< 1 Yohana 2 >
1 Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa.
Shi ahanaa am acicinca, imum igeme sa ma nyertike shi ni barki kati iwuzi imum iburi. Ingi uye ma wuza imum iburi tizin unu nu ubenki ahira uvanah asere unu zatu madini.
2 Kristo ndiye sadaka iondoayo dhambi zetu; wala si dhambi zetu sisi tu, bali pia dhambi za ulimwengu wote.
Me mani maa nya nice ni meme barki akpici madini maru, d aki maru cas ba, barki mu une vat.
3 Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.
Barki ani me, ti rusa me, ingi ti inso tize ti meme.
4 Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.
Desa ma guna, “In rusa Asere,” ingi inki mada inso me tize time me, una macico mani. Kadure ka zome anyimo me ba.
5 Lakini mtu yeyote anayeshika neno la Mungu, huyo ndiye aliye na upendo kamili wa Mungu ndani yake. Hivi ndivyo tunavyoweza kuwa na hakika kwamba tunaungana naye:
Vat desa ma canti tize ta Asere, kadure me mani ma tarsa Asere. Utarsa ukadure ane ani tidi rusi ti raa anyimo ameme.
6 mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.
Koda vi desa ma guna ma ciki anyimo Asere, me inni ce nimeme ca ma cukuno gussi Asere me.
7 Wapenzi wangu, amri hii ninayowaandikieni si amri mpya; ni amri ileile ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Amri hiyo ya zamani ni ule ujumbe mliousikia.
Shi nihenu daki imum isoo ini ma nyertike shi ni ba, imum igino ini sa isa russa dati, tize ta Asere sa yamu kunna.
8 Hata hivyo, amri hii ninayowaandikieni ni amri mpya, na ukweli wake unaonekana ndani ya Kristo na ndani yenu pia. Maana giza linatoweka, na mwanga wa ukweli umekwisha anza kuangaza.
Har kani tize tiso tigino me tini izini nyetike ushi nin, tize me kadure kani ahira Asere nan ahira shi, barki maree mazinu agiza, masaa manzinu bara ahira.
9 Yeyote asemaye kwamba yumo katika mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo gizani.
Desa maguna ma raa anyimo masaa ma game uhenu umeme ma daza anyimo amareu a'ana me.
10 Yeyote ampendaye ndugu yake, yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine.
Desa ma nyara uhenu, ma ciki anyimo a masaa, i mum ipilko i zome ahira ame ba.
11 Lakini anayemchukia ndugu yake, yumo gizani; anatembea gizani, na hajui anakokwenda, maana giza limempofusha.
Unu game uhenu, ma raa ama ree, a nyimo amree mani ma haka ni, ma taa me ahira sa ma patala, barki maree ma wuna me irubo.
12 Ninawaandikieni ninyi watoto, kwa kuwa dhambi zenu zimeondolewa kwa jina la Kristo.
Ma nyertike shi ni ahana iriba im, barki a kpico madini mashi me anyimo aniza nimeme.
13 Nawaandikieni ninyi kina baba kwani mnamjua yeye ambaye amekuwako tangu mwanzo, Nawaandikieni ninyi vijana kwa sababu mmemshinda yule Mwovu.
Shi ananu ma nyertike shi nin barki sa irusa me, desa mazi datti utuba, shi masoo ma nyertike shi ni barki ya re nikara ninu uburi. Ma nyertike shi nin ahana acinci, barki irusa aco me. Ma nyertike shi nin ananu, barki irusa me desa marani datti unu tuba.
14 Nawaandikieni ninyi watoto, kwa sababu mnamjua Baba. Nawaandikieni ninyi kina baba, kwa kuwa mnamjua yeye ambaye amekuwako tangu mwanzo. Nawaandikieni ninyi vijana kwa sababu mna nguvu; neno la Mungu limo ndani yenu na mmemshinda yule Mwovu.
M a nyertike shi nin masoo barki sa izin ini kara tize ta Asere ti ciki anyimo ashi me. Ya re nikara ninu uburi.
15 Msiupende ulimwengu, wala chochote kilicho cha ulimwengu. Mtu anayeupenda ulimwengu, upendo wa Baba hauwezi kuwamo ndani yake.
Kati i tarsi une ba, nani imum me sa sa ira anyimo une vat desa ma tarsa une daki ma hem in Asere ba.
16 Vitu vyote vya ulimwengu-tamaa mbaya za mwili, vitu wanavyoviona watu na kuvitamani, majivuno yasababishwayo na mali-vyote hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu.
