< Sefania 1 >

1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Sefania mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana Hezekia, katika siku za Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda. “
Herrens Ord, som kom til Zefanias, en Søn af Kusi, der var en Søn af Gedalia, der var en Søn af Amaria, der var en Søn af Ezekias, i de Dage, da Josias, Amons Søn, var Konge i Juda.
2 Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
Bort, ja, bort vil jeg tage alt af Jorden, siger Herren.
3 Nitamwangamiza mtu na mnyama; Nitawaangamiza ndege wa mbinguni na samaki wa baharini, uharibifu pamoja na waovu. Hivyo nitamfutilia mbali mtu kutoka uso wa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
Jeg, vil borttage Mennesker og Dyr, borttage Fuglene under Himmelen og Fiskene i Havet og alle Anstød tillige med de ugudelige; og jeg vil udrydde Menneskene af Jorden, siger Herren.
4 Nitafika kwa mkono wangu juu ya Yuda na wote wenyeji wa Yerusalemu. Nitafutilia mbali kila mabaki ya Baali kutoka sehemu hii na majina ya watu waabuduo sanamu miongoni mwa makuhani,
Og jeg vil udstrække min Haand imod Juda og imod alle Jerusalems Indbyggere, og jeg vil udrydde af dette Sted det overblevne af Baal, Afgudspræsternes Navn tillige med Præsterne;
5 watu ambao juu ya nyumba huabudu miili ya mbinguni, na watu ambao huabudu na kuapa kwa Yahwe bali ambao pia huapa kwa mfalme wao.
og dem, som paa Tagene tilbede Himmelens Hær, og dem, som tilbedende sværge til Herren og dog sværge ved deres Konge;
6 Nitawafutilia mbali pia wale ambao wamegeuka nyuma kutoka kumfuata Yahwe, wale ambao pia humtafuta Yahwe pasipo kuuliza ulinzi wake.
og dem, som ere vegne bort fra Herren, og som ikke have søgt Herren og ikke spurgt efter ham.
7 Uwe kimya mbele ya Bwana Yahwe! Kwa kuwa siku ya Yahwe ni karibu, Yahwe ameandaa dhabihu na amewatenga wageni wake.
Stille for den Herre, Herre! thi Herrens Dag er nær; thi Herren har beredt en Offerslagtning, han har helliget sine indbudne.
8 “Itakuja katika siku ya dhabihu ya Bwana, hivyo nitawapiga wakuu na wana wa mfalme, na kila mmoja aliyevikwa mavazi ya kigeni.
Og det skal ske paa Herrens Offerslagtnings Dag, at jeg vil hjemsøge Fyrsterne og Kongens Børn og alle, som klæde sig i fremmed Dragt.
9 Katika siku hiyo nitawapiga wote wale ambao huruka juu ya kizingiti, wale ambao hujaza nyumba ya bwana wao kwa vurugu na udanganyifu.
Og jeg vil hjemsøge paa den Dag hver den, som springer over Dørtærskelen, dem, som fylde deres Herres Hus med Vold og Svig.
10 Itakuwa katika siku ile - hili ni tangazo la Yahwe - kwamba kilio cha huzuni kitakuja kutoka kwenye mlango wa samaki, ikipiga yowe kutoka Wilaya ya Pili, na sauti ya kishindo kikuu kutoka vilimani.
Og der skal paa denne Dag, siger Herren, lyde Raab fra Fiskeporten og Hylen fra Stadens anden Del og stor Forstyrrelse fra Højene.
11 Pigeni yowe, wenyeji wa Soko la Wilaya, kwa wote wafanyabiashara watakuwa wameharibiwa, wote wale ambao hupima fedha watakuwa wamefutiliwa mbali.
Hyler, I som bo i Morteren! thi alt Kræmmerfolket er tilintetgjort, alle de, som vare belæssede med Sølv, ere udryddede.
12 Itakuwa katika siku ile nitaitafuta Yerusalemu kwa taa na kuwapiga wanaume ambao watakuwa wamekaa kwenye mvinyo wao na kusema mioyoni mwao, 'Yahwe hatafanya chochote, ama kizuri au kiovu.'.
Og det skal ske paa den Tid, at jeg vil ransage Jerusalem med Lygter, og jeg vil hjemsøge de Folk, som ligge stille paa deres Bærme, dem, som sige i deres Hjerte: Herren gør hverken godt eller ondt.
13 Mali zao zitakuja kuporwa, na nyumba zao zitakuwa zimetelekezwa kwa maangamizi! Watajenga nyumba lakini hawataishi humo, na kupanda mizabibu lakini hawatakunywa mvinyo wake.
Og deres Gods skal blive til Rov og deres Huse til Ødelæggelse, og de skulle bygge Huse, men ikke bo i dem, og plante Vingaarde, men ikke drikke Vin af dem.
14 Siku kubwa ya Yahwe ni karibu, karibu na inaharakisha upesi! Sauti ya siku ya Yahwe itakuwa ya kilio cha uchungu wa kishujaa!
Nær er Herrens Dag, den store, den er nær og haster saare; Lyden af Herrens Dag høres; der raaber den vældige bitterlig.
15 Siku hiyo itakuwa siku ya ghadabu, siku ya huzuni na uchungu, siku ya dhoruba na maangamizi, siku ya giza na utusitusi, siku ya mawingu na giza nene.
En Vredes Dag er denne Dag, en Nøds og Trængsels Dag, en Forstyrrelses og Ødelæggelses Dag, en Mørkheds og Dunkelheds Dag, en Skys og Mulms Dag,
16 Itakuwa siku ya parapanda na kengele dhidi ya ngome mijini na buruji ndefu.
en Trompetklangs og Krigsraabs Dag over de befæstede Stæder og over de høje Hjørnetaarne.
17 Hivyo nitaleta dhiki juu ya wanadamu, kwa hiyo watatembea karibu kama wanaume vipofu tangu walipofanya dhambi dhidi ya Yahwe. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na sehemu zao za ndani kama kinyesi.
Og jeg vil ængste Menneskene, og de skulle gaa som blinde; thi de have syndet imod Herren; og deres Blod skal udøses som Støv og deres Kød som Skarn.
18 Wala fedha zao wala dhahabu zao hazitaweza kuwaokoa juu ya ghadhabu ya Yahwe. Ndani ya moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, hivyo ataleta ukamilifu, miwisho wa kutisha kwa wote wakaao duniani.”
Hverken deres Sølv eller deres Guld skal kunne redde dem paa Herrens Vredes Dag, men ved hans Nidkærheds Ild skal den hele Jord fortæres; thi han skal gøre Ende, ja, hastelig gøre Ende paa alle Jordens Beboere.

< Sefania 1 >