< Zekaria 5 >

1 Kisha nikageuka na kuinua macho yangu, nami nikaona, tazama, gombo lirukalo!
بار دیگر به آسمان چشم دوختم و طوماری را در حال پرواز دیدم.
2 Malaika akaniuliza, “Unaona nini?” Nikajibu, “Ninaona gombo lirukalo, urefu wake dhiraa ishirini na upana wake dhiraa kumi.”
فرشته از من پرسید: «چه می‌بینی؟» جواب دادم: «طوماری می‌بینم به طول ده متر و عرض پنج متر که در حال پرواز است.»
3 Ndipo aliponiambia, “Hii ni laana iendayo juu ya uso wa nchi yote, kwani tangu sasa kila mwivi ataondolewa kulingana na lisemavyo upande mmoja, wakati kila aapaye kiapo cha uongo ataondolewa kulingana na lisemavyo upande mwingine, kwa kadili ya maneno yake.
گفت: «این طومار لعنتهای خدا را در بردارد و آنها را به سراسر جهان می‌برد. نوشتهٔ روی آن نشان می‌دهد که تمام دزدان و دروغگویان محکوم به مرگ هستند.»
4 “Nitalituma - asema Yahwe wa majeshi - hivyo litaingia nyumbani mwa mwivi na nyumbani mwa aapaye kwa uongo kwa jina langu. Litasalia nyumbani mwake na kuteketeza mbao na mawe yake.”
خداوند لشکرهای آسمان می‌فرماید که این لعنتها را به خانهٔ کسانی که دزدی می‌کنند و آنهایی که به نام او قسم دروغ می‌خورند، می‌فرستد تا بر خانه‌هایشان قرار بگیرد و آنها را به کلی نابود کند.
5 Ndipo malaika aliyekuwa akisema nami alipoenda nje na kuniambia, “Inua macho yako uone kinachokuja!”
فرشته بار دیگر ظاهر شد و گفت: «بالا را نگاه کن. چیز دیگری در حال پرواز است.»
6 Nikasema, “Ni nini hiki?” Akasema, “Hiki ni kikapu kilicho na efa ijayo. Huu ni uovu wao katika nchi yote.”
پرسیدم: «آن چیست؟» جواب داد: «یک بشکهٔ بزرگ است. این بشکه پر است از گناهانی که سراسر زمین را فرا گرفته‌اند.»
7 Kisha mfuniko wa risasi ukainuliwa kutoka ndani ya kikapu na kulikuwa na mwanamke chini yake amekaa ndani yake!
ناگهان سرپوش سنگین سربی بشکه کنار رفت و من توانستم زنی را که در بشکه نشسته بود ببینم!
8 Malaika akasema, “Huu ni uovu!” na akamtupa tena kikapuni, na kurusha mfuniko wa risasi mlango pake.
فرشته گفت: «آن زن نشانهٔ فساد و شرارت است.» آنگاه زن را به داخل بشکه هل داد و دوباره سرپوش سربی را روی آن گذاشت.
9 Nilipoinua macho nikaona wanawake wawili wakija kwangu, na upepo ulikuwa ndani ya mabawa yao - walikuwa na mabawa kama mabawa ya korongo. Wakainua kikapu kati ya mbingu na nchi.
سپس دو زن دیگر دیدم که بالهایی شبیه بالهای لک‌لک داشتند و پرواز می‌کردند. آنها آمده، بشکه را برداشتند و پروازکنان با خود بردند.
10 Hivyo nikamwuliza malaika aliyesema nami, “Wanapeleka wapi kikapu?”
از فرشته پرسیدم: «بشکه را کجا می‌برند؟»
11 Akaniambia, “Wanakwenda kujengea hekalu katika nchi ya Shinari kwa ajili yake, hekalu litakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa kwenye msingi ulioandaliwa kwa ajili yake.”
جواب داد: «آن را به بابِل می‌برند تا جایگاهی برای آن بسازند و بشکه را در آن قرار دهند.»

< Zekaria 5 >