< Zekaria 7 >
1 Mwaka wa minne wa utawala mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa Kisleu(ambao ni mwezi wa tisa), neno la Yahwe lilimjia Zekaria kusema.
Potom stalo se léta čtvrtého Daria krále, stalo se slovo Hospodinovo k Zachariášovi, čtvrtého dne měsíce devátého, kterýž jest Kislef,
2 Watu wa Betheli wamemtuma Shareza, Regemu Meleki na watu wao kuomba mbele ya uso wa Yahwe.
Když poslal do domu Božího Sarezer a Regemmelech, i muži jeho, aby se kořili tváři Hospodinově,
3 Wakaongea na makuhani waliokuwa katika nyumba ya Yahwe wa majeshi na kwa manabii; wakasema, “Je niomboleze katika mwezi wa tano kwa njia ya kufunga, kama nilivyofanya miaka mingi hii?”
A aby mluvili k kněžím, kteříž byli v domě Hospodina zástupů, i k prorokům, řkouce: Budeme-li plakati měsíce pátého, oddělujíce se, jako jsme činili již po mnoho let?
4 Ndipo neno la Yahwe wa majeshi liliponijia kusema,
I stalo se slovo Hospodina zástupů ke mně, řkoucí:
5 “Ongea na watu wote wa nchi na makuhani uwaambie, “Mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba katika hii miaka sabini, je kweli mlifunga kwa ajili yangu?
Rci všemu lidu této země i kněžím takto: Když jste se postívali a kvílili, pátého a sedmého měsíce, a to po sedmdesáte let, zdaliž jste se opravdu mně, mně, pravím, postili?
6 Na mlipokula na kunywa, hamkula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?
A když jíte aneb pijete, zdaliž ne pro sebe jíte a ne pro sebe pijete?
7 Je hayo siyo maneno aliyosema Yahwe kwa vinywa vya manabii wa zamani, mlipokuwa bado mnaishi Yerusalemu na miji ya kandokando yenye mafanikio na iliyokaa Negebu, na upande wa magharibi chini ya vilima?”
Zdaliž tato nejsou slova, kteráž prohlásil Hospodin skrze proroky předešlé, když ještě Jeruzalém seděl bezpečně a užíval pokoje, i města jeho vůkol něho, a lid v straně polední i na rovinách bydlil?
8 Neno la Yahwe likamjia Zekaria kusema,
I stalo se slovo Hospodinovo k Zachariášovi, řkoucí:
9 “Yahwe wa majeshi asema hivi, 'Hukumuni kwa haki, uaminifu wa agano, na rehema. Kila mtu na amtendee hivi ndugu yake.
Takto mluvíval Hospodin zástupů, řka: Soud pravý vynášejte, a milosrdenství a lítosti dokazujte jeden každý k bližnímu svému.
10 Juu ya mjane na yatima, mgeni, na masikini - usiwanyanyase, na asiwepo miongoni mwenu anayepanga madhara yoyote dhidi ya mwingine mioyoni mwenu.
A vdovy ani sirotka, příchozího ani chudého neutiskejte, a zlého žádný bližnímu svému neobmýšlejte v srdci svém.
11 Lakini waliyashupaza mabega yao na hawakujari. Waliziba masikio yao ili wasisikie.
Ale nechtěli pozorovati, a nastavili ramene urputného, a uši své obtížili, aby neslyšeli.
12 Waliifanya mioyo yao kuwa migumu kama mwamba ili wasiisikie sheria au neno la Yahwe wa majeshi. Alipeleka ujumbe kwa watu nyakati za zamani kwa Roho wake, kwa vinywa vya manabii. Lakini watu hawakusikia, hivyo Yahwe wa majeshi aliwakasirikia sana.
A srdce své učinili kámen přetvrdý, aby neslyšeli zákona toho a slov těch, kteráž posílal Hospodin zástupů Duchem svým skrze proroky předešlé. Pročež přišel hněv veliký od Hospodina zástupů.
13 Hata ikawa alipoita hawakusikia. Vilevile,” asema Yahwe wa majeshi, “wataniita, lakini sitasikiliza.
Nebo stalo se, že jakož volajícího neslyšeli, tak když volali, neslyšel jsem, praví Hospodin zástupů.
14 Kwa maana nitawatawanya kwa upepo wa kisurisuri katika mataifa yote ambayo hawajawai kuyaona, na baada yao nchi itakuwa wazi. Kwa kuwa hakuna hata mmoja atakayepita au kukaa katika hiyo nchi kwa kuwa wameigeuza nchi yao yenye kupendeza kuwa isiyofaa.
A vichřicí rozptýlil jsem je mezi všecky ty národy, kterýchž neznali, a země tato spustla po nich, tak že nebylo žádného, kdo by tudy chodil, a tak přivedli zemi žádoucí na spuštění.