< 1 Wathesalonike 3 >

1 Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu,
Mansh eshe haniyere okoon k'amdek'o nomaawtsotse Ateni eteets kitots noaali ooro noosh sheeng araatniye b́ be'eyi.
2 na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
No eshu Ik'i guuts wottso, Krstosko sheeng doo shishiyon finon no tooho T'imotiyosi itsh wosherone, itsh no woshuwere iti b́kup'shr imnetiyon it kup'ituwok'o itn b́ izituwok'owe,
3 kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.
Hanuwere it ats bodts gond bek'atse tuutson it shek'eerawok'o iti woshituwe, gond bek'an noosh beezets gowo b́wottsok'owo it it tookon danfte.
4 Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.
Dabnwor itnton noteshor gondbek'o no ats b́bodetuwok'o shin shino keewfoone b́teshi, it dantsok'onowere gond bek'o noats bodre,
5 Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure!
manatse tuutson k'amoon koto tmaawtsotse it amano danosh geeyat T'imotiwosi itok woshere, bín twoshwere daneraka fadfo iti ik weeron fadrek'úwa etaat, nofinonwere datsmec'ro wotat oorwtsere k'úwa etaat shatatniye.
6 Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
Andmó T'imotiwos itoke nomaants waat it imnetiyi jangonat it shuni jangosh gene'úshit keewo noosh keewre, mank'owere úni aawo sheeng keewon noon it gawitwok'onat no iti bek'osh nomiraac'irwok'o itwere noon bek'osh it mirac'rwok'owo noosh b́keewi.
7 Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote,
Eshe mansh eshuwotso, noo nodaatseyir kic'oonat gondbek'otse b́wotiyalor it imnetiyatse tuutson no ango kup'ere.
8 kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana.
It doonzo Iyesusats kup'de'er itbeyo nooshowere man nok'alo noosh nobee.
9 Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.
Eshe and it jangosh udo t'intsirwone, it jangatse b́ shinatse nodetsts geneeúwosh Ik'o úditwone.
10 Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu.
T'uwe aawo kup'sh dek'at Ik'o nok'onir nomeets ááwon iti be'er it amantsotse shaptso s'eentsosh tfalituwok'owe.
11 Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.
Andoor Izar Izewernat nonih b́tookon Iyesuswor it maants noweetwok'o noweero noosh kaatswe.
12 Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi.
Noo iti noshunirwok'o doonzo it atsatseyonat jamoshor it detsts shuno eenr bí'ayituwok'o itsh woshuwe.
13 Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.
Mank'oon nodoonz Iyesus bik S'ayin jamwotsnton b́woor noko Izar Izewernat nonih shinatse it nibo eeg eeg deshawonat S'ayin b́wotituwok'o doonzo iti kup'shwe.

< 1 Wathesalonike 3 >