< Zekaria 12 >
1 Hili ni tamko la neno la Yahwe kwa Israeli - Bwana asema, azitandaye mbingu na kuweka msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mtu ndani yake,
Weissagung. Das Wort Jehovahs über Israel. Es spricht Jehovah, Der die Himmel ausspannt und die Erde gründet, und den Geist des Menschen in seinem Inneren bildet.
2 “Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
Siehe, Ich mache Jerusalem zum Taumelbecken für alle Völker ringsumher, und auch für Jehudah wird sie es sein bei der Belagerung wider Jerusalem.
3 Katika siku hiyo, nitaifanya Yerusalemu kuwa jiwe zito kwa watu wa jamaa zote. Kila atakayejaribu kuliinua jiwe hilo atajihumiza sana, na mataifa yote ya dunia yatakusanyika kinyume cha mji huo.
Und es geschieht am selben Tag, daß Ich Jerusalem zum Laststein mache allen Völkern; alle, die daran aufladen, werden sich daran zerschneiden, und alle Völkerschaften der Erde werden sich versammeln wider dasselbe.
4 Katika siku hiyo asema Yahwe - nitampiga kila farasi kwa ushangao na kila mpanda farasi kwa wendawazimu. Nitaiangalia nyumba ya Yuda kwa upendeleo na nami nitawapiga kwa upofu farasi wa majeshi.
An selbigem Tage, spricht Jehovah, schlage Ich mit Stumpfsinn jeglich Roß, und mit Wahnsinn den, der darauf reitet, und über das Haus Jehudah tue Ich Meine Augen auf, und jeglich Roß der Völker werde Ich mit Blindheit schlagen.
5 Ndipo watawala wa Yuda watakapojisemea mioyoni mwao, 'Wakaao Yerusalemu ndio nguvu yetu kwa sababu ya Yahwe wa majeshi, Mungu wao.'
Und Jehudahs Stammhäupter werden in ihrem Herzen sprechen: Mächtig mache ich mir Jerusalems Bewohner durch Jehovah der Heerscharen, ihren Gott.
6 Katika siku hiyo nitawafanya watawala wa Yuda kuwa kama mitungi ya moto katika miti na kama miali ya moto kati ya nafaka isimamayo, kwani utateketeza watu wote walio karibu upande wao wa kulia na kushoto. Yerusalemu atakaa mahali pake tena.
An jenem Tage werde Ich die Stammhäupter Jehudahs machen wie ein Feuerbecken unter Holzstücken und wie eine Feuerfackel in der Garbe, daß sie zur Rechten und zur Linken alle Völker ringsumher auffressen, und wohnen wird noch Jerusalem an seine Stelle in Jerusalem.
7 Yahwe ataziokoa hema za Yuda kwanza, ili kwamba utukufu ya nyumba ya Daudi na utukufu wa wale waishio Yerusalemu hautazidi sehemu iliyosalia ya Yuda.
Und Jehudahs Zelte wird Jehovah zuerst retten, daß nicht der Ruhm des Hauses David und der Ruhm von Jerusalems Bewohnern groß tue wider Jehudah.
8 Katika siku hiyo Yahwe atakuwa mtetezi wa wakao Yerusalemu, na siku hiyo waliodhaifu miongoni mwao watakuwa kama Daudi, wakati nyumba ya Daudi watakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yahwe mbele yao.
An jenem Tage wird Jehovah schirmen den Bewohner Jerusalems, daß, wer da strauchelt unter ihnen, wird sein an jenem Tage wie David, und das Haus Davids wird sein wie Gott, wie Jehovahs Engel vor ihrem Angesicht.
9 “Itakuwa kwamba katika siku hiyo nitaanza kuyaharibu mataifa yote yajayo kinyume cha Yerusalemu.
Und an selbigem Tage wird geschehen, daß Ich suche alle Völkerschaften zu vernichten, die wider Jerusalem kommen.
10 Lakini nitamwaga roho ya huruma na kuiombea nyumba ya Daudi na wakao Yerusalemu, hivyo wataniangalia mimi, waliomchoma kwa mkuki. Wataniombolezea, kama amwombolezeaye mwana wa pekee; watamwombolezea kwa uchungu sana kama aombolezaye kifo cha mzaliwa wa kwanza.
Und Ich gieße aus über Davids Haus und über den Bewohner Jerusalems den Geist der Gnade und des Flehens, und sie werden zu Mir aufblicken, Den sie durchstochen haben, und klagen um Ihn, wie man klagt um den Einzigen, und bitterlich weinen um Ihn, wie man bitterlich weint um den Erstgeborenen.
11 Katika siku hiyo maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni katika tambarare za Megido.
An jenem Tag wird die Klage groß sein in Jerusalem, wie die Klage bei Hadadrimmon in der Talebene Megiddo.
12 Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi utakuwa peke yake na wake zao watakuwa peke yao mbali na wanaume. Ukoo wa nyumba ya Nathani utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
Und klagen wird das Land, Familien um Familien besonders, die Familie des Hauses David besonders und ihre Weiber besonders, die Familie des Hauses Nathan besonders und ihre Weiber besonders;
13 Ukoo wa nyumba ya Lawi utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume. Ukoo wa Washimei utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
Die Familie des Hauses Levi besonders und ihre Weiber besonders; die Familie Schimei besonders und ihre Weiber besonders.
14 Kila ukoo uliosalia - kila mmoja utakuwa peke yake na wake watakuwa pekee mbali na waume.
Alle Familien, die verblieben sind, Familien um Familien besonders und ihre Weiber besonders.