< Zekaria 1 >

1 Katika mwezi wa nane mwaka wa pili wa kutawala kwake Dario, neno la Yahwe lilimjia nabii Zekaria, mwana wa Berekia mwana wa Ido, kusema,
in/on/with month [the] eighth in/on/with year two to/for Darius to be word LORD to(wards) Zechariah son: child Berechiah son: child Iddo [the] prophet to/for to say
2 “Yawhe alikuwa na hasira sana juu ya baba zenu!
be angry LORD upon father your wrath
3 Wambie, 'Yahwe wa majeshi asema hivi: Nirudieni! - nami nitawarudia ninyi, asema Yahwe wa majeshi.
and to say to(wards) them thus to say LORD Hosts to return: return to(wards) me utterance LORD Hosts and to return: return to(wards) you to say LORD Hosts
4 Msiwe kama baba zenu ambao hapo zamani manabii waliwambia, wakisema, “Yahwe wa majeshi asema hivi: Geukeni kutoka katika njia zenu za mbaya na matendo yenu mabaya!” Lakini hawakuweza kusikia wala kunijari - asema Yahwe.'
not to be like/as father your which to call: call out to(wards) them [the] prophet [the] first: previous to/for to say thus to say LORD Hosts to return: return please from way: conduct your [the] bad: evil (and deed your *Q(k)*) [the] bad: evil and not to hear: hear and not to listen to(wards) me utterance LORD
5 Wako wapi baba zenu? Na manabii, je wapo hapa daima?
father your where? they(masc.) and [the] prophet to/for forever: enduring to live
6 Lakini maneno yangu na maagizo niliyowaamru watumishi wangu manabii, je hayakuwapata baba zenu? Hivyo walitubu na kusema, 'Kama vile Yahwe wa majeshi alivyokusudia kututenda kwa kadili zinavyostahili njia na matendo yetu, ndivyo alivyotutenda.”
surely word my and statute: decree my which to command [obj] servant/slave my [the] prophet not to overtake father your and to return: repent and to say like/as as which to plan LORD Hosts to/for to make: do to/for us like/as way: conduct our and like/as deed our so to make: do with us
7 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, ndiyo mwezi wa Shebati, mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Yahwe lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido, akasema,
in/on/with day twenty and four to/for eleven ten month he/she/it month Shebat in/on/with year two to/for Darius to be word LORD to(wards) Zechariah son: child Berechiah son: child Iddo [the] prophet to/for to say
8 “niliona wakati wa usiku, na tazama! mtu alikuwa amepanda farasi mwekundu, naye alikuwa kati ya miti ya mihadasi iliyoko bondeni; na nyuma yake kulikuwa na farasi mwekundu, farasi wa kijivu, na farasi mweupe.”
to see: seer [the] night and behold man to ride upon horse red and he/she/it to stand: stand between [the] myrtle which in/on/with ravine and after him horse red sorrel and white
9 Nikauliza, “Bwana, hivi ni vitu gani?” Malaika aliyesema nami akaniambia, “Nitakueleza vitu hivi ni nini.”
and to say what? these lord my and to say to(wards) me [the] messenger: angel [the] to speak: speak in/on/with me I to see: see you what? they(masc.) these
10 Kisha mtu aliyesimama kati ya miti ya mihadasi akajibu na kusema, “Hawa ndiyo Yahwe aliowatuma kuzunguka katika dunia yote.”
and to answer [the] man [the] to stand: stand between: among ([the] myrtle *LB(ah)*) and to say these which to send: depart LORD to/for to go: walk in/on/with land: country/planet
11 Wakamjibu malaika wa Yahwe aliyekuwa amesimama kati ya miti ya mihadasi na kumwambia, “Tumekuwa tukizunguka duniani pote; tazama, dunia yote imekaa na kutulia.”
and to answer [obj] messenger: angel LORD [the] to stand: stand between: among [the] myrtle and to say to go: walk in/on/with land: country/planet and behold all [the] land: country/planet to dwell and to quiet
12 Ndipo malaika wa Yahwe alipojibu na kusema, “Yahwe wa majeshi, hata lini usiuhurumie Yerusalemu na miji ya Yuda ambayo imeteswa na kudhurumiwa miaka hii sabini?”
and to answer messenger: angel LORD and to say LORD Hosts till how you(m. s.) not to have compassion [obj] Jerusalem and [obj] city Judah which be indignant this seventy year
13 Yahwe akamjibu malaika aliyekuwa amesema nami, kwa maneno mazuri, maneno ya faraja.
and to answer LORD [obj] [the] messenger: angel [the] to speak: speak in/on/with me word pleasant word comfort
14 Hivyo malaika aliyekuwa anaongea nami akaniambia, “Ita kwa sauti na useme 'Yahwe wa majeshi asema: Nina wivu kwa ajili ya Yerusalemu yaani Sayuni kwa uchungu mkubwa!
and to say to(wards) me [the] messenger: angel [the] to speak: speak in/on/with me to call: call out to/for to say thus to say LORD Hosts be jealous to/for Jerusalem and to/for Zion jealousy great: large
15 Nami nina hasira juu ya mataifa yaliyo na utulivu. Kwa maana nilikasirika kidogo tu, lakini wao wakasababisha madhara mabaya.
and wrath great: large I be angry upon [the] nation [the] secure which I be angry little and they(masc.) to help to/for distress: harm
16 Kwa hiyo Yahwe wa majeshi asema hivi: Nimeirudia Yerusalema kwa huruma. Hivyo nyumba yangu itajengwa ndani yake - asema Yahwe wa majeshi. Kipimo kitanyoshwa juu ya Yerusalemu!
to/for so thus to say LORD to return: return to/for Jerusalem in/on/with compassion house: home my to build in/on/with her utterance LORD Hosts (and line *Q(K)*) to stretch upon Jerusalem
17 Ita tena, ukisema, 'Yahwe wa majeshi asema hivi: Miji yangu kwa mara nyingine itajawa na uzuri, na Yahwe ataifariji tena Sayuni, na kuichagua Yerusalemu kwa mara nyingine tena.”
still to call: call out to/for to say thus to say LORD Hosts still to flow city my from good and to be sorry: comfort LORD still [obj] Zion and to choose still in/on/with Jerusalem
18 Kisha nikainua macho na kuona pembe nne!
and to lift: look [obj] eye my and to see: see and behold four horn
19 Nikaongea na malaika aliyesema nami, “Hivi ni vitu gani? Akanijibu “hizi ni pembe zilisosababisha kutawanyika kwa Yuda, Israeli, na Yerusalemu.”
and to say to(wards) [the] messenger: angel [the] to speak: speak in/on/with me what? these and to say to(wards) me these [the] horn which to scatter [obj] Judah [obj] Israel and Jerusalem
20 Kisha Yahwe akanionesha mafundi stadi wanne.
and to see: see me LORD four artificer
21 Nikasema, “Watu hawa wanakuja kufanya nini?” Akajibu na kusema, “Hizi ni pembe zililoitawanya Yuda na hakuna mtu angeweza kuinua kichwa chake. Lakini watu hawa wanakuja kuziondoa, kutupa chini pembe za mataifa yaliyoinua nguvu zao kinyume cha nchi ya Yuda na kuisambaza.”
and to say what? these to come (in): come to/for to make: do and to say to/for to say these [the] horn which to scatter [obj] Judah like/as lip: according man not to lift: kindness head his and to come (in): come these to/for to tremble [obj] them to/for to give thanks [obj] horn [the] nation [the] to lift: fight horn to(wards) land: country/planet Judah to/for to scatter her

< Zekaria 1 >