< 1 Petro 2 >
1 Basi, acheni uovu wote; uongo, unafiki, wivu na maneno ya kashfa visiweko tena.
Linu muvike kwi mbali vuvi vonse, vuchengereri, kuliha, muuna, nikusooha konse.
2 Kama vile watoto wachanga wanavyotamani maziwa, nanyi pia mnapaswa kuwa na hamu ya maziwa halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua na kukombolewa.
Sina vambumbu va zwa haku zalwa, mushukerwe muziriri ujolola wa luhuho, njikuta kuti mukulire mwateni chakuhazwa kwenu.
3 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”
haiva uva liki kuti simwine ushiyeme.
4 Basi, mwendeeni Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa na watu; lakini mbele ya Mungu ni jiwe teule, na la thamani kubwa.
Mwize kwali mukuti iye ivwe lihala livakanwa vantu, kono livaketwa kwe Ireza kuti njilyona lya vutokwa kwali.
5 Mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho, ambamo mtatumikia kama makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.
Nanwe vulyo mukoleri mu mavwe ahala akwete ku tendeswa kuku zaka inzubo ya luhuho, kuchitira kuti muve muva purisita vaha zitavelo za tambula Ireza cha Jesu Kiresite.
6 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Tazama! Naweka huko sioni jiwe kuu la msingi, jiwe la thamani kubwa nililoliteua. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa.”
Iñolo lina ichi: “Vone, ni tuula mwa Siyone ivwe lya mwi nkona, liketetwe mi lyavutokwa. Yense yo zumina kwali kete na swave.”
7 Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hilo ni la thamani kubwa; lakini kwa wale wasioamini, “Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.”
Kukutekwa kwina kwenu mu zumina. “Kono ivwe livakanwa kuva zaki, liba sanduka mutwi we nkona
8 Tena Maandiko yasema: “Jiwe hilo ni jiwe la kujikwaa, mwamba wa kuwaangusha watu.” Watu hujikwaa kwa sababu hawauamini ule ujumbe; na ndivyo walivyopangiwa tangu mwanzo.
“iñomwe lyachi sitataliso ni nivwe lyachi sitataliso. Ba sitatala, chakusa mamera linzwi, kakuti ku vava lukisezwe.
9 Lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa Mfalme, taifa takatifu; watu wake Mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya Mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.
Kono inwe muvantu vaketetwe, lusika lwa vu purisita, inkanda ijolola, vantu ve Reza vali munine, jo kucho kuti kamwi zivahaze mitendo mikando yakwe yava mi sumpi kumi zwisa mwififi niku mi leta mwi seri likomokisa.
10 Wakati mmoja ninyi hamkuwa watu wa Mungu, lakini sasa ninyi ni watu wake; wakati mmoja hamkupewa huruma ya Mungu, lakini sasa mmeipokea.
Hasana muvali muvantu, kono hanu chiri muvantu ve Ireza. Kana muva tambwire chishemo, kono hanu muva tambuli chishemo.
11 Wapenzi wangu, nawasihi ninyi kama wageni na wakimbizi hapa duniani! Achaneni na tamaa za mwili ambazo hupingana na roho.
Vasakiwa, nimi sumpa ma zwahule, ni vantu vaka vu yambaela kuti mulizwise kwintakazo ze nyama, zi leta inkondo kulwisanisa luhuho lwenu.
12 Mwenendo wenu kati ya watu wasiomjua Mungu unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni kwamba mnatenda mabaya, waweze kutambua matendo yenu mema na hivyo wamtukuze Mungu Siku ya kuja kwake.
Muswnela kuva ni mitendo mi lotu mukati ka Vantu vasezi Ireza, chokuti, hava wamba kahenu kuti muva chiti zintu zivi, Muvavone mitendo yenu milotu, mi lumbe ishenu luzuva lwete neze.
13 Basi, jiwekeni chini ya mamlaka yote ya kibinadamu, kwa ajili ya Bwana: utii kwa mfalme aliye mtawala mkuu,
Mukuteke vuyendisi bwa vantu vonse chevaka lya Simwine. Mukuteke vu simwine vonse vwina he wulu.
14 utii kwa wakuu wa mikoa ambao wameteuliwa naye kuwaadhibu wahalifu na kuwasifu watendao mema.
Mane ni va Vusisi, va vakatumwa kuti vahe milandu ku va fosa niku temba va chita zilotu.
15 Maana Mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya.
Kakuti icho intato ye Ireza, kuti chaku chita vulotu, mutontoza ziambo za vantu va zihole.
16 Ishini kama watu huru; lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa Mungu.
Cha vantu va lukuluhite, sanzi mutendisi intukuluho yenu ku fupika vuvi, kono muve sina va hikana va Ireza.
17 Waheshimuni watu wote, wapendeni ndugu zenu waumini, mcheni Mungu, mheshimuni mfalme.
Kuteke vantu vonse. ve niilato kuvamwi, Tiye Ireza. Kuteke simwine.
18 Enyi watumishi wa nyumbani, watiini wakuu wenu kwa heshima yote, wawe wema na wapole au wenye kuchukiza.
Vahikana, mulivike kukuteka va nfumwenu che kute lyonse. Sanzi mukuteki vulyo va vashiyeme niva va lukite, kono navana va kukutu.
19 Maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba Mungu anataka hivyo, basi Mungu atawafadhili.
Kakuti ichi china mupuzo muntu hali koza mwi nako inkukutu kunyandiswa no chita zishiyeme che vaka lyokwi iziva Ireza.
20 Maana, mtapata tuzo gani mkivumilia mapigo mnayostahili kwa sababu ya makosa yenu? Lakini kama mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu atawapeni baraka kwa ajili hiyo.
Linu hamulikoza nimukwete ku kabwa che baka lyakufosa mumu tembwe vule? Kono haiva muva chita vulotu, mi unyanda noherwe inkoto, icho china mupuzo kwa Ireza.
21 Hayo ndiyo mliyoitiwa; maana Kristo mwenyewe aliteseka kwa ajili yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo wake.
Cheli ivaka muva sumpwa, Kakuti Kresite naye ava sukulwirwa inwe. Avasiyi mutala kuti mwi chirire mwinzila yakwe.
22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.
Kana ava chiti vuvi, nanga chiwambo chi fosahere muka holo kakwe.
23 Alipotukanwa yeye hakujibu kwa tukano; alipoteseka yeye hakutoa vitisho, bali aliyaweka matumaini yake kwa Mungu, hakimu mwenye haki.
Nihavali kutukwa kana avali kuvoza matapa, nihanyadiswa kana avali kufumbira, kono chali tambika kwali yo atula chaku woloka.
24 Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika mwili wake juu ya msalaba, tupate kufa kuhusu dhambi, na kuishi kwa ajili ya uadilifu. Kwa majeraha yake, ninyi mmeponywa.
Iye mwine ava hindi vuvi bwetu mumuviri wakwe nikuvutwala hachisamu. Kuchitira kuti sanzi tuvi ni chiyemba mu vuvi, kono tutange kuhalira kushiyama. Chakuhalolwa kwa muviri wakwe muvahozwa.
25 Ninyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho zenu.
Muvonse muvali kuherahera sina imberere zi zovete. Kono hanu muvavoli kumu lisi we mberere ni muvavaleri wa luhuho lwenu.