< Zekaria 8 >
1 Neno la Yahwe wa majeshi likanijia kusema,
Her Şeye Egemen RAB bana yine seslendi:
2 “Yahwe wa majeshi asema hivi: Nina huzuni kwa ajili ya Sayuni kwa wivu mkuu na ninamaumivu kwa hasira nyingi!
Her Şeye Egemen RAB, “Siyon için büyük kıskançlık duyuyorum” diyor, “Evet, onu şiddetle kıskanıyorum.
3 Yahwe wa majeshi asema hivi: Nitairudia Sayuni nami nitakaa kati ya Yerusalemu, kwa kuwa Yerusalemu itaitwa mji wa kweli na mlima wa Yahwe wa majeshi utaitwa Mlima Mtakatifu!
Siyon'a dönecek ve Yeruşalim'de oturacağım. Yeruşalim'e Sadık Kent, Her Şeye Egemen RAB'bin dağına Kutsal Dağ denecek.
4 Yahwe wa majeshi asema hivi: Kwa mara nyingine tena kutakuwa na vikongwe katika mitaa ya Yerusalemu, na kila mtu ataitaji mkongojo mkononi mwake kwa vile alivyo mzee.
“İlerlemiş yaşlarından ötürü ellerinde bastonlarıyla yaşlı erkeklerle kadınlar yine Yeruşalim meydanlarında oturacaklar. Kentin meydanları orada oynayan erkek ve kız çocuklarla dolacak.” Böyle diyor Her Şeye Egemen RAB.
5 Pia mitaa ya mji itajazwa na vijana wa kiume na kike wachezao.
6 Yahwe wa majeshi asema hivi: ikiwa jambo laonekana haliwezekani katika macho ya masalia ya watu hawa katika siku hizo, je haliwezekani pia machoni pangu? - asema Yahwe.
Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “O günlerde sürgünden dönen halkın gözünde bu olanaksız olsa da, benim gözümde de böyle mi olmalı?” Böyle diyor Her Şeye Egemen RAB.
7 Yahwe wa majeshi asema hivi: Tazama, nipo tayari kuwaokoa watu wangu kutoka nchi ya mawio na ya machweo ya jua!
“Halkımı doğudaki, batıdaki ülkelerden kurtarıp geri getireceğim. Yeruşalim'de yaşayacak, halkım olacaklar; ben de onların sadık ve adil Tanrısı olacağım.” Böyle diyor Her Şeye Egemen RAB.
8 Kwa maana nitawarudisha tena, nao wataishi ndani ya Yerusalemu, hivyo watakuwa watu wangu tena, nami nitakuwa Mungu wao katika kweli na utakatifu!
9 Yahwe wa majeshi asema hivi: Ninyi mnaoendelea kusikia maneno yaleyale yaliyotoka katika vinywa vya manabii msingi wa nyumba yangu ulipowekwa - hii nyumba yangu, Yahwe wa majeshi: Itieni nguvu mikono yenu ili hekalu lijengwe.
“Her Şeye Egemen RAB'bin Tapınağı'nın kurulması için temel atıldığında orada bulunan peygamberlerin bu günlerde söylediği sözleri duyan sizler yüreklenin!” diyor Her Şeye Egemen RAB,
10 Kwani kabla ya siku hizo hakuna mazao yaliyokusanywa na yeyote ndani yake, hakukuwa na faida siyo kwa mtu hata mnyama, na hakukuwa na amani kutoka kwa adui kwa kila aliyekwenda au kuja. Nilimfanya kila mtu kuwa kinyume cha mwenzake.
“O günlerden önce insan ya da hayvan için ücret yoktu. Düşman yüzünden hiç kimse güvenlik içinde gidip gelemiyordu. Çünkü herkesi birbirine düşürmüştüm.
11 Lakini sasa haitakuwa kama mwanzo, nitakuwa pamoja na masalia ya watu hawa - asema Yahwe wa majeshi.
Ama şimdi sürgünden dönen bu halka geçmiş günlerde davrandığım gibi davranmayacağım.” Böyle diyor Her Şeye Egemen RAB,
12 Kwani mbegu za amani zitapandwa; mzabibu unaokua utatoa matunda yake na nchi itatoa mazao yake; anga zitatoa umande, kwa maana nitawapa masalia ya watu hawa kumilki haya yote.
