< Zekaria 7 >

1 Mwaka wa minne wa utawala mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa Kisleu(ambao ni mwezi wa tisa), neno la Yahwe lilimjia Zekaria kusema.
Darius lengpa Vaipoh kumli channa lhako lhinna Chislea lha kiti nili lhinnin Pakaiyin Zechariah henga thu ahin seije:
2 Watu wa Betheli wamemtuma Shareza, Regemu Meleki na watu wao kuomba mbele ya uso wa Yahwe.
Hichun Bethel khomiten Saherzer le Regem-molech toh amiteu chu Pakai lunglhaina holdin asol tauve,
3 Wakaongea na makuhani waliokuwa katika nyumba ya Yahwe wa majeshi na kwa manabii; wakasema, “Je niomboleze katika mwezi wa tano kwa njia ya kufunga, kama nilivyofanya miaka mingi hii?”
Chujong leh thaneipan Pakai Hou-in na thempu leh themgao hochu thu aga dong’e, “Keiman hitih chan khanga kahin bolngai banga chu lhanga lhinseh leh lunghem kabolla an kangol ding ham, kum hijat sunga kabol bang banga?” tin sei uvintin asol uve.
4 Ndipo neno la Yahwe wa majeshi liliponijia kusema,
Hiche ahin thanei pen Pakaiyin kajah in thu ahin seijin hitin ati.
5 “Ongea na watu wote wa nchi na makuhani uwaambie, “Mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba katika hii miaka sabini, je kweli mlifunga kwa ajili yangu?
Gamsunga mite jahle thempuho jah a khun hiti hin seijin, nanghon lhanga lhin leh lha sagi teng leh lunghem anbollu khu, hiche kum som-sagi sunga hi keima dinga anngolla nahiuvem?
6 Na mlipokula na kunywa, hamkula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?
Chuleh nanghon an naneh uva twi na donteng u-jongleh khun nangho le nangho dia na kineh uva chule nangho le nangho dia na kidon jiu hilou ham?
7 Je hayo siyo maneno aliyosema Yahwe kwa vinywa vya manabii wa zamani, mlipokuwa bado mnaishi Yerusalemu na miji ya kandokando yenye mafanikio na iliyokaa Negebu, na upande wa magharibi chini ya vilima?”
Jerusalem khopia mi achen lai, neile gou thalhin lai akimvel dunga jong khopi tampi aumna lhanglam gamla gammon lai dung jong min achenpha laiya chu hicheng mahi Pakaiyin themgao masaho komma aphondoh sa hilou ham?” tin ati.
8 Neno la Yahwe likamjia Zekaria kusema,
Pakai thupeh chu Zechariah komma ahung lhung in hitin ati.
9 “Yahwe wa majeshi asema hivi, 'Hukumuni kwa haki, uaminifu wa agano, na rehema. Kila mtu na amtendee hivi ndugu yake.
Thaneipen Pakaiyin hitin aseije, min asopi kom ah ngailutna leh khotona nei tahin thudih in thu tanhen,
10 Juu ya mjane na yatima, mgeni, na masikini - usiwanyanyase, na asiwepo miongoni mwenu anayepanga madhara yoyote dhidi ya mwingine mioyoni mwenu.
Meithai hihen nuneilou pa neilou hijong leh kholjin hihen mivaicha hijong leh bol genthei hihen chuleh na lungthim in na sopi chunga thilse gel hihen,
11 Lakini waliyashupaza mabega yao na hawakujari. Waliziba masikio yao ili wasisikie.
Amahon nathuseiju ngaida uhenlang, nanung ngat’u henlang na thuseiju ajah lou na diuvin akollu sip jong leu,
12 Waliifanya mioyo yao kuwa migumu kama mwamba ili wasiisikie sheria au neno la Yahwe wa majeshi. Alipeleka ujumbe kwa watu nyakati za zamani kwa Roho wake, kwa vinywa vya manabii. Lakini watu hawakusikia, hivyo Yahwe wa majeshi aliwakasirikia sana.
A lungthi un nanahsah dau henlang danthu jong kihet mosah jongleu themgao masaho komma hatchungnung pen Pakaiyin ana phondoh ija tihih jong leu, hijeh achu hatchungnung Pakaija konna hung deojah jenga ahi.
13 Hata ikawa alipoita hawakusikia. Vilevile,” asema Yahwe wa majeshi, “wataniita, lakini sitasikiliza.
Keiman amaho kakouva eingaipeh lou jeh'un amahon eihin kouteng ujongleh keiman jong kangai peh lou ding, ahi tin thaneipen Pakaiyin aseijin ahi.
14 Kwa maana nitawatawanya kwa upepo wa kisurisuri katika mataifa yote ambayo hawajawai kuyaona, na baada yao nchi itakuwa wazi. Kwa kuwa hakuna hata mmoja atakayepita au kukaa katika hiyo nchi kwa kuwa wameigeuza nchi yao yenye kupendeza kuwa isiyofaa.
Ama hohi ahet khah louvu chitin namtin lah a chimpei banga ka thethang gam ding ahi. Hitia chu agamsung uchu akeo hella kijam ding koi machan ahung vilkhah lou ding ahitan, agam nomtah uchu manlou asodoh sah u ahitai.

< Zekaria 7 >