< Zekaria 7 >

1 Mwaka wa minne wa utawala mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa Kisleu(ambao ni mwezi wa tisa), neno la Yahwe lilimjia Zekaria kusema.
And it was in year four of Darius the king it came [the] word of Yahweh to Zechariah on [day] four of the month ninth in Kislev.
2 Watu wa Betheli wamemtuma Shareza, Regemu Meleki na watu wao kuomba mbele ya uso wa Yahwe.
And it had sent Beth-el Shar-ezer and Regem-Melech and men his to entreat [the] face of Yahweh.
3 Wakaongea na makuhani waliokuwa katika nyumba ya Yahwe wa majeshi na kwa manabii; wakasema, “Je niomboleze katika mwezi wa tano kwa njia ya kufunga, kama nilivyofanya miaka mingi hii?”
To say to the priests who [belonged] to [the] house of Yahweh of hosts and to the prophets saying ¿ will I weep in the month fifth will I consecrate myself? just as I have done this how many? years.
4 Ndipo neno la Yahwe wa majeshi liliponijia kusema,
And it came [the] word of Yahweh of hosts to me saying.
5 “Ongea na watu wote wa nchi na makuhani uwaambie, “Mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba katika hii miaka sabini, je kweli mlifunga kwa ajili yangu?
Say to all [the] people of the land and to the priests saying that you fasted and you mourned in the fifth [month] and in the seventh [month] and this seventy year[s] ¿ really did you fast for me me.
6 Na mlipokula na kunywa, hamkula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?
And if you eat and if you drink ¿ not [are] you the [ones who] eat and [are] you? the [ones who] drink.
7 Je hayo siyo maneno aliyosema Yahwe kwa vinywa vya manabii wa zamani, mlipokuwa bado mnaishi Yerusalemu na miji ya kandokando yenye mafanikio na iliyokaa Negebu, na upande wa magharibi chini ya vilima?”
¿ Not [are] the words which he proclaimed Yahweh by [the] hand of the prophets former when was Jerusalem remaining and at ease and cities its around it and the Negev and the Shephelah [was] remaining.
8 Neno la Yahwe likamjia Zekaria kusema,
And it came [the] word of Yahweh to Zechariah saying.
9 “Yahwe wa majeshi asema hivi, 'Hukumuni kwa haki, uaminifu wa agano, na rehema. Kila mtu na amtendee hivi ndugu yake.
Thus he says Yahweh of hosts saying justice of faithfulness judge and loyalty and compassion do each with brother his.
10 Juu ya mjane na yatima, mgeni, na masikini - usiwanyanyase, na asiwepo miongoni mwenu anayepanga madhara yoyote dhidi ya mwingine mioyoni mwenu.
And [the] widow and [the] fatherless [the] sojourner and [the] poor may not you oppress and [the] harm of each brother his may not you plan in heart your.
11 Lakini waliyashupaza mabega yao na hawakujari. Waliziba masikio yao ili wasisikie.
And they refused to pay attention and they gave a shoulder stubborn and ears their they made heavy from hearing.
12 Waliifanya mioyo yao kuwa migumu kama mwamba ili wasiisikie sheria au neno la Yahwe wa majeshi. Alipeleka ujumbe kwa watu nyakati za zamani kwa Roho wake, kwa vinywa vya manabii. Lakini watu hawakusikia, hivyo Yahwe wa majeshi aliwakasirikia sana.
And heart their they made flint from hearing the law and the words which he had sent Yahweh of hosts by spirit his by [the] hand of the prophets former and it was wrath great from with Yahweh of hosts.
13 Hata ikawa alipoita hawakusikia. Vilevile,” asema Yahwe wa majeshi, “wataniita, lakini sitasikiliza.
And it was just as he called and not they listened so they called and not I listened he says Yahweh of hosts.
14 Kwa maana nitawatawanya kwa upepo wa kisurisuri katika mataifa yote ambayo hawajawai kuyaona, na baada yao nchi itakuwa wazi. Kwa kuwa hakuna hata mmoja atakayepita au kukaa katika hiyo nchi kwa kuwa wameigeuza nchi yao yenye kupendeza kuwa isiyofaa.
And I will storm away them to all the nations which not they have known them and the land it was desolate behind them from [one who] passes by and from [one who] returns and they made a land of desire into a waste.

< Zekaria 7 >