< Zekaria 1 >

1 Katika mwezi wa nane mwaka wa pili wa kutawala kwake Dario, neno la Yahwe lilimjia nabii Zekaria, mwana wa Berekia mwana wa Ido, kusema,
Darius siangpahrang uknae, a kum pahni, thapa yung taroe nah, Iddo e capa Berekhiah capa profet Zekhariah koe BAWIPA ni a dei pouh e lawk teh,
2 “Yawhe alikuwa na hasira sana juu ya baba zenu!
BAWIPA teh nangmae na mintoenaw koe a lungkhuek poung toe.
3 Wambie, 'Yahwe wa majeshi asema hivi: Nirudieni! - nami nitawarudia ninyi, asema Yahwe wa majeshi.
Hateiteh, ransahu BAWIPA ni ahnimouh hanlah kâ a poe e teh, Kai koevah bout ban awh leih, Kai hai nangmouh koe ka ban han telah a ti.
4 Msiwe kama baba zenu ambao hapo zamani manabii waliwambia, wakisema, “Yahwe wa majeshi asema hivi: Geukeni kutoka katika njia zenu za mbaya na matendo yenu mabaya!” Lakini hawakuweza kusikia wala kunijari - asema Yahwe.'
Ayan e profetnaw ni nangmae kahawihoehe lam, kahawihoehe nuencangnaw atuvah roun awh, telah ransahu BAWIPA ni a dei e pathang nakunghai, na thai awh hoeh, kaie lawk hai na ngai awh hoeh. Na mintoenaw patetlah awm awh hanh, sak awh hanh telah BAWIPA ni a ti.
5 Wako wapi baba zenu? Na manabii, je wapo hapa daima?
Mintoe naw na maw ao awh. Profetnaw yungyoe a hring a maw.
6 Lakini maneno yangu na maagizo niliyowaamru watumishi wangu manabii, je hayakuwapata baba zenu? Hivyo walitubu na kusema, 'Kama vile Yahwe wa majeshi alivyokusudia kututenda kwa kadili zinavyostahili njia na matendo yetu, ndivyo alivyotutenda.”
Ka san profetnaw koe lawk ka thui e kaie kâlawknaw teh, nangmae mintoenaw ni hai a kei awh nahoehmaw. Ahnimouh ni mae tawksak e patetlah ransahu BAWIPA ni lawk na ceng han telah a pouk awh e patetlah, lawk na ceng toe telah a dei awh nahoehmaw telah a ti.
7 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, ndiyo mwezi wa Shebati, mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Yahwe lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido, akasema,
Darius siangpahrang a bawinae kum pahni, Adar thapa yung hlaibun nah, Shebat thapa hnin 24 nah, Iddo capa, Berekhiah capa Zekhariah koe ka tho e BAWIPA e lawk teh,
8 “niliona wakati wa usiku, na tazama! mtu alikuwa amepanda farasi mwekundu, naye alikuwa kati ya miti ya mihadasi iliyoko bondeni; na nyuma yake kulikuwa na farasi mwekundu, farasi wa kijivu, na farasi mweupe.”
Karum vah ka hmu e vision teh marang paling kâcui e tami buet touh a kamnue teh ayawn kaawm e tuihan hmang um vah a kangdue. Ahnie a hnukkhu lah ka paling e marang, opaou e marang hoi marang pangaw ao.
9 Nikauliza, “Bwana, hivi ni vitu gani?” Malaika aliyesema nami akaniambia, “Nitakueleza vitu hivi ni nini.”
Kai niyah, Oe BAWIPA hotnaw hah apinaw maw telah ka pacei teh, kai hoi kâpan e kalvantami ni hotnaw teh apine tie na patue vai ati teh,
10 Kisha mtu aliyesimama kati ya miti ya mihadasi akajibu na kusema, “Hawa ndiyo Yahwe aliowatuma kuzunguka katika dunia yote.”
Tuihan hmang um kangdout e tami ni ahnimanaw teh talai van dawk kâhei hanlah BAWIPA ni a patoun e naw doeh telah a ti.
11 Wakamjibu malaika wa Yahwe aliyekuwa amesimama kati ya miti ya mihadasi na kumwambia, “Tumekuwa tukizunguka duniani pote; tazama, dunia yote imekaa na kutulia.”
Ahnimanaw nihaiyah kaimanaw teh talai van pueng koung katin awh toe. Talai pueng lungmawngcalah ao telah tuihan hmang um ka kangdout e BAWIPA e kalvantami koe atipouh.