Barki vat imum me sa ira anyimo kasi katuma kani pum, mei maje, ubezi ubari, daa katuma Asere kani ba ku une kani.
17 Ulimwengu pamoja na vitu vyake vyote vyenye kutamanika unapita; lakini mtu atendaye atakalo Mungu, anaishi milele. (aiōn )
Une udi mari nan timum me vat. Desa ma tarsa tize ta Asere madi vengize sarki ibinani. (aiōn )
18 Watoto, mwisho u karibu! Mlikwisha sikia kwamba adui wa Kristo anakuja, na sasa adui wengi wa Kristo wamekwisha fika, na hivyo twajua kwamba mwisho u karibu.
Shi ahana am uganiya umara une wa aye, kasi ya kunna unu ishina Asere ma eze, ana me anu ishina ya Asere wamu, barki ane ani ta tinka tiye ti maraa une tini.
19 Watu hao wametokea kati yetu lakini hawakuwa kweli wa kwetu na ndiyo maana walituacha; Kama wangalikuwa wa kwetu, wangalibaki nasi. Lakini waliondoka, wakaenda zao, kusudi ionekane wazi kwamba hawakuwa kamwe wa kwetu.
Wa suro anyimo aru, datti daki aru wani wazi tida zo me nigome nan we, wa suro barki wa bezi une wa zo me anyimo aru ba.
20 Ninyi, lakini, mlipata kumiminiwa Roho Mtakatifu na Kristo, na hivyo mnaujua ukweli.
Shi vat, unu lau ma kpico shi, vat ushi irusa kadure me.
21 Basi, nawaandikieni, si kwa kuwa hamuujui ukweli, bali kwa sababu mnaujua; na pia mnajua kwamba uongo wowote haupatikani katika ukweli.
Ma nyertike shi sa ida tashi kadure kani ba, ko cin barki ikuri irusa kadure, i da zome macico ba.
22 Mwongo ni nani? Ni yule anayekana kwamba Yesu ni Masiha. Mtu wa namna hiyo ni adui wa Kristo—anamkana Baba na Mwana.
Aveni una macico, nani desa ma game yesu vana Ugomo Asere? Unu ugino me mani unu zati madini uhem in Yesu, me mani unu game aco wan vana ume. Desa ma hem in vana me makem aco me.
23 Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.
Vat desa ma game vana me, ma game aco me cangi, desa ma hem in vana me, ma hem in kaco me.
24 Basi, ujumbe ule mliousikia tangu mwanzo na ukae mioyoni mwenu. Kama ujumbe huo mliousikia tangu mwanzo ukikaa ndani yenu, basi, mtaishi daima katika umoja na Mwana na Baba.
Kasi shi, ca imum me sa ya kunna datti, i cukuno anyimo ashi.
25 Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: uzima wa milele. (aiōnios )
Ingi imum me sa ya kunna datti ya cukuno anyimo ashi idi cukuno anyimo a vana me wan ka co me. (aiōnios )
26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha ninyi.
Ma inko tize ti ge me barki an desa wa nyara uranga ushi.
27 Lakini, kwa upande wenu ninyi, Kristo aliwamiminieni Roho wake. Na kama akiendelea kukaa ndani yenu, hamhitaji kufundishwa na mtu yeyote. Maana Roho wake anawafundisheni kila kitu na mafundisho yake ni ya kweli, si ya uongo. Basi shikeni mafundisho ya huyo Roho na kubaki katika muungano na Kristo.
Shi, uvisa ugeme sa ya kem ahira ameme ura anyimo ashi me, ida kuri i nyari uye sa madi dungurka shi ba. Kasi uvisa ugino me une uni udungura shi ko nyani, kadure kani daki macico ba, gusi sa a dungurka shi, cukuno nin anyimo udungura me.
28 Naam, watoto, kaeni ndani yake kusudi wakati atakapotokea tuwe hodari bila kuwa na sababu ya kujificha kwa aibu Siku ya kuja kwake.
A'ana me, shi ahana am, cukuno nin anyimo ameme, barki ingi ma aye ma kem duru in nikara kati i cukuno imu i aje ameme ingi ma aye.
29 Mnajua kwamba Kristo ni mwadilifu kabisa; basi, mnapaswa kujua pia kwamba kila mtu atendaye mambo adili ni mtoto wa Mungu.
I rusa me unu zatu uma dini mani, d esa ma wuza imum iriri ayo me anyimo Asere ani.