< Zekaria 10 >

1 Mwombeni Yahwe mvua nyakati za kipupwe - Yahwe afanyaye mvua ya radi - naye hufanya mvua inyeshe kwa kila mmoja na uoto kondeni.
Begærer Regn af Herren paa den sildige Regns Tid! Herren skaffer Lyn og giver dem Regnskyl, for enhver Mand Urter paa Marken.
2 Kwani sanamu za wenye nyumba husema uongo; waganga hunena uongo; wanasema ndoto za udanganyifu na hutoa faraja tupu, hivyo wapotea kama kondoo na wanaumia kwa sababu hakuna mchungaji.
Thi Husguderne have talt Falskhed, og Spaamændene have skuet Løgn, og skuffende Drømme tale de, med Forfængelighed trøste de; derfor ere de dragne bort som en Hjord, de ere i Nød, thi der er ingen Hyrde.
3 Gadhabu yangu inawaka dhidi ya wachungaji; ni mabeberu - viongozi - nitakao waadhibu. Yahwe wa majeshi atalihudumia pia kundi la kondoo wake, nyumba ya Yuda, na kuwafanya kama farasi wake wa vita!
Imod Hyrderne er min Vrede optændt, og Bukkene vil jeg hjemsøge; thi den Herre Zebaoth har besøgt sin Hjord, Judas Hus, og gjort dem som sin statelige Hest i Krigen.
4 Kutoka kwao litatoka jiwe kuu la pembeni; kutoka kwao kitatoka kigingi cha hema; kutoka kwao utatoka upinde wa vita; kutoka kwao watakuja viongozi wote kwa pamoja.
Derfra skal Hjørnestenen, derfra skal Naglen, derfra skal Krigsbuen være, derfra skal tillige hver streng Hersker udgaa.
5 Watakuwa kama mashujaa wawakanyagao adui zao katika matope ya mitaani vitani; watafanya vita, kwa maana Yahwe yu pamoja nao, nao watawaabisha wapanda farasi wa vita.
Og de skulle være som Helte og træde Gadeskarn ned i Krigen, og de skulle stride, thi Herren skal være med dem; og de, som ride paa Heste, skulle beskæmmes.
6 Nitaitia nguvu nyumba ya Yuda na kuiokoa nyumba ya Yusufu; kwani nitawarejesha na kuwahurumia. Watakuwa kama nilikuwa sijawaondoa, kwani mimi ni Yahwe Mungu wao, nami nitawaitikia.
Og jeg vil styrke Judas Hus og frelse Josefs Hus og give dem Bolig; thi jeg har forbarmet mig over dem, og de skulle vorde, som om jeg ikke havde bortkastet dem; thi jeg er Herren deres Gud og vil bønhøre dem.
7 Ndipo Efraimu atakapokuwa kama shujaa, na mioyo yao itafurahi kama kwa mvinyo; wana wao wataona na kufurahi. Mioyo yao itanifurahia!
Og Efraim skal blive som en Helt, og deres Hjerte glædes ligesom af Vin, og deres Børn skulle se det og glæde sig, deres Hjerte skal fryde sig i Herren.
8 Nitawanong'oneza na kuwakusanya, kwani nitawaokoa, nao watakuwa wakuu kama walivyokuwa mwanzo!
Jeg vil fløjte ad dem og samle dem; thi jeg har genløst dem, og de skulle blive mangfoldige, ligesom de have været mangfoldige.
9 Niliwapanda kati ya watu, lakini watanikumbuka katika nchi ya mbali, hivyo wao na wana wao wataishi na kurejea.
Og jeg vil saa dem iblandt Folkene, og de skulle ihukomme mig paa de langt fraliggende Steder, og de skulle leve tillige med deres Børn og komme tilbage.
10 Kwa maana nitawarejesha kutoka nchi ya Misri na kuwakusanya kutoka Ashuru. Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni mpaka kutakapokuwa hakuna nafasi tena kwa ajili yao.
Og jeg vil føre dem tilbage fra Ægyptens Land og samle dem fra Assyrien; og jeg vil føre dem til Gileads og Libanons Land, og der skal ikke findes Rum nok for dem.
11 Nitapita katika bahari ya mateso yao; nitayapiga mawimbi ya bahari hiyo na nitavikausha vilindi vyote vya Nile. Utukufu wa Ashuru utashushwa chini, na fimbo ya Misri itakwenda mbali kutoka kwa Wamisri.
Og han skal gaa igennem Trængselshavet og slaa Bølgerne i Havet, og alle Strømmens Dyb skulle udtørres; og Assyriens Hovmod skal nedtrykkes, og Ægyptens Spir skal vige.
12 Nitawatia nguvu katika mimi mwenyewe, nao watatembea katika jina langu - asema Yahwe.
Og jeg vil styrke dem i Herren, og i hans Navn skulle de vandre, siger Herren.

< Zekaria 10 >