< Zekaria 2 >
1 Kisha nikainua macho yangu na kuona mtu akiwa na timazi mkononi mwake.
Na da esala ba: su eno amo ganodini, dunu amo ea loboga sedade defesu efe gagui dialebe ba: i.
2 Nikamwuliza, “Unakwenda wapi?” Akaniambia, “Ninakwenda kuupima Yerusalemu ili kujua upana na urefu wake.”
Na da ema adole ba: i, “Di da habi ahoa!” E da bu adole i, “Na da Yelusaleme defemusa: ahoa. Na da ea sedade amola ba: de amo defemusa: ahoa!”
3 Ndipo malaika aliyekuwa anaongea nami akaondoka na malaika mwingine akaenda kukutana naye.
Amalalu, na da ba: loba, a:igele dunu nama adolalu amo alia guda: lebe ba: i. Amola a: igele eno e gousa: musa: misi.
4 Malaika wa pili akamwambia, “Nenda uongee na yule kijana umwambie, 'Yerusalemu utakuwa bila kuta kwa sababu ya wingi wa watu na wanyama ndani yake.
Bisili misi a: igele dunu da eno a: igelema amane sia: i, “Hehenaia asili, ayeligi dunu defesu efe gagui ema amane sia: ma, ‘Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini, dunu amola bulamagau bagohamedafa ba: muba: le, moilai bai bagade gagomu da hamedei ba: mu.
5 Kwa maana Yahwe asema, Nitakuwa ulinzi wake, na nitakuwa utukufu katikati yake.
Hina Gode da amane ilegele sia: i dagoi. ‘Na Nisu fawane da laluga sisiga: le disi gagoi agoane moilai bai bagade fi gaga: ma: ne esalumu. Amola Na da hadigiwane amogai esalumu.’”
6 Kimbieni! kimbieni! kimbieni kutoka nchi ya kaskazini - asema Yahwe - kwa maana nimewatawanya kama pepo nne za anga! - Asema Yahwe.
Hina Gode da Ea fi dunu ilima amane sia: i “Na da la: idi bega: la: idi bega: dilia huluane afagogolesi. Be dilia mugululi asi dunu! Waha dilia Ba: bilone soge yolesili, hobeale asili, Yelusalemega buhagima.
7 Kimbilieni Sayuni haraka! ninyi mnaokaa na binti Babeli!” Asema Yahwe.
8 Kwa maana baada ya Yahwe wa majeshi kuniheshimu aliniweka kinyume na mataifa yaliyowateka - kwani awagusaye, agusa mboni ya jicho la Mungu! - baada ya Yahwe kutenda hivi, alisema,
Nowa da dili fasea, da Nama dogolegei liligi fasa.” Amaiba: le, Hina Gode Bagadedafa da fifi asi gala amo da Ea fi dunu ilia liligi doagala: le lai, ilima amo sia: sia: musa: , na asunasi,
9 “Mimi mwenyewe nitatikisa mkono wangu juu yao, nao watakuwa mateka kwa watumwa wao.” Ndipo mtakapojua kwamba Yahwe wa majeshi amenituma.
“Hina Gode Hisu da dilima gegemu. Amo dunu ilia da dilia hawa: hamosu dunu galu, ilia da dilia liligi doagala: le lamu.” Amane hamobe ba: sea, dunu huluane da Hina Gode Bagadedafa da na asunasi, amo dawa: mu.
10 “Imba kwa furaha, binti Sayuni, kwa maana mimi mwenyewe nitakaa nawe! - asema Yahwe
Hina Gode da amane sia: i, “Yelusaleme dunu! Nodone gesami hea: ma! Na da dili bisili fifi lamusa: mana!”
11 Mataifa makubwa yataungana na Yahwe siku hiyo. “Nanyi mtakuwa watu wangu; kwa kuwa nitakaa kati yenu,” nanyi mtajua kuwa Yahwe wa majeshi amenituma kwenu.
Amo esoga, fifi asi gala bagohame da Hina Godema misini, Ea fidafa hamomu. E da dili bisili fifi lamu. Amasea, E da na dilima asunasi, amo dilia da dawa: digimu.
12 Kwa maana Yahwe ataimilki Yuda kama milki yake halali katika nchi takatifu na kwa mara nyingine tena atauchagua Yerusalema kwa ajili yake mwenyewe.
Bu enowane, Yuda da Hina Gode Ea dogolegei fi Ea sema soge amo ganodini ba: mu. Amola Yelusaleme da Ea baligili dogolegei moilai bai bagade ba: mu.
13 Nyamazeni, mbele za Yahwe, ninyi wote wenye mwili, maana ameinuka kutoka mahali patakatifu pake!
Hina Gode Ea midadi, dunu huluane ouiya: ma! Bai E da Ea Hadigi fifi esalebe sogebi amoganini manebe!