< 1 Wathesalonike 5 >
1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya.
Nbelen na biri nin na kus, na ubelen woru i nyertin minu imomon diba.
2 Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.
Anun atimine yiru chaut lirin Chikilari nofo ukiri nin kitik.
3 Watu watakapokuwa wanasema: “Kila kitu ni shwari na salama” ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.
Asa iworo, “Mmang nin taup,” umolsu ba dak nani. Nnafo uwan nmaru na asa alanza ukonu. Na nnere na iba nyeshu nu ba.
4 Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.
Anun linuana, na idi nyan nsirt ba bari lo lire wa tuu minu nofo ukiri.
5 Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.
Bara anun vat nonon nkanangari nin nnonon lirin. Na arik nono kiti kari ba sa nonon sirt.
6 Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Bara nani, na tiwa sun mmoro nofo nigisine ba na ti yenje kiti tikpilza kidung.
7 Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku.
Alenge na idin moro idin su nin kitikari, alenge tutung na idin soh idin su nin kitikari.
8 Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.
Bara na arik nono liri gnari, na ti kpilza kidung. Na ti shon kuyangi kidegen nin suu, a, kitik, kidegen tuchu uchin dak.
9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
Na Kutelle na che na bara tinana nayi mere ba, bara usen tuchu nyan Cikilari Yesu Kristi.
10 ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
Ulenge na aku bara arik, Sa tidin yenju kiti sa ti din moro, ti so ligowe nin ghe.
11 Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
Bara nanitan linuana nofo na ina man su.
12 Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo.
Ti din belu minu, linuana, yinnan nin na lenge na ina su kataah nyan mine nin nalenge na itaa minu akara.
13 Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.
Tikuru tibelin minu minon nani kang nyan suu bara kataah mine. Son mang nya mine.
14 Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote.
Ti din ti minu akara, linuana: ale na isosin sa ukpadu wunon nani atuf, ale na nibinei mine kete ita nani akara nibinei, wutun kimal na le na idi gugur, nonkon nibinei.
15 Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote.
Yenje umon wa kurtung imon inan zan nin ni nanzang udu kitin mong. Tenzinen nimon ichine udu linuana nin vat.
Suun liburi libo-o kolome liri.
18 na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
Nya nimon vat nan ugodo. Bara ulelere usu Kutelle nyan Kristi Yesu bara anun.
19 Msimpinge Roho Mtakatifu;
Yenje uwa bicho Ufunu.
21 Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema,
Dumuna imon vat. Mino ile imon a ichineari.
22 na epukeni kila aina ya uovu.
Chino vat nimon inanzan.
23 Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu—roho, mioyo na miili yenu—mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
Na Kutelle mmang litime akusu fi vat, ulai nin kidowo fe so sa ndinon udak Ncikilari Yesu Kristi.
24 Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Unan kidegen ame ulenge na adin yichu fi, ulenge na aba su.
25 Ndugu, tuombeeni na sisi pia.
Linuana, sun nlira bara arik.
26 Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.
Lison linuana vat nin lulu na kpan nnuu ulau.
27 Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.
Ndin for achara nyan Cikilari nworu ikaranta iyert ilele udu linuana vat.
28 Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Na nshew Cikilari bite Yesu Kristi so nan ghinu anun.