< Zekaria 9 >

1 Hili ni tamko la neno la Yahwe kuhusu nchi ya Hadraki na Damesiki. Kwa maana jicho la Yahwe liko juu ya wanadamu wote, na juu ya kabila zote za Israeli pia.
[the] oracle of [the] word of Yahweh [is] on [the] land of Hadrach and Damascus [is] resting place its for [is] to Yahweh [the] eye of humankind and all [the] tribes of Israel.
2 Azimio hili pia linaihusu Hamathi, inayopakana na Damesiki, na linahusu Tiro na Sidoni, japokuwa ni werevu sana.
And also Hamath [which] it borders it Tyre and Sidon for it is wise exceedingly.
3 Tiro amejijengea ngome na kurundika fedha kama mavumbi na dhahabu safi kama matope mitaani.
And it built Tyre a fortification for itself and it heaped up silver like dust and gold like [the] mud of [the] streets.
4 Tazama! Bwana atamnyang'anya na kuharibu nguvu zake juu ya bahari, kwa hiyo atateketezwa kwa moto.
There! [the] Lord he will dispossess it and he will strike in the sea wealth its and it by fire it will be consumed.
5 Ashikeloni ataona na kuogopa! Gaza pia atatemeka sana! Ekroni, tumanini lake litatikiswa! Mfalme ataangamizwa kuanzia Gaza, na Ashikeloni haitakuwa na watu tena!
It will see Ashkelon so it may be afraid and Gaza so it may be in anguish exceedingly and Ekron for it will be ashamed object of confidence its and he will perish a king from Gaza and Ashkelon not it will remain.
6 Wageni watafanya makao yao katika Ashidodi, nami nitakiondoa kiburi cha Wafilisiti.
And it will dwell a mixed population in Ashdod and I will cut off [the] pride of [the] Philistines.
7 Kwani nitaondoa damu yao katika vinywa vyao na machukizo yao kutoka kati ya meno yao. Ndipo watakapokuwa masalia kwa Mungu wetu kama ukoo katika Yuda, na Ekironi atakuwa kama Wayebusi.
And I will remove blood its from mouth its and detestable things its from between teeth its and it will be left also it to God our and it will be like a chief in Judah and Ekron [will be] like a Jebusite.
8 Nitaweka kambi kuzunguka nchi yangu kinyume cha majeshi ya adui hata hakuna atakayeweza kupita ndani yake tena, kwani hakuna mtesaji atakayeipita tena. Kwa kuwa sasa nitaangalia nchi yangu kwa macho yangu mwenyewe!
And I will encamp for house my a guard from [one who] passes through and from [one who] returns and not he will pass over them again an oppressor for now I have seen with own eyes my.
9 Piga kelele kwa furaha, ewe binti Sayuni! Piga kelele kwa shangwe, ewe binti Yerusalem! Tazama! Mfalme wako anakuja kwako pamoja na uadilifu na anakuokoa. Ni mnyenyekevu, amepanda punda, mwanapunda.
Rejoice exceedingly O daughter of Zion shout for joy O daughter of Jerusalem there! king your he will come to you [is] righteous and victorious he poor and riding on a donkey and on a male donkey a young one of female donkeys.
10 Ndipo nitakapoondoa kibandawazi kutoka Efraimu na farasi kutoka Yerusalemu, na upinde utaondolewa katika vita; kwani atasema amani kwa mataifa, na utawala wake utakuwa kutoka bahari hata bahari, na kutoka katika mto hadi miisho ya dunia!
And I will cut off chariotry from Ephraim and horse[s] from Jerusalem and it will be cut off bow of war and he will speak peace to the nations and dominion his [will be] from sea to sea and from [the] river to [the] ends of [the] earth.
11 Lakini kwenu, kwa sababu ya damu ya agano langu nanyi, nitawaweka wafungwa wenu huru kutoka shimoni pasipo na maji.
Also you by [the] blood of covenant your I will set free prisoners your from a pit [which] not water [is] in it.
12 Rudini ngomeni, wafungwa wa matumaini! Hata leo natamka kwamba nitawarudishia mara mbili, kwani nimempinda Yuda kama upinde wangu.
Return to [the] stronghold O prisoners of hope also this day [I am] declaring double I will restore to you.
13 Hata nimelijaza podo langu pamoja na Efraimu. Nimewainua wana wenu, Sayuni, kinyume cha wana wenu, Ugiriki, na amekufanya wewe, Sayuni, kama upanga wa shujaa!
For I will bend for myself Judah a bow I will fill Ephraim and I will rouse sons your O Zion on sons your O Greece and I will make you like [the] sword of a warrior.
14 Yahwe atawatokea, na mishale yake itapiga kama radi! Kwa maana Yahwe Bwana wangu atapiga tarumbeta naye ataendelea pamoja na dhoruba kutoka Temani.
And Yahweh over them he will appear and it will go forth like lightning arrow his and [the] Lord Yahweh on the ram's horn he will give a blast and he will go in [the] storm winds of [the] south.
15 Yahwe wa majeshi atawatetea, nao watawararua na kuyashinda mawe ya kombeo. Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo, nao watajazwa na mvinyo kama mabakuri, kama pembe za madhabahu.
Yahweh of hosts he will defend them and they will eat and they will subdue stones of a sling and they will drink they will be in an uproar like wine and they will be full like bowl like [the] corners of [the] altar.
16 Hivyo Yahwe Mungu wao atawaokoa siku hiyo; watakuwa kama kundi la kondoo lililo na watu wake, kwani watakuwa mapambo ya taji, yaliyoinuliwa juu ya nchi yake.
And he will deliver them Yahweh God their on the day that like [the] flock of people his for stones of a crown [will] display themselves on land his.
17 Jinsi gani watakavyokuwa wazuri na warembo! vijana watastawi juu ya nafaka na bikra juu ya divai tamu!
For how! [will be] goodness its and how! [will be] beauty its grain young men and new wine it will cause to thrive young women.

< Zekaria 9 >