12 Ndipo malaika wa Yahwe alipojibu na kusema, “Yahwe wa majeshi, hata lini usiuhurumie Yerusalemu na miji ya Yuda ambayo imeteswa na kudhurumiwa miaka hii sabini?”
Hathnukkhu, BAWIPA e kalvantami ni Oe, ransahu BAWIPA nang ni a kum 70 totouh na lungkhuek sin e Jerusalem kho hoi Judahnaw hah na tueng totouh maw pahren laipalah na o han telah a pacei navah,
13 Yahwe akamjibu malaika aliyekuwa amesema nami, kwa maneno mazuri, maneno ya faraja.
Kai hoi ka pato roi e kalvantami hanelah BAWIPA ni lawk kahawi, lungpahawinae lawk bout a dei pouh.
14 Hivyo malaika aliyekuwa anaongea nami akaniambia, “Ita kwa sauti na useme 'Yahwe wa majeshi asema: Nina wivu kwa ajili ya Yerusalemu yaani Sayuni kwa uchungu mkubwa!
Kai hoi ka pato roi e kalvantami nihaiyah ransahu BAWIPA e kâlawk patuen a dei vaiteh a hramkhai hane teh, kai teh Jerusalem hoi Zion mon hanelah puenghoi lungpatawnae ka tawn.
15 Nami nina hasira juu ya mataifa yaliyo na utulivu. Kwa maana nilikasirika kidogo tu, lakini wao wakasababisha madhara mabaya.
Lung awpawp kamawng lah kaawm e alouke miphunnaw koe ka lungphuen poung. Bangkongtetpawiteh, Jerusalem hah ka lung youn touh ka khuek sin navah, ahnimouh ni a ven awh teh a rektap awh.
16 Kwa hiyo Yahwe wa majeshi asema hivi: Nimeirudia Yerusalema kwa huruma. Hivyo nyumba yangu itajengwa ndani yake - asema Yahwe wa majeshi. Kipimo kitanyoshwa juu ya Yerusalemu!
Hatdawkvah, BAWIPA ni a dei e teh, lungmanae lungthin hoi Jerusalem kho vah bout ka tho toe. Hete khopui dawk kamae im ka sak han. Khopui hmuen hai ka bangnue han telah ransahu BAWIPA ni a ti.
17 Ita tena, ukisema, 'Yahwe wa majeshi asema hivi: Miji yangu kwa mara nyingine itajawa na uzuri, na Yahwe ataifariji tena Sayuni, na kuichagua Yerusalemu kwa mara nyingine tena.”
Hahoi, ransahu BAWIPA ni kâ a poe e bout hramkhai hane teh, kaie khopui teh avoivang lah akaw vaiteh ahawi han. BAWIPA ni hai Zion khocanaw a lung bout a pahawi han. Jerusalem khocanaw teh bout ka rawi vaiteh ka khetyawt han a ti.
18 Kisha nikainua macho na kuona pembe nne!
Hathnukkhu, ka khet navah ki pali touh ka hmu.
19 Nikaongea na malaika aliyesema nami, “Hivi ni vitu gani? Akanijibu “hizi ni pembe zilisosababisha kutawanyika kwa Yuda, Israeli, na Yerusalemu.”
Kai hoi ka pan roi e kalvantami hanelah, hote a kinaw teh bang ti ngainae maw telah ka pacei navah, hote a kinaw teh Judah ram, Isarel ram, Jerusalem khopuinaw pheng kampek sak e ki doeh telah a dei.
20 Kisha Yahwe akanionesha mafundi stadi wanne.
BAWIPA ni hai lettama pali touh na patue.
21 Nikasema, “Watu hawa wanakuja kufanya nini?” Akajibu na kusema, “Hizi ni pembe zililoitawanya Yuda na hakuna mtu angeweza kuinua kichwa chake. Lakini watu hawa wanakuja kuziondoa, kutupa chini pembe za mataifa yaliyoinua nguvu zao kinyume cha nchi ya Yuda na kuisambaza.”
Kai ni hetnaw heh bang sak hanelah maw a tho ti ka pacei navah, a kinaw hah apinihai a khet ngam hoeh nahanelah, Judahnaw kampek sak e a kinaw doeh. Hete lettamanaw ni Judah ram kampek sak hanelah ka tuk e a kinaw hah pâlei vaiteh, Jentelnaw e a kinaw hah ka dudam e naw doeh telah a ti.

< Zekaria 1 >