< 1 Petro 1 >

1 Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia.
Jesuh Khritawa ngsä Pita üngkhyüha, Pontas hne, Kalatih hne, Kappadokih hne, Asah hne ja Bithuniha hnee üng pekce khyanga kba ngpyeng lü ve hükie, Pamhnama sakhyangea veia.
2 Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.
Jesuh Khritaw läklam lü a thisen am ning jah ngcimsak se, a Ngmüimkhya Ngcim am khyang ngcima ning jah pyang lü Pa Pamhnama hlüeia a ning jah xü pänga nami kyaki. Bäkhäknak ja dimdeihnak cun nami khana hläipyam lü ve se.
3 Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima,
Jesuh Khritaw thihnak üngkhyüh a mthawh bea phäh, a mpyeneinak dämduh lü sak kthai ja xüngseikia äpeinak a jah pet ni. Acuna phäh mi Bawipa Jesuh Khritawa Pa ja a Pamhnam hin mi mhlünmtai vai u.
4 na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.
Pamhnam naw a khyanga phäh a jah cüm peta dawkyanak kümcei cun kanak khaia ma da kami tengki. Ani naw acune cun käh thuuih cimpye khyükhleih thei khaia khankhawa a ning jah tak pet ni.
5 Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati.
Acun he cun: akpäihnaka khawmhnüp üng mdan vaia küikyannak, Pamhnama johit am ami jumeinak üngkhyüh jah thupa khyangea phäh jah tak pet ni.
6 Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka.
Acuna phäh nami jekyaikie. Cunüngpi, khuikhanak mjüküm nami khameia phäh atuh hin asängca nami pukset vai hlü taw khai.
7 Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.
Acun cun nami jumeinak hin cangki aw tia ami mhnütnak hlüa phäh ni. Pyüpye theikia xüi pi mei üng mhnüta kyaki. Acuna kthaka daw bawk lü am pyüpye theikia nami jumeinak pi mhnüt yah vai. Acunüng Jesuh Khritaw a law bea Mhnüp üng hlüngtainak, mhlünmtainak ja leisawngnak nami yah khai.
8 Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,
Ani cun am hmu khawi kyaw uki lüpi, nami mhläkphyanaki. Atuh hin am hmu kyaw uki lüpi, nami jumeiki. Mpyawng üng am pyen theia jekyainak k’hlüngtai am nami jekyaiki.
9 kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.
Isenitiüng ta, ani nami jumeinak üng nami büa nami ngmüimkhya küikyannak nami yaha phäh ni.
10 Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
Pamhnam naw ahina küikyannak a ning jah pet vai cun sahma he naw angsingtea mcek lü suihjap lü ana pyen pängki he.
11 Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.
Khritawa Ngmüimkhya cun ami k’uma ve lü Khritawa khamei vaia khuikhanaka suilam ja hlüngtainak a yah vai cun jah mhnüh lü ana pyenki. Acunakyase, Khritaw cun ihawkba law be khai, itia law be khai ti cun suihjapkie.
12 Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
Pamhnam naw sahma he naw ami khut bi cen amimäta phäh am ni. Nangmia phäh ni tia khankhaw üngka naw jah tüih lawa ngsäe, Ngmüimkhya Ngcima johit am Thangkdaw sangkie, naw ami pyen cen nami ngjakie. Ahina mawnge ni khankhawngsäe naw pi ngjakkya vai ami ngaih.
13 Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!
Acunakyase, khut bi am nami mdan vaia nami mlung pitpyang ua. Jesuh Khritaw a ngdang law be üng, ning jah pet vai dawkyanaka khana nami äpeinak kümcei cun ta lü thüxak lü a na ngcüngcei ua.
14 Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.
Pamhnama ngthu läklam ua. Mawngcei lü nami ve ham üng, am dawkyakia nami xüngseia mäiha, nami xünsak käh ning jah up be ti kawm.
15 Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.
Acuna kthaka ta, ning jah khükia Pamhnam a ngcingcaih mäih kunga kba nami bilawh naküt üng ngcingcaih lü ve ua.
16 Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
Cangcim üng, “Kei ka ngcingcaihkia kyase ngcingcaih ua” ti lü a pyen.
17 Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu.
Hmai käh teng lü khyang naküt a pawha kba angteha ngthu mtaiki Pamhnama veia nami ktaiyü üng, ka Pa nami tiki. Acunakyase, khawmdek khana nami xün k’um üng ani leisawng lü ve ua.
18 Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu;
Nami pupa üngkhyüh ia käh ngtähkia xüngseinak üngka naw ning jah thawngkhyah ni. Pyüpye lü khyükhleih theikia ngui xüi am ning jah thawng am ni.
19 bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa.
Ia mkhyenak käh ve lü am lembawikia toca am tängki Khritaw thisen küi am ning jah thawngkhyah cun ksing ua.
20 Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
Khawmdeka am a ngtüi ham üngkhyüh ani cun Pamhnam naw a xü päng ni. Ahina akpäihnaka khawmhnüpe üng, nami phäha ngdang lawki.
21 Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.
Thihnak üngkhyüh mtho be lü hlüngtainak ani üng peki Pamhnam cun ani üngkhyüh nami jumeikia kyase, nami jumeinak ja äpeinak cun Pamhnam üng nami taki.
22 Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote.
Atuh ta ngthungtak nami läklamnak üng namimät ngcingcaihsakei ve uki. Acunakyase, nami khritjanpüi mhläkphyanak ja, mat ja mat mlung kcang naküt am mhläkphya na ua.
23 Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele. (aiōn g165)
Pyüpye theiki am ni lü, käh pyüpye theikia mci ui, angsäia xüng lü mäkia Pamhnama ngthu am nami hmi be pängki ni. (aiōn g165)
24 Kama Maandiko yasemavyo: “Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka.
Cangcim naw, Khyang nghngicim naküt cun msaia kba ni, ami hlüngtainake pi mawa ka khyeipai hea kba ni; Msai cun ngjai lü, khyeipai pi kyüki ni,
25 Lakini neno la Bwana hudumu milele.” Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
cunüngpi, Bawipaa ngthu ta angsäia mäki” ti lü pyenki. Ahina ngthu hin nami veia sang lawa Thangkdaw ni. (aiōn g165)

< 1 Petro 1 >