< Sefania 3 >

1 Ole kwa mji ulioasi! Mji wenye vurugu umenajisiwa.
Gorje njej, ki je umazana in oskrunjena, zatiralskemu mestu, [prestolnici Jeruzalem]!
2 Haukuisikiliza sauti ya Mungu, wala haukupokea masahihisho kutoka kwa Yahwe. Hakumtumaini Yahwe na hatamkaribia Mungu wake.
Ni ubogala glasu, ni sprejela grajanja, ni zaupala v Gospoda, ni se približala k svojemu Bogu.
3 Wafalme wao ni simba wanaounguruma miongoni mwao. Waamuzi wao ni mbwa mwitu wa jioni wasiobakiza kitu ambacho kitakuwa kimemung'unywa asubuhi yake.
Njeni princi znotraj nje so rjoveči levi; njeni sodniki so večerni volkovi; kosti ne zgrizejo do naslednjega dne.
4 Manabii wake wanakiburi na wanaume wasaliti. Makuhani wake wamepanajisi mahali patakatifu na wameifanyia vurugu sheria.
Njeni preroki so nepomembni in zahrbtne osebe, njeni duhovniki so oskrunili svetišče, postavi so storili nasilje.
5 Yahwe ni mwenye haki miongoni mwao. Hawezi kufanya makosa. Kila asubuhi husimamia haki yake! Haitafichika nuruni, hata hivyo watu wasio wenye haki hawajui kuona aibu.
Pravičen Gospod je v njeni sredi. Ne bo storil krivičnosti, vsako jutro svojo sodbo prinaša na svetlo, ne odpove. Toda krivičnik ne pozna sramu.
6 Nimeyaharibu mataifa; ngome zao zimeharibiwa. Nimeifanya mitaa yao magofu, hivyo hakuna hata mmoja anayepitia kwake. Miji yao imeharibiwa kwa hiyo hakuna mtu anayeikaa.
»Iztrebil sem narode; njihovi stolpi so zapuščeni, njihove ulice sem naredil opustošene, da nihče ne hodi mimo. Njihova mesta so uničena, tako da tam ni nobenega človeka, da tam ni nobenega prebivalca.
7 Nikasema, 'Hakika mtaniogopa mimi. Pokeeni masahihisho na msikatiliwe mbali kutoka kwenye miji yenu kwa yote yale niliyokuwa nimeyapanga kuyafanya kwenu.' Lakini walikuwa na shauku kuanza kila siku kwa kuharibu matendo yao yote.
Rekel sem: ›Zagotovo se me boš bala, prejela boš poučevanje.‹ Tako njihova prebivališča ne bi smela biti iztrebljena, vendar sem jih kaznoval; vendar so vstali zgodaj in izpridili vsa svoja početja.
8 Kwa hiyo ningojeni - hili ni tamko la Yahwe - mpaka siku ambayo nitainuka kwa ajili ya waathirika. Uaamuzi wangu nikuwakusanya mataifa, kuzikusanya falme, na kumwaga juu yao hasira yangu, uchungu wangu wote mkali, hivyo nchi yote itamezwa kwa moto wa hasira yangu.
Zatorej čakajte name, « govori Gospod, »do dneva, ko se dvignem k plenu, kajti moja odločitev je, da zberem narode, da lahko zberem kraljestva, da nanje izlijem svoje ogorčenje, celó vso svojo kruto jezo, kajti vsa zemlja bo požrta z ognjem moje ljubosumnosti.
9 Ndipo nitawapa midomo safi watu, kuwaita wote kwa jina la Bwana kunitumikia wakisimama bega kwa bega.
Kajti takrat se bom obrnil k ljudstvu čistega jezika, da bodo lahko vsi klicali h Gospodovemu imenu, da mu soglasno služijo.
10 Kutoka ng'ambo ya mto Ethiopia waniabuduo - watu wangu waliotawanyika - wataleta dhabihu kwa sababu yangu.
Iz druge strani reke Etiopije mi bodo slavilci, celó hči mojih razkropljencev, prinesli mojo daritev.
