< Zekaria 12 >
1 Hili ni tamko la neno la Yahwe kwa Israeli - Bwana asema, azitandaye mbingu na kuweka msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mtu ndani yake,
Ty entañe nitsarae’ Iehovà am’ Israele: Hoe t’Iehovà namelatse o likerañeo, naho nampijadoñe o mananta’ ty tane toio vaho mitsene ty arofo’ ondaty ama’e ao:
2 “Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
Inao, te hanoeko fitovim-pivembèñañe t’Ierosalaime naho o mañohok’ aze iabio, vaho hampitraofe’ iareo ama’ Ierosalaime t’Iehodà, naho harikatohe’ iareo.
3 Katika siku hiyo, nitaifanya Yerusalemu kuwa jiwe zito kwa watu wa jamaa zote. Kila atakayejaribu kuliinua jiwe hilo atajihumiza sana, na mataifa yote ya dunia yatakusanyika kinyume cha mji huo.
Ie amy andro zay, le hanoeko vato fijinie’ ze kila ondaty t’Ierosalaime; ho fonga fere-boboke ze mivave aze; vaho hene hitontoñe hiatreatre aze ze fifehea’ ty tane toy.
4 Katika siku hiyo asema Yahwe - nitampiga kila farasi kwa ushangao na kila mpanda farasi kwa wendawazimu. Nitaiangalia nyumba ya Yuda kwa upendeleo na nami nitawapiga kwa upofu farasi wa majeshi.
Amy andro zay, hoe t’Iehovà le ho paoheko ho tangòke o soavalao, naho ho seretse i mpiningi’ey; hanoka-maso amy anjomba’ Iehoday iraho vaho ho lafaeko ho goa iaby ze soavala’ondaty.
5 Ndipo watawala wa Yuda watakapojisemea mioyoni mwao, 'Wakaao Yerusalemu ndio nguvu yetu kwa sababu ya Yahwe wa majeshi, Mungu wao.'
Le hitsakore añ’arofo ao o mpifehe’ Iehodao hanao ty hoe: Haozarako o mpimone’ Ierosalaime añam’ Iehovà’ i Màroy, Andrianañahare’ iareo.
6 Katika siku hiyo nitawafanya watawala wa Yuda kuwa kama mitungi ya moto katika miti na kama miali ya moto kati ya nafaka isimamayo, kwani utateketeza watu wote walio karibu upande wao wa kulia na kushoto. Yerusalemu atakaa mahali pake tena.
Hanoeko sadròn’ afo añivon-katae ao o mpiaolo’ Iehodao, naho hoe failon’ afo añivom-pitoboroñan’ ampemba ao; ie hamorototo ondaty iaby mañohokeo mb’ ankavana naho havia; fe ho fimoneñañe an-toe’e eo indraike t’Ierosalaime, Eka e Ierosalaime ao.
7 Yahwe ataziokoa hema za Yuda kwanza, ili kwamba utukufu ya nyumba ya Daudi na utukufu wa wale waishio Yerusalemu hautazidi sehemu iliyosalia ya Yuda.
Ho rombahe’ Iehovà heike o kiboho’ Iehodao, soa tsy hitoabotse ambone’ Iehodà ty enge’ i anjomba’ i Davidey9 naho ty enge’ o mpimone’ Ierosalaimeo.
8 Katika siku hiyo Yahwe atakuwa mtetezi wa wakao Yerusalemu, na siku hiyo waliodhaifu miongoni mwao watakuwa kama Daudi, wakati nyumba ya Daudi watakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yahwe mbele yao.
Harova’ Iehovà amy andro zay o mpimone’ Ierosalaimeo le ho hambañe amy Davide ty mikoletra am’ iereo amy andro zay; vaho hanahak’ an’ Andrianañahare ty anjomba’ i Davide, hambañ’ amy anjeli’ Iehovà aolo’ iareoy.
9 “Itakuwa kwamba katika siku hiyo nitaanza kuyaharibu mataifa yote yajayo kinyume cha Yerusalemu.
Ie amy andro zay, ho paiako harotsake ze hene fifeheañe maname Ierosalaime.
10 Lakini nitamwaga roho ya huruma na kuiombea nyumba ya Daudi na wakao Yerusalemu, hivyo wataniangalia mimi, waliomchoma kwa mkuki. Wataniombolezea, kama amwombolezeaye mwana wa pekee; watamwombolezea kwa uchungu sana kama aombolezaye kifo cha mzaliwa wa kwanza.
Le hakofòko amy anjomba’ i Davidey naho amo mpimone’ Ierosalaimeo ty arofom-patarihañe naho fisolohoañe; le hisamb’ ahy iereo, i trinofa’ iareoy vaho hirovetse, manahake t’ie fangololoiham-bako-tokañe, ho afero am’ iareo manahake t’ie nitañoloñoloña’e.
11 Katika siku hiyo maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni katika tambarare za Megido.
Ie amy andro zay, le ho fandalàm-bey ty e Ierosalaime ao, manahake ty firoveta’ i Hadadrimone am-bavatane’ i Megidone eo.
12 Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi utakuwa peke yake na wake zao watakuwa peke yao mbali na wanaume. Ukoo wa nyumba ya Nathani utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
Handala i taney, le songa hivike ze hene fifokoañe; hivike ty anjomba’ i Davide naho hivike o rakemba’ eo; hivike ty anjomba’ i Natane naho hivike o rakemba’eo;
13 Ukoo wa nyumba ya Lawi utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume. Ukoo wa Washimei utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
hivike ty anjomba’ i Levý naho hivike o rakemba’ eo; hivike o nte-Simeio naho hivikeo rakemba’eo;
14 Kila ukoo uliosalia - kila mmoja utakuwa peke yake na wake watakuwa pekee mbali na waume.
sambe hivike ze hene fifokoa sehanga’e naho hivike ka o tañanjomba’eo.