< Zekaria 13 >
1 Katika siku hiyo kijito kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wenyeji wa Yerusalemu, kwa ajili ya dhambi na uchafu wao.
Hiche nikhoteng chuleh David insung mite dingleh Jerusalem mipite ding in twinah khat kihongdoh intin, hiche twinah chun achonset nau leh athem lounaova konna asoptheng diu ahi
2 Katika siku hiyo - asema Yahwe wa majeshi - kwamba nitaondoa majina ya sanamu katika nchi ili kwamba yasikumbukwe tena. Nitawaondoa pia katika nchi manabii wa uongo na roho wao mchafu
Hiche nikho chuleh nahouvu semthu Pathen hohi amin-u kisan ana suhmil sohhel theina diuva gamsung pumpia semthu Pathen hojouse hi kasuh mang sohkei ding ahi. Chuleh lhangao boh vop themgao lhemho jong hiche gamma konna kadel doh ding ahi, tin hatchungnung Pakaiyin aseije.
3 Ikiwa mtu yeyote ataendelea kutoa unabii, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, 'Hautaishi, kwa kuwa umenena uongo kwa jina la Yahwe! Ndipo baba na mama waliomzaa watakapomchoma wakati akitabiri.
Koitabang hamkhatnin gaothusei chu ajomma ahileh ahinga anu apa tahin nangin Pakai minna jouthu naseidoh jeh'in nathi teitei ding ahi tia aseipeh ding chuleh hitia chu asei teitei leh ahinga anule apa tah in chemma asutlih ding ahi.
4 Katika siku hiyo kila nabii ataonea aibu maono yake aelekeapo kutoa unabii. Manabii hawa hawatavaa tena vazi la singa, ili kuwadanganya watu.
Hiteng chuleh themgao ho jousen gao thudihlou asei uchu jachat piuvin tin, themgao vonjong vonngam tapouvintin, themgao tiajong kisei ngamta pouvinte.
5 Kwa maana kila mmoja atasema, 'Mimi siyo nabii! mimi ni mkulima, kwa maana ardhi ndiyo kazi yangu tangu ujana wangu!
Chujongleh keima themgao kahipoi, loubolmi kahibouve kaneo a patna lou hinlhou kahi bouve atidiu ahi.
6 Lakini mtu mwingine atamwambia, 'Majeraha haya kati ya mikono yako ni ya nini?' naye atajibu, nilijeruhiwa na waliokuwa katika nyumba ya rafiki zangu.”
Khat touvin ahileh naop achu ipi maha baham atiuleh aman kagol kapaiho in na eimavonau ahi atiding ahi.
7 Upanga! inuka mwenyewe dhidi ya mchungaji wangu, mtu asimamaye karibu nami - hivi ndivyo asemavyo Yahwe wa majeshi. Mpige mchungaji, na kondoo watatawanyika! Kwa maana nitageuza mkono wangu dhidi ya wadogo.
“Thoudoh in Vo Chemjam kakelngoi chingpa leh katohkhom pipa douna ding in tin hatchungnungpen Pakaiyin aseije. Kelngoi chingpa chu sat lhun, akelngoi hochu jam cheh nauvinte chuteng keiman kelngoiho chunga kakhutlam nange ati.
8 Kisha itakuwa kwamba katika nchi yote - hivi ndivyo asemavyo Yahwe - kwamba theluthi mbili yake itaondolewa! Watu hao wataangamia; theluthi moja tu ndiyo itakayosalia.
Hitichun gamsunga mipate chu hopthuma hopni kithat gam ding hopkhat chu gamsung a hi kidalhadiu ahi tin Pakaiyin aseije.
9 Nitaipitisha hiyo ya tatu motoni na kuwasafisha kama fedha isafishwavyo; nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo. Wataliitia jina langu nami nitawajibu na kusema, 'Hawa ni watu wangu!' nao watasema, Yahwe ndiye Mungu wangu!”
Keiman hicheng chu meilah a kon in puidoh ingting kasuhtheng ding ahi. keiman dangka bangin sutheng in ting sana banga kalhit theng ding ahi. Amahon kaminna eihin koudiu chujong leh ka hou ding ahi. Keiman amahohi kamite ahi kati ding ahin amahon Amahi Pakai le ka Pathen ahi atidiu ahi” ati.