< 1 Wakorintho 2 >
1 Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria siri ya ujumbe wa Mungu kwa ufasaha wa lugha, au kwa hekima ya binadamu.
ᎠᎴ ᎠᏴ ᎢᏓᎵᏅᏟ, ᏫᏨᎷᏤᎸ, ᎥᏝ ᎣᏌᏂ ᎦᏬᏂᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᎠᎴ ᎠᎦᏙᎥᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᏱᏨᎷᎯᏍᏓᏁᎴᎢ, ᎢᏨᏃᏁᎲ ᎪᎯᏳᏗᏍᎩ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏤᎵᎦ.
2 Nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua Yesu Kristo; naam, Kristo aliyesulubiwa.
ᏓᏊᎪᏔᏅᎩᏰᏃ ᎾᏍᎩ ᎪᎱᏍᏗ ᎠᎩᎦᏙᎥᎯᏍᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ ᏂᎯ ᎢᏤᎲ, ᎤᏩᏒᎯᏳ ᏥᏌ ᎦᎶᏁᏛ ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᏓᏓᎿᎭᏩᏍᏛ ᎠᎦᏛᏅᎯ.
3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
ᎠᎴ ᏥᏩᎾᎦᎸᎢ, ᎠᎴ ᏥᎾᏰᏍᎬᎢ, ᎠᎴ ᎤᏣᏘ ᎠᎩᎾᏫᏍᎬ ᎢᏨᏰᎳᏗᏙᎲᎩ.
4 Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.
ᎠᎴ ᏥᏬᏂᏍᎬ ᎠᎴ ᎦᎵᏥᏙᎲᏍᎬᎢ ᎥᏝ ᏴᏫ ᎤᏤᎵ ᎠᏓᏍᏗᏰᏗᏍᎩ ᎠᎦᏙᎥᎪᏍᏗ ᎨᏒ ᏱᎬᏗᏍᎨᎢ, ᎠᏓᏅᏙᏍᎩᏂ ᎠᎴ ᎤᎵᏂᎩᏗ ᎨᏒ ᏄᏜᏓᏏᏛᏒᎾ ᏂᎬᏁᎲᎢ;
5 Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
ᎾᏍᎩ ᎢᏦᎯᏳᏒ ᏴᏫ ᎠᏂᎦᏔᎿᎭᎥᎢ ᏄᎵᏍᎦᏍᏙᏛᎾ ᎢᏳᎵᏍᏙᏗᏱ, ᎤᏁᎳᏅᎯᏍᎩ ᎤᎵᏂᎩᏗᏳ ᎨᏒᎢ.
6 Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea. (aiōn )
ᎠᎦᏙᎥᎯᏍᏗᏍᎩᏂᏃᏅ ᎨᏒ ᎣᏨᏗᏍᎪ ᎣᏥᏬᏂᎯ ᎪᎱᏍᏗ ᏄᏂᎷᎶᏤᎲᎾ; ᎥᏝ ᎠᏗᎾ ᎡᎶᎯ ᎤᏤᎵ ᎠᎦᏙᎥᎯᏍᏗ ᎨᏒᎢ, ᎥᏝ ᎠᎴ ᎤᏂᎬᏫᏳᎯ ᎡᎶᎯ ᎠᏁᎯ ᎤᎾᏤᎵᎦ, ᎾᏍᎩ ᎠᏎᏉᏉ ᎢᎦᎵᏍᏗᏍᎩ ᏥᎩ. (aiōn )
7 Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn )
ᎠᏴᏍᎩᏂ ᎣᏥᏬᏂᏍᎪ ᎣᏨᏗᏍᎪ ᎠᎦᏙᎥᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏤᎵᎦ, ᎤᏕᎵᏛ ᎨᏒᎢ, ᎾᏍᎩ ᎬᏍᎦᎵ, ᎾᏍᎩ ᎢᏳᎵᏍᏙᏗᏱ ᏥᏚᏭᎪᏔᏁ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎡᎶᎯ ᎠᏏ ᏂᎨᏒᎾ ᏥᎨᏎᎢ, ᏧᎬᏩᎴ ᎠᏴ ᎡᎩᎸᏉᏙᏗᏱ. (aiōn )
8 Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
ᎾᏍᎩ ᎥᏝ ᎩᎶ ᏗᎨᎦᏁᎶᏗ ᎡᎶᎯ ᎠᏁᎯ ᏱᏂᎦᏔᎮᎢ; ᏱᎠᏂᎦᏔᎮᏰᏃ ᎥᏝ ᎦᎸᏉᏗᏳ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᏓᏓᎿᎭᏩᏍᏛ ᏱᎬᏩᎾᏛᏁᎢ; (aiōn )
9 Lakini, ni kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao.”
ᎾᏍᎩᏯᏍᎩᏂ ᎯᎠ ᏥᏂᎬᏅ ᏥᎪᏪᎳ, ᎩᎶ ᎤᎪᎲᎯ ᏂᎨᏒᎾ, ᎠᎴ ᎤᏛᎦᏅᎯ ᏂᎨᏒᎾ, ᎠᎴ ᏴᏫ ᎤᎾᏫᏱ ᎤᏴᎸᎯ ᏂᎨᏒᎾ, ᎾᏍᎩ ᏄᏍᏛ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᏚᏛᏅᎢᏍᏓᏁᎸ ᎾᏍᎩ ᎬᏩᎨᏳᎯ.
