< Zekaria 2 >

1 Kisha nikainua macho yangu na kuona mtu akiwa na timazi mkononi mwake.
Bout kamoung nah, bangnuenae rui ka sin e tami buet touh ka hmu.
2 Nikamwuliza, “Unakwenda wapi?” Akaniambia, “Ninakwenda kuupima Yerusalemu ili kujua upana na urefu wake.”
Na lah maw na cei han telah ka pacei navah Jerusalem khopui abueng akaw e bangnue hanlah ka cei telah a ti.
3 Ndipo malaika aliyekuwa anaongea nami akaondoka na malaika mwingine akaenda kukutana naye.
Kai hoi ka pato roi e kalvantami a cei teh, alouke kalvantami ni na dawn teh, nang ni na yawng vaiteh thoundoun koe na dei pouh hane teh,
4 Malaika wa pili akamwambia, “Nenda uongee na yule kijana umwambie, 'Yerusalemu utakuwa bila kuta kwa sababu ya wingi wa watu na wanyama ndani yake.
Jerusalem khocanaw, tami hoi saringnaw apap poung dawkvah khonaw dawk na o awh han.
5 Kwa maana Yahwe asema, Nitakuwa ulinzi wake, na nitakuwa utukufu katikati yake.
BAWIPA ni a dei e teh, Kai teh khopui kalupnae hmai rapan lah ka o. Khopui lungui haiyah kai teh khopui e bawilennae lah ka o han.
6 Kimbieni! kimbieni! kimbieni kutoka nchi ya kaskazini - asema Yahwe - kwa maana nimewatawanya kama pepo nne za anga! - Asema Yahwe.
Oe nangmouh, Oe nangmouh, atunglah hoi yawng awh haw, telah BAWIPA ni ati. Kalvan rahim a takin pali touh koe na ka kahei sak awh toe telah BAWIPA ni a ti.
7 Kimbilieni Sayuni haraka! ninyi mnaokaa na binti Babeli!” Asema Yahwe.
Babilon canu koe kaawm e Zion canunaw puenghoi yawng awh leih.
8 Kwa maana baada ya Yahwe wa majeshi kuniheshimu aliniweka kinyume na mataifa yaliyowateka - kwani awagusaye, agusa mboni ya jicho la Mungu! - baada ya Yahwe kutenda hivi, alisema,
ransahu BAWIPA ni a dei e teh, nangmouh na ka raphoe e miphunnaw aonae koe a bawilennae a kamnue hnukkhu kai na patoun. Nangmouh na ka tek e teh ka mitmu ka tek e doeh.
9 “Mimi mwenyewe nitatikisa mkono wangu juu yao, nao watakuwa mateka kwa watumwa wao.” Ndipo mtakapojua kwamba Yahwe wa majeshi amenituma.
Ahnimouh ka tuk vaiteh a sannaw ka thei pouh han. ransahu BAWIPA ni kai na patoun e heh nangmouh ni na panue awh han.
10 “Imba kwa furaha, binti Sayuni, kwa maana mimi mwenyewe nitakaa nawe! - asema Yahwe
Oe, Zion canu lunghawi hoi la sak haw, kai nangmouh koe ka tho vaiteh nangmouh lungui ka o han telah BAWIPA ni a ti.
11 Mataifa makubwa yataungana na Yahwe siku hiyo. “Nanyi mtakuwa watu wangu; kwa kuwa nitakaa kati yenu,” nanyi mtajua kuwa Yahwe wa majeshi amenituma kwenu.
Hatnae tueng dawk, taminaw ni BAWIPA koelah a bawk awh vaiteh, Ka tami lah ao awh han. Nang e na lungui ka o han. ransahu BAWIPA ni kai nangmouh koe na patoun tie hah na panue awh han.
12 Kwa maana Yahwe ataimilki Yuda kama milki yake halali katika nchi takatifu na kwa mara nyingine tena atauchagua Yerusalema kwa ajili yake mwenyewe.
BAWIPA ni kho kathoung dawk Judah ram hah ama hanlah râw lah a coe vaiteh Jerusalem hah bout a rawi han.
13 Nyamazeni, mbele za Yahwe, ninyi wote wenye mwili, maana ameinuka kutoka mahali patakatifu pake!
Oe, taminaw pueng BAWIPA hmalah sairasuepcalah awm awh, kathounge onae hmuen dawk a thaw toe.

< Zekaria 2 >