11 Katika siku hiyo hamtawekwa kwenye woga kwa matendo yenu yote ambayo mmeyafanya dhidi yangu, tangu wakati ule nitaondoa kutoka kwenu wale waliosherehekea fahari yenu, na kwa sababu hamtakuwa na muda mrefu kufanya majivuno juu ya mlima wangu mtakatifu.
Na tisti dan ne boš osramočena zaradi vseh svojih početij, s katerimi si se prekršila zoper mene, kajti takrat bom iz tvoje srede odvedel vse tiste, ki se veselijo v tvojem ponosu in ne boš več ošabna zaradi moje svete gore.
12 Lakini nitawaacha kama wa chini zaidi na watu masikini, na mtapata kimbilio katika jina la Yahwe.
Prav tako bom v tvoji sredi pustil trpeče in ubogo ljudstvo in ti bodo zaupali v Gospodovo ime.
13 Mkazi wa Israeli si muda mrefu hatafanya udhalimu au kusema uongo, na hakuna ulimi wa udanganyifu utakaoonekana mdomoni mwao; hivyo watalisha na kulala chini, na hakuna hata mmoja atakayewafanya kuogopa.”
Izraelov preostanek ne bo počel krivičnosti niti govoril laži niti v njihovih ustih ne bo najden varljiv jezik, kajti pasli se bodo in se zleknili in nihče jih ne bo strašil.
14 Imba, binti Sayuni! Piga kelele, Israeli. Ufurahi na kushangilia kwa moyo wako wote, binti wa Yerusalemu.
Prepevaj, oh hči sionska; vzklikaj, oh Izrael; bodi vesela in razveseljuj se z vsem srcem, oh hči jeruzalemska.
15 Yahwe ameiondoa hukumu yako; amewafukuzia mbali adui zako! Yahwe ni mfalme wa Israeli miongoni mwenu. Kamwe hamtamwogopa tena mwovu!
Gospod je odvzel tvoje obsodbe, pregnal tvojega sovražnika. Izraelov kralj, celó Gospod, je v tvoji sredi. Nobenega zla ne boš več videla.
16 Katika siku hizo watasema kwa Yerusalemi, “Usiogope, Sayuni. Usiiache mikono yako ilegee.
Na tisti dan bo [prestolnici] Jeruzalem rečeno: ›Ne boj se.‹ in Sionu: ›Ne dopusti, da bi bile tvoje roke mlahave.‹
17 Yahwe Mungu wako yuko katikati yenu, mwenye nguvu wa kuwaokoa. Atasherehekea juu yenu na kwa furaha atakuwa kimya juu yenu kwa upendo wake. Atakuwa na furaha juu yenu na atashangilia kwa furaha,
Gospod, tvoj Bog, v tvoji sredi je mogočen. Rešil bo, z radostjo se bo veselil nad teboj, počival bo v svoji ljubezni, nad teboj se bo veselil s prepevanjem.
18 katika siku maalumu ya sherehe. Nitaondoa maafa kutoka kwenu; si muda mrefu hamtabeba aibu kwa ajili yake.
Zbral bom tiste, ki žalujejo po slovesnem zboru, ki so iz tebe, ki jim je bila ta sramota breme.
19 Tazama, Niko tayari kuwashughulikia watesi wenu wote. Katika wakati ule, Nitawaokoa waliolemaa na kuwakusanya waliotupiliwa mbali. Nitawafanya kuwa sifa, na nitaibadilisha aibu yao iwe sifa katika dunia yote.
Glej, ob tistem času bom odstranil vse tiste, ki te stiskajo in rešil bom tisto, kar šepa in zbral tisto, kar je bilo izgnano in dal jim bom hvalo in sloves v vsaki deželi, kjer so bili osramočeni.
20 Katika wakati ule nitawaongoza; katika wakati ule nitawakusanya pamoja. Nitawafanya mataifa yote ya dunia kuwaheshimu na kuwasifu, wakati mtakapoona hivyo, Nitakuwa nimewarudisha”, asema Yahwe.
Ob tistem času vas bom ponovno privedel, celo v času, ko vas zberem, kajti naredil vas bom za ime in hvalo med vsemi narodi zemlje, ko pred vašimi očmi obrnem vaše ujetništvo nazaj, ‹ govori Gospod.«

< Sefania 3 >