10 Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu.
ᎠᏎᏃ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎬᏂᎨᏒ ᏂᎬᏁᎸ ᎤᏓᏅᏙ ᎤᏮᏔᏅ; ᎠᏓᏅᏙᏰᏃ ᏂᎦᎥ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᎠᎪᎵᏰᏍᎪᎢ, ᎾᏍᏉ ᎬᏍᎦᎵ ᎨᏒ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏤᎵᎦ.
11 Nani awezaye kujua mambo ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
ᎦᎪᏰᏃ ᎢᏳᏍᏗ ᏴᏫ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᏴᏫ ᏧᏤᎵᎦ ᎠᎦᏔᎭ? ᎤᏩᏒᏉᏍᎩᏂ ᏴᏫ ᎤᏓᏅᏙ ᎾᏍᎩ ᏧᏯᎠ. ᎾᏍᎩᏯ ᎾᏍᏉ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᏧᏤᎵᎦ ᎥᏝ ᎩᎶ ᏯᎦᏔᎭ, ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏓᏅᏙ ᎤᏩᏒ.
12 Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa na Mungu.
ᎠᎴ ᎠᏴ ᎥᏝ ᎠᏓᏅᏙ ᎡᎶᎯ ᎡᎯ ᏱᏙᎦᏓᏂᎸᏨ, ᎠᏓᏅᏙᏍᎩᏂ ᎤᏁᎳᏅᎯᏱ ᏅᏓᏳᏓᎴᏅᎯ, ᎾᏍᎩ ᎣᎩᎦᏙᎥᎯᏍᏗᏱ ᎾᏍᎩ ᎬᏩᎦᏘᏯ ᎣᎩᏁᎸᎯ ᎨᏒ ᎤᏁᎳᏅᎯ.
13 Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.
ᎾᏍᎩ ᎾᏍᏉ ᎣᏥᏃᎮᏍᎪᎢ, ᎥᏝ ᏲᏨᏗᏍᎪ ᎦᏬᏂᎯᏍᏗ ᏴᏫ ᎤᏤᎵ ᎠᎦᏙᎥᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᏧᏕᏲᏅᎯ, ᎦᎸᏉᏘᏳᏍᎩᏂ ᎠᏓᏅᏙ ᏧᏕᏲᏅᎯ; ᎠᏓᏅᏙ ᎤᎵᏍᎪᎸᏔᏅᎯ ᎬᏂᎨᏒ ᏂᏙᏨᏁᎰ ᎠᏓᏅᏙ ᎤᏁᎯ.
14 Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo mambo hayo ni upumbavu mtupu; yanapita akili yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho.
ᏴᏫᏍᎩᏂ ᎤᏓᏁᏟᏴᏛ ᏂᎨᏒᎾ ᎨᏒ ᎥᏝ ᏱᏓᏓᏂᎸᎪ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏓᏅᏙ ᎤᎵᏍᎪᎸᏔᏅᎯ; ᎠᎵᏍᎦᏁᏛᏉᏰᏃ ᏚᏰᎸᏐᎢ; ᎥᏝ ᎠᎴ ᏗᎬᏬᎵᏍᏗ ᏱᎨᏐᎢ, ᏅᏗᎦᎵᏍᏙᏗᏍᎪ ᎠᏓᏅᏙ ᎬᏗ ᏗᎬᎪᏩᏛᏗ ᎨᏒᎢ.
15 Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
Ꮎ-ᏍᎩᏂ ᎠᏓᏅᏙ ᎤᏪᎯ ᏂᎦᎥ ᎠᎪᏩᏘᏍᎪᎢ, ᎠᏎᏃ ᎤᏩᏒ ᏄᏍᏛ ᎥᏝ ᎩᎶ ᏳᎪᏩᏘᏍᎪᎢ.
16 Maandiko yasema: “Nani awezaye kuifahamu akili ya Bwana? Nani awezaye kumshauri?” Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.
ᎦᎪᎨ ᎤᎦᏙᎥᏐ ᏱᎰᏩ ᎤᏓᏅᏛᎢ, ᎾᏍᎩ ᏰᎵ ᎬᏪᏲᏗ ᎢᎬᏩᎵᏍᏙᏗ? ᎠᏴᏍᎩᏂ ᎦᎶᏁᏛ ᎤᏓᏅᏛ ᎢᎨᎭ.