< 1 Wakorintho 5 >
1 Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!
Nami ksunga hüipawmnak kyühkse akcanga veki tia ngthang hüki; acun hin khyang kcee üng pi am ve. Ami paa khyu kdik ihpüikie ti cun na mthehkie.
2 Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu.
Ihawkba nami awhcah khai ni. Acukba veki cun thüiseinak vai ni. Nami vei üngkhyüh pi ksät vai sü.
3 Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu.
Ka pumsa am thuk lüpi Ngmüimkhya am nami hlawnga ka veki. Aksekhyua vekia khana Bawi Jesuh naw ngthumkhyah khaia kei naw pyen veng. Nangmi atänga nami nghmuh akba kei naw Ngmüimkhya am ka ning jah hmuh ngüse ni Bawi Jesuha johit naw atänga jah vepüiki.
4 Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,
5 mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.
Khyang acuna mäih cun a Ngmüimkhya Bawipa khaw mhnüp üng küikyannak a yah vaia, a pumsa khyükleih khaia Khawyama veia ap ua.
6 Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?
Nami awhcah hin am daw ve. Nghngen apica naw bu angkhä thawh saki ti am nami ksingki aw?
7 Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
Mkhyenaka nghngen kphyüm cän loin ua, acukba ani üngva avana nami caih khai. Tuhta nghngen am ngcawki buh tawh üng nami täng khai. Nangmi cun akcanga nami ngcimki he ni. Mi lätnak pawi pi ngsäm hnüh ve, mi lätnak pawhnak vai Khritaw pi hnim päng ve u.
8 Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli.
Acunakyase, mkhyekatnaka nghngnen akphyüm am kcawa muk am ni lü, nghngnen käh kcawa muk ngcimcaihnak ja ngthungtak am lätnak mi pawh vai u.
9 Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.
Ka cayuk üng hüipawmkie käh nami jah ngpawngpüi vaia ka ning ja mthehki.
10 Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!
Ka tinak hlü ta hüipawmkie, mpyukei he, juktuh hjawkhahkie käh jah ngpawngpüi ka tinak am ni. Khawmdek üng käh nami sängei vaia jah hjawng kung ua.
11 Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.
Ka tinak hlü ta jumeikia ngsui lü hüipawmki, mpyuki, ngvawk pawhki, juktuh hjawkhahki, khyang hnimki, ju awki he cun atänga ngaw lü ei pi käh jah eipüi u.
12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe?
Akcee ngthu jah mkhya pet vai cun keia bilawh vai am ni. Pamhnam naw jah mkhyah pe khai. Acunsepi namäta püie cun nami jah mkhya pe khai am ni aw? Cangcim naw a pyena kba “Am dawkia khyang nami ksung üngkhyüh jah ksät ua.”
13 Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!