< Zekaria 7 >

1 Mwaka wa minne wa utawala mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa Kisleu(ambao ni mwezi wa tisa), neno la Yahwe lilimjia Zekaria kusema.
Aconteceu pois, no ano quarto do rei Dario, que a palavra do Senhor veio a Zacarias, no dia quarto do nono mes, que é chisleu.
2 Watu wa Betheli wamemtuma Shareza, Regemu Meleki na watu wao kuomba mbele ya uso wa Yahwe.
Quando foram enviados à casa de Deus, Saresar, e Regemmelech, e os homens dele, para suplicarem o rosto do Senhor,
3 Wakaongea na makuhani waliokuwa katika nyumba ya Yahwe wa majeshi na kwa manabii; wakasema, “Je niomboleze katika mwezi wa tano kwa njia ya kufunga, kama nilivyofanya miaka mingi hii?”
Dizendo aos sacerdotes, que estavam na casa do Senhor dos exércitos, e aos profetas: Chorarei eu no quinto mes, separando-me, como o tenho feito por tantos anos?
4 Ndipo neno la Yahwe wa majeshi liliponijia kusema,
Então a palavra do Senhor dos exércitos veio a mim, dizendo:
5 “Ongea na watu wote wa nchi na makuhani uwaambie, “Mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba katika hii miaka sabini, je kweli mlifunga kwa ajili yangu?
Fala a todo o povo desta terra, o aos sacerdotes, dizendo: Quando jejuastes, e pranteastes, no quinto e no sétimo mes, a saber, estes setenta anos, porventura, jejuando, jejuastes para mim, para mim, digo?
6 Na mlipokula na kunywa, hamkula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?
Ou quando comestes, e quando bebestes, não fostes vós os que comieis e vós os que bebieis?
7 Je hayo siyo maneno aliyosema Yahwe kwa vinywa vya manabii wa zamani, mlipokuwa bado mnaishi Yerusalemu na miji ya kandokando yenye mafanikio na iliyokaa Negebu, na upande wa magharibi chini ya vilima?”
Não são estas as palavras que o Senhor pregou pelo ministério dos profetas primeiros, quando Jerusalém estava habitada e quieta, com as suas cidades ao redor dela? e o sul e a campina eram habitados?
8 Neno la Yahwe likamjia Zekaria kusema,
E a palavra do Senhor veio a Zacarias, dizendo:
9 “Yahwe wa majeshi asema hivi, 'Hukumuni kwa haki, uaminifu wa agano, na rehema. Kila mtu na amtendee hivi ndugu yake.
Assim falou o Senhor dos exércitos, dizendo: julgai juízo verdadeiro, executai piedade e misericórdias cada um com seu irmão;
10 Juu ya mjane na yatima, mgeni, na masikini - usiwanyanyase, na asiwepo miongoni mwenu anayepanga madhara yoyote dhidi ya mwingine mioyoni mwenu.
E não oprimais a viúva, nem o órfão, nem o estrangeiro, nem o pobre, nem intente o mal cada um contra o seu irmão no seu coração.
11 Lakini waliyashupaza mabega yao na hawakujari. Waliziba masikio yao ili wasisikie.
Porém não quizeram escutar, e me deram o ombro rebelde, e ensurdeceram os seus ouvidos, para que não ouvissem.
12 Waliifanya mioyo yao kuwa migumu kama mwamba ili wasiisikie sheria au neno la Yahwe wa majeshi. Alipeleka ujumbe kwa watu nyakati za zamani kwa Roho wake, kwa vinywa vya manabii. Lakini watu hawakusikia, hivyo Yahwe wa majeshi aliwakasirikia sana.
E fizeram o seu coração como diamante, para que não ouvissem a lei, nem as palavras que o Senhor dos exércitos enviava pelo seu espírito pelo ministério dos profetas primeiros: de onde veio a grande ira do Senhor dos exércitos.
13 Hata ikawa alipoita hawakusikia. Vilevile,” asema Yahwe wa majeshi, “wataniita, lakini sitasikiliza.
E aconteceu que, como ele clamou, e eles não ouviram, assim também eles clamaram, mas eu não ouvi, diz o Senhor dos exércitos.
14 Kwa maana nitawatawanya kwa upepo wa kisurisuri katika mataifa yote ambayo hawajawai kuyaona, na baada yao nchi itakuwa wazi. Kwa kuwa hakuna hata mmoja atakayepita au kukaa katika hiyo nchi kwa kuwa wameigeuza nchi yao yenye kupendeza kuwa isiyofaa.
E os espalhei com tempestade entre todas as nações, que eles não conheciam, e a terra foi assolada atráz deles, de sorte que ninguém passava por ela, nem se tornava: porque tem feito da terra desejada uma desolação.

< Zekaria 7 >