< Sefania 1 >
1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Sefania mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana Hezekia, katika siku za Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda. “
word LORD which to be to(wards) Zephaniah son: child Cushi son: child Gedaliah son: child Amariah son: child Hezekiah in/on/with day Josiah son: child Amon king Judah
2 Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
to gather to cease all from upon face: surface [the] land: planet utterance LORD
3 Nitamwangamiza mtu na mnyama; Nitawaangamiza ndege wa mbinguni na samaki wa baharini, uharibifu pamoja na waovu. Hivyo nitamfutilia mbali mtu kutoka uso wa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
to cease man and animal to cease bird [the] heaven and fish [the] sea and [the] ruins with [the] wicked and to cut: eliminate [obj] [the] man from upon face: surface [the] land: planet utterance LORD
4 Nitafika kwa mkono wangu juu ya Yuda na wote wenyeji wa Yerusalemu. Nitafutilia mbali kila mabaki ya Baali kutoka sehemu hii na majina ya watu waabuduo sanamu miongoni mwa makuhani,
and to stretch hand my upon Judah and upon all to dwell Jerusalem and to cut: cut from [the] place [the] this [obj] remnant [the] Baal [obj] name [the] pagan priest with [the] priest
5 watu ambao juu ya nyumba huabudu miili ya mbinguni, na watu ambao huabudu na kuapa kwa Yahwe bali ambao pia huapa kwa mfalme wao.
and [obj] [the] to bow upon [the] roof to/for army [the] heaven and [obj] [the] to bow [the] to swear to/for LORD and [the] to swear in/on/with Milcom
6 Nitawafutilia mbali pia wale ambao wamegeuka nyuma kutoka kumfuata Yahwe, wale ambao pia humtafuta Yahwe pasipo kuuliza ulinzi wake.
and [obj] [the] to turn from after LORD and which not to seek [obj] LORD and not to seek him
7 Uwe kimya mbele ya Bwana Yahwe! Kwa kuwa siku ya Yahwe ni karibu, Yahwe ameandaa dhabihu na amewatenga wageni wake.
to silence from face: before Lord YHWH/God for near day LORD for to establish: prepare LORD sacrifice to consecrate: consecate to call: call to his
8 “Itakuja katika siku ya dhabihu ya Bwana, hivyo nitawapiga wakuu na wana wa mfalme, na kila mmoja aliyevikwa mavazi ya kigeni.
and to be in/on/with day sacrifice LORD and to reckon: punish upon [the] ruler and upon son: child [the] king and upon all [the] to clothe garment foreign
9 Katika siku hiyo nitawapiga wote wale ambao huruka juu ya kizingiti, wale ambao hujaza nyumba ya bwana wao kwa vurugu na udanganyifu.
and to reckon: punish upon all [the] to leap upon [the] threshold in/on/with day [the] he/she/it [the] to fill house: home lord their violence and deceit
10 Itakuwa katika siku ile - hili ni tangazo la Yahwe - kwamba kilio cha huzuni kitakuja kutoka kwenye mlango wa samaki, ikipiga yowe kutoka Wilaya ya Pili, na sauti ya kishindo kikuu kutoka vilimani.
and to be in/on/with day [the] he/she/it utterance LORD voice cry from gate [the] Fish (Gate) and wailing from [the] Second [Quarter] and breaking great: large from [the] hill
11 Pigeni yowe, wenyeji wa Soko la Wilaya, kwa wote wafanyabiashara watakuwa wameharibiwa, wote wale ambao hupima fedha watakuwa wamefutiliwa mbali.
to wail to dwell [the] Mortar for to cease all people merchant to cut: eliminate all laden silver: money
12 Itakuwa katika siku ile nitaitafuta Yerusalemu kwa taa na kuwapiga wanaume ambao watakuwa wamekaa kwenye mvinyo wao na kusema mioyoni mwao, 'Yahwe hatafanya chochote, ama kizuri au kiovu.'.
and to be in/on/with time [the] he/she/it to search [obj] Jerusalem in/on/with lamp and to reckon: punish upon [the] human [the] to congeal upon dreg their [the] to say in/on/with heart their not be good LORD and not be evil
13 Mali zao zitakuja kuporwa, na nyumba zao zitakuwa zimetelekezwa kwa maangamizi! Watajenga nyumba lakini hawataishi humo, na kupanda mizabibu lakini hawatakunywa mvinyo wake.
and to be strength: rich their to/for plunder and house: home their to/for devastation and to build house: home and not to dwell and to plant vineyard and not to drink [obj] wine their
14 Siku kubwa ya Yahwe ni karibu, karibu na inaharakisha upesi! Sauti ya siku ya Yahwe itakuwa ya kilio cha uchungu wa kishujaa!
near day LORD [the] great: large near and quick much voice: sound day LORD bitter to cry there mighty man
15 Siku hiyo itakuwa siku ya ghadabu, siku ya huzuni na uchungu, siku ya dhoruba na maangamizi, siku ya giza na utusitusi, siku ya mawingu na giza nene.
day fury [the] day [the] he/she/it day distress and distress day devastation and desolation day darkness and darkness day cloud and cloud
16 Itakuwa siku ya parapanda na kengele dhidi ya ngome mijini na buruji ndefu.
day trumpet and shout upon [the] city [the] to gather/restrain/fortify and upon [the] corner [the] high
17 Hivyo nitaleta dhiki juu ya wanadamu, kwa hiyo watatembea karibu kama wanaume vipofu tangu walipofanya dhambi dhidi ya Yahwe. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na sehemu zao za ndani kama kinyesi.
and to constrain to/for man and to go: walk like/as blind for to/for LORD to sin and to pour: pour blood their like/as dust and intestine their like/as dung
18 Wala fedha zao wala dhahabu zao hazitaweza kuwaokoa juu ya ghadhabu ya Yahwe. Ndani ya moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, hivyo ataleta ukamilifu, miwisho wa kutisha kwa wote wakaao duniani.”
also silver: money their also gold their not be able to/for to rescue them in/on/with day fury LORD and in/on/with fire jealousy his to eat all [the] land: country/planet for consumption surely to dismay to make with all to dwell [the] land: country/planet