< Sefania 3 >
1 Ole kwa mji ulioasi! Mji wenye vurugu umenajisiwa.
Vai tai stūrgalvīgai un apgānītai un varmācīgai pilsētai!
2 Haukuisikiliza sauti ya Mungu, wala haukupokea masahihisho kutoka kwa Yahwe. Hakumtumaini Yahwe na hatamkaribia Mungu wake.
Tā neklausa, ko saka, tā nepieņem mācību un nepaļaujas uz To Kungu, nenāk pie sava Dieva.
3 Wafalme wao ni simba wanaounguruma miongoni mwao. Waamuzi wao ni mbwa mwitu wa jioni wasiobakiza kitu ambacho kitakuwa kimemung'unywa asubuhi yake.
Viņas lielkungi viņas vidū ir lauvas, kas rūc, viņas soģi ir kā vilki vakarā, kas nekā neatlicina līdz rītam.
4 Manabii wake wanakiburi na wanaume wasaliti. Makuhani wake wamepanajisi mahali patakatifu na wameifanyia vurugu sheria.
Viņas pravieši ir lielmutes, viltnieki, viņas priesteri sagāna svētumu un lauž bauslību.
5 Yahwe ni mwenye haki miongoni mwao. Hawezi kufanya makosa. Kila asubuhi husimamia haki yake! Haitafichika nuruni, hata hivyo watu wasio wenye haki hawajui kuona aibu.
Tas Kungs ir taisns viņu vidū, Viņš nedara netaisnību, ik rītu Viņš nes gaismā Savu tiesu bez kavēšanās, tomēr nelieši neprot kauna.
6 Nimeyaharibu mataifa; ngome zao zimeharibiwa. Nimeifanya mitaa yao magofu, hivyo hakuna hata mmoja anayepitia kwake. Miji yao imeharibiwa kwa hiyo hakuna mtu anayeikaa.
Tautas Es esmu izdeldējis, viņu pilis ir postītas, viņu ielas Es esmu darījis tukšas, ka neviens tur nestaigā, viņu pilsētas ir postītas, palikušas bez cilvēka un bez iedzīvotāja.
7 Nikasema, 'Hakika mtaniogopa mimi. Pokeeni masahihisho na msikatiliwe mbali kutoka kwenye miji yenu kwa yote yale niliyokuwa nimeyapanga kuyafanya kwenu.' Lakini walikuwa na shauku kuanza kila siku kwa kuharibu matendo yao yote.
Es sacīju: kaut tu Mani bītos un pieņemtu mācību, tad viņu mājas vieta netaptu izdeldēta pēc visa, ko Es par tiem esmu nospriedis. Bet tie ir ļaunu darījuši, ko vien darīdami
8 Kwa hiyo ningojeni - hili ni tamko la Yahwe - mpaka siku ambayo nitainuka kwa ajili ya waathirika. Uaamuzi wangu nikuwakusanya mataifa, kuzikusanya falme, na kumwaga juu yao hasira yangu, uchungu wangu wote mkali, hivyo nchi yote itamezwa kwa moto wa hasira yangu.
Tādēļ jums būs Mani gaidīt, saka Tas Kungs, tai dienā, kad Es celšos uz laupījumu, jo Mana tiesa ir sapulcināt tautas, sakrāt valstis un pār tām izgāzt Savu bardzību un visu Savu dusmības karstumu, jo visa pasaule taps aprīta Mana karstuma ugunī.
9 Ndipo nitawapa midomo safi watu, kuwaita wote kwa jina la Bwana kunitumikia wakisimama bega kwa bega.
Tad Es tiem ļaudīm došu šķīstas lūpas, ka visiem būs piesaukt Tā Kunga vārdu un Viņam kalpot vienprātībā.
10 Kutoka ng'ambo ya mto Ethiopia waniabuduo - watu wangu waliotawanyika - wataleta dhabihu kwa sababu yangu.
No viņpus Moru upēm Mani pielūdzēji Man nesīs upurus, Manu izkaisīto ļaužu draudze.