“Ekilen tohum verimli olacak; asma üzüm, toprak ürün, gökler çiy verecek. Bunların tümünü sürgünden dönen bu halka mülk olarak vereceğim.
13 Ulikuwa mfano wa laana kwa mataifa mengine, enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli. Hivyo nitawaokoa nanyi mtakuwa baraka. Msiogope; haya mikono yenu itiwe nguvu!
Sizi kurtaracağım, ey Yahuda ve İsrail halkı. Siz uluslar arasında nasıl lanet konusu olduysanız, şimdi de bereket kaynağı olacaksınız. Korkmayın, yürekli olun!”
14 Kwa maana Yahwe wa majeshi asema hivi: Kama nilivyopanga kuwatenda mabaya babu zenu walipochokoza hasira yangu - asema Yahwe wa majeshi - na wala sikujuta,
Her Şeye Egemen RAB şöyle diyor: “Atalarınız beni öfkelendirdiğinde başınıza felaket getirmeyi tasarladım ve vazgeçmedim” diyor Her Şeye Egemen RAB,
15 ndivyo nitakavyoazimia kuutenda mema tena Yerusalemu na nyumba ya Yuda katika siku hizi! Msiogope!
“Şimdi de Yeruşalim ve Yahuda halkına yine iyilik yapmayı tasarladım. Korkmayın!
16 Haya ndiyo mambo mnayopaswa kufanya: Kasemeni kweli, kila mtu na jirani yake. Hukumuni kwa haki, usawa na amani katika malango yenu.
Yapmanız gerekenler şunlardır: Birbirinize gerçeği söyleyin, kent kapılarınızda esenliği sağlayan gerçek adaletle yargılayın,
17 Na asiwepo miongoni mwenu anayeazimu uovu moyoni mwake dhidi ya jirani yake, wala kuvutwa na viapo vya uongo; kwani haya yote ndiyo mambo ninayoyachukia! - asema Yahwe.”
yüreğinizde birbirinize karşı kötülük tasarlamayın, yalan yere ant içmekten tiksinin. Çünkü ben bütün bunlardan nefret ederim.” Böyle diyor RAB.
18 Kisha neno la Yahwe wa majeshi likanijia kusema,
Her Şeye Egemen RAB bana yine seslendi:
19 “Yahwe wa majeshi asema hivi: Mifungo ya mwezi wa nne, mwezi wa tano, mwezi wa saba na mwezi wa kumi itakuwa nyakati za furaha ya kila aina, kwa nyumba ya Yuda! Kwa hiyo pendeni kweli na amani!
Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “Dördüncü, beşinci, yedinci ve onuncu ayların oruçları Yahuda halkı için sevinç, coşku dolu mutlu bayramlar olacak. Bu nedenle gerçeği ve esenliği sevin.”
20 Yahwe wa majeshi asema hivi: Watu watakuja tena, hata wanaoishi miji mingine.
Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “Daha birçok halk, birçok kentte yaşayanlar gelecek.
21 Watu wa mji mmoja watakwenda mji mwingine na kusema, “Haya twendeni haraka mbele ya Yahwe tukaombe na kumtafuta Yahwe wa majeshi! Sisi wenyewe tunakwenda pia.
Bir kentte yaşayanlar başka kente gidip, ‘RAB'be yalvarmak, Her Şeye Egemen RAB'be yönelmek için hemen yola çıkalım. Ben de gideceğim’ diyecekler.
22 Watu wengi na mataifa yenye nguvu yatakuja kumtafuta Yahwe wa majeshi huko Yerusalemu na kuomba upendeleo kwa Yahwe!
Her Şeye Egemen RAB'be yönelmek, O'na yalvarmak için çok sayıda halkla birçok ulus Yeruşalim'e gelecek.”
23 Yahwe wa majeshi asema hivi: Katika siku hizo watu kumi kutoka katika kila lugha na taifa watashika upindo wa kanzu zenu na kusema, “Haya sisi nasi tutakwenda pamoja nanyi, kwani tumesikia kwamba Mungu yu pamoja nayi!”
Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “O günlerde her dil ve ulustan on kişi bir Yahudi'nin eteğinden tutup, ‘İzin verin, sizinle gidelim. Çünkü Tanrı'nın sizinle olduğunu duyduk’ diyecekler.”