru anu uwui wani, ya cukuno duru ti inki iriba ahira a'inde, ti inki iriba nan hem ucukuno gusi imum i kurzo uru, ti inso iriba ti kem ubura anyimo ugomo Asere.
9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
Daki ugomo Asere māa inki uguna ti iri izenzen imeme ba, bati ti kem ubura uni usuro uYeso vana Asere.
10 ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
Me mani māa wi barki haru, bati nani ti hira ahira nani ti zin moro, ti di cukuno nigoo me nan me.
11 Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
Barki anime, i nya acece nikara niriba, in benki acece, gusi imum sa isa zina nu wuza me.
12 Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo.
Ti zinu tira ushi tari nya ni andesa wa zin katuma anyimo ashime ti nanu, wa kuri wa dungura shi anyimo ugomo Asere.
13 Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.
Ta gunna shi canti ni we memeru anyimo uhem, barki katuma kawe me, cukuno ni ahuma acece ashi.
14 Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote.
Ti zini utira ushi tari, nihenu; gbarika ni anu zatu ace, benki ni anu zatu akara, cukuno ni riba ishew acece ashi vat.
15 Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote.
Kati i garza imum buri ini imum iburi, ca icukuno i wuzi acece imum i huma.
Wuza ni iriba irum konu maya.
Wuza ni biringara sarki umarsa.
18 na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
Bezi ni iriba irom ahira atimum vat. Imum sa ugomo Asere ma nyara anyimo vana umeme Yeso uru.
19 Msimpinge Roho Mtakatifu;
Kati i hunze tize ti bibe ta sere.
Kati i uzi u'inko ababga.
21 Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema,
Mansa ni vat timumum. Inta ni imum besa irizi.
22 na epukeni kila aina ya uovu.
Wuna ni pit ahira atimumum ti buri.
23 Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu—roho, mioyo na miili yenu—mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
Ca ugomo Asere ulau ma kuro icukuno lau, ca bibe bi shi, wan uvengize, nan nipum a inta we memeru sarki imum iburi barki u aye Yeso vana ugomo Asere.
24 Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Desa ma tisa shi ugino me, unu iriba ishew mani, de besa madi wuzi anime.
25 Ndugu, tuombeeni na sisi pia.
Nihenu, wuza ni haru biringara cangi.
26 Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.
Iso ni nihenu vat in nu gbindirko uriri ubibe bi lau.
27 Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.
Ma pata shi nan Asere basa ni unyettike ugeme aje ani henu vat.
28 Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Timumum tiriri acoo aru ugomo Asere ti cukuno nan shi.