11 Katika siku hiyo hamtawekwa kwenye woga kwa matendo yenu yote ambayo mmeyafanya dhidi yangu, tangu wakati ule nitaondoa kutoka kwenu wale waliosherehekea fahari yenu, na kwa sababu hamtakuwa na muda mrefu kufanya majivuno juu ya mlima wangu mtakatifu.
Tai dienā tu netapsi kaunā visu savu darbu dēļ, ar ko tu pret Mani noziegusies. Jo tad Es no tava vidus atņemšu tavus lepnos lielītājus, un tu vairs nebūsi lepna Manā svētā kalnā.
12 Lakini nitawaacha kama wa chini zaidi na watu masikini, na mtapata kimbilio katika jina la Yahwe.
Un tavā vidū Es atlicināšu bēdu ļaudis un pazemīgos, tie paļausies uz Tā Kunga vārdu.
13 Mkazi wa Israeli si muda mrefu hatafanya udhalimu au kusema uongo, na hakuna ulimi wa udanganyifu utakaoonekana mdomoni mwao; hivyo watalisha na kulala chini, na hakuna hata mmoja atakayewafanya kuogopa.”
Israēla atlikušie nedarīs netaisnību un nerunās melus, un viņu mutē neatradīs viltus mēli, bet tie ganīsies un apgulsies, un neviens tos netraucēs.
14 Imba, binti Sayuni! Piga kelele, Israeli. Ufurahi na kushangilia kwa moyo wako wote, binti wa Yerusalemu.
Dzied priecīgi, Ciānas meita! Gavilē, Israēl! Priecājies un līksmojies no visas sirds, Jeruzālemes meita!
15 Yahwe ameiondoa hukumu yako; amewafukuzia mbali adui zako! Yahwe ni mfalme wa Israeli miongoni mwenu. Kamwe hamtamwogopa tena mwovu!
Tas Kungs ir atņēmis tavu sodību, Viņš tavu ienaidnieku ir aizmēzis projām. Tas Kungs, Israēla ķēniņš, ir tavā vidū, ļaunuma tu vairs neredzēsi.
16 Katika siku hizo watasema kwa Yerusalemi, “Usiogope, Sayuni. Usiiache mikono yako ilegee.
Tai dienā sacīs uz Jeruzālemi: nebīsties, Ciāna! Lai tavas rokas nenogurst.
17 Yahwe Mungu wako yuko katikati yenu, mwenye nguvu wa kuwaokoa. Atasherehekea juu yenu na kwa furaha atakuwa kimya juu yenu kwa upendo wake. Atakuwa na furaha juu yenu na atashangilia kwa furaha,
Tas Kungs, tavs Dievs, ir tavā vidū, stiprs Pestītājs, Viņš priecāsies par tevi ar līksmību, Viņš cietīs klusu savā mīlestībā, Viņš priecāsies par tevi ar gavilēšanu.
18 katika siku maalumu ya sherehe. Nitaondoa maafa kutoka kwenu; si muda mrefu hamtabeba aibu kwa ajili yake.
Es sapulcināšu tos, kas bija noskumuši svētku sapulces dēļ; tie tev pieder; negods tiem uzkrauts.
19 Tazama, Niko tayari kuwashughulikia watesi wenu wote. Katika wakati ule, Nitawaokoa waliolemaa na kuwakusanya waliotupiliwa mbali. Nitawafanya kuwa sifa, na nitaibadilisha aibu yao iwe sifa katika dunia yote.
Redzi, tanī laikā Es tā darīšu visiem taviem spaidītājiem, un Es pasargāšu klibo un sapulcināšu izdzīto, un tos iecelšu par teikšanu un par slavu ikvienā zemē, kur tie bija kaunā.
20 Katika wakati ule nitawaongoza; katika wakati ule nitawakusanya pamoja. Nitawafanya mataifa yote ya dunia kuwaheshimu na kuwasifu, wakati mtakapoona hivyo, Nitakuwa nimewarudisha”, asema Yahwe.
Tanī laikā Es jūs atvedīšu, un to brīdi Es jūs sapulcināšu. Jo Es jūs iecelšu par slavu un par teikšanu pie visām pasaules tautām, kad Es jūsu cietumu novērsīšu priekš jūsu acīm, saka Tas Kungs.