< Sefania 2 >
1 Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
Reúnase, reúnanse todos, oh nación indeseable;
2 kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
Antes de que el decreto del Señor entre en vigencia; antes de que el Señor te envíe violentamente en fuga como la basura de grano; antes de que la ira ardiente del Señor venga sobre ti, antes que el día de la ira del Señor venga sobre ti.
3 Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
Busquen al Señor, todos los humildes en la tierra, que han hecho lo que es correcto a sus ojos; busca la justicia y un corazón tranquilo; puede ser que estés protegido en el día de la ira del Señor.
4 hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
Porque Gaza será abandonada y Ascalón se convertirá en basura; expulsarán a Asdod a mitad del día, y los de Ecrón serán desarraigados.
5 Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
¡Ay! de la gente que vive junto al mar, la nación de Creta! La palabra del Señor está contra ti, oh Canaán, la tierra de los filisteos; Enviaré destrucción sobre ti hasta que no haya nadie viviendo en ti.
6 Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
Y la tierra junto al mar será tierra de pasto, con casas para los cuidadores de ovejas y lugares amurallados para los rebaños.
7 Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
La tierra junto al mar será para el remanente de los hijos de Judá; junto al mar darán comida a sus rebaños; en las casas de Ascalón reposarán por la tarde; porque el Señor su Dios los visitará y los hará volver de su cautiverio.
8 Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
Mis oídos han escuchado los insultos de Moab y las injurias de los hijos de Amón, que han dicho contra mi pueblo, se han engrandecido contra el límite de su tierra.
9 Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
Por esta causa, según mi vida, dice el Señor de los ejércitos, el Dios de Israel, Moab se convertirá verdaderamente como Sodoma y los hijos de Amón como Gomorra, campo de espinos y minas de sal y desolación para siempre; el remanente de mi gente tomará sus propiedades, el remanente de mi nación tomará su herencia.
10 Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
Este será su destino debido a su orgullo, porque han dicho mal, alzándose contra el pueblo del Señor de los ejércitos.
11 Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
El Señor será terrible contra ellos, porque hará que todos los dioses de la tierra sean débiles; y los hombres descenderán delante de él en adoración, todos desde su lugar, incluso todas las islas.
12 Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
Y ustedes, etíopes, serán muertos por mi espada.
13 na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
Y su mano se extenderá contra el norte, para la destrucción de Asiria; y hará que Nínive sea una desolación y se seque como el desierto.
14 Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
Y los rebaños reposarán en medio de ella, todas las bestias del Valle; el pelícano y el puercoespín se instalarán en la parte superior de sus pilares; la lechuza llorará en la ventana; el cuervo se verá en la puerta.
15 huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.
Este es el pueblo que estaba lleno de alegría, viviendo sin temor al peligro, diciendo en su corazón: Yo soy, y no hay otro más que yo; cómo ha sido destruido, se ha convertido en un lugar para que las bestias descansen! Todo él que pase junto a ella silbará y meneará su mano.