< Tito 1 >
1 Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo, kwa imani ya wateule wa Mungu na maarifa ya kweli iletayo utauwa.
Paulo, omukosi wa Nyamuanga intumwa ya Yesu Kristo, kulwekilisha lya bhasolwa bha Nyamuanga no bhwengeso bhwe chimali bhunu obhuleta obhulengelesi.
2 Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios )
Bhali mubhwiikanyo bhwo bhuanga bhwa kajanende bhunu Nyamuanga unu atakutula kwaika lulimi asosishe omulago gwa kajanende. (aiōnios )
3 Kwa wakati muafaka, alilifunua neno lake katika ujumbe alionipa mimi kuhubiri. Ilinipasa kufanya hivi kwa amri ya Mungu mwokozi wetu.
Omwanya gwejile gweya nasulula omusango gwaye mubhusimusi bhunu ananile naike. Janyiile okukola kutyo Nyamuanga alagiliye oyo ali mukisha weswe.
4 Kwa Tito, mwana wa kweli katika imani yetu. Neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Yesu Kristo mwokozi wetu.
Ku Tito, omwana we chimali mu likilisha lyeswe. Echigongo, lisasila no mulembe okusoka ku Nyamuanga Lata na Yesu Kristo omwelusi weswe.
5 Kwa sababu hii nalikuacha Krete, kwamba uyatengeneze mambo yote yaliyokuwa hayajakamilika na kuweka wazee wa kanisa kwa kila mji kama nilivyokuagiza.
Kwo nakolele ninkusiga Krete koleleki ugamalishe amagambo gone ganu galiga gachali okuwa no kutulako abhakaluka bha ikanisa bhuli musi lwa kutyo nakulagiliye.
6 Mzee wa kanisa lazima asiwe na lawama, mme wa mke mmoja, aliye na watoto waaminifu wasioshuhudiwa mabaya au wasio na nidhamu.
Omukaruka wa ikanisa asiga kubha ne soro, omulume wo mugasi umwi, unu ali na bhana bhalengelesi bhanu bhatakwaikwa mabhibhi nolwo bhulangi langi.
7 Ni muhimu kwa mwangalizi, kama msimamizi wa nyumba ya Mungu, asiwe na lawama. Asiwe mtu wa kelele au asiye jizuia. Lazima asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi, asiwe mtu wa kusababisha ugomvi, na asiwe mwenye tamaa.
Jiire omutangasha unu kemeleguluru inyumba ya Nyamuanga asige kubha ne soro. Atabha munu wa injogele amwi unu atakwibhalilila. Ni bhusi bhusi asige kubha mwangu wo kubhiililwa, asige kubha mutamiji, asige kubha unu kaletelesha obhulwani, asiga kubha wa inamba.
8 Badala yake: awe mtu mkaribishaji, apendaye wema. Lazima awe mtu mwenye akili timamu, mwenye haki, mcha Mungu, anayejitawala mwenyewe.
Nawe abhega mukumi wa bhagenyi, unu kenda obhwekisi. Jiire abhe no bhwenge bhwe kisi, ali mulengeresi, unu kamubhaya Nyamuanga, abhe mwilindi.
9 Awezaye kusimamia mafundisho ya kweli yaliyofundishwa, ili aweze kuwatia moyo kwa mafundisho mazuri na awezaye kuwarekebisha wote wanaompinga.
Abhe unu kemeregururu ameigisho ge chimari ganu geigisibhwe, koleleki atulega okukomesha emyoyo ku meigisho ge kisi kubhaiga abhajimamba.
10 Kwa kuwa kuna waasi wengi, hasa wale wa tohara. Maneno yao ni ya upuuzi. Wanadanganya na kuwaongoza watu katika upotovu.
Okubha bhalio bha nyantongwa bhanfu, muno muno abho rutendo. Emisango jebhwe ni jo bhulangi langi. Mbajigi jigi no kubhatangasha abhanu mubhujabhi.
11 Ni lazima kuwazuia watu kama hao. Wanafundisha yale wasiyopaswa kwa faida za aibu na kuharibu familia zote.
Jiire okubhaganya abhanu rwabho. Abheigisha bhinu bhitabheire kurwa mabhona go bhurigerige abhanyamula misi jone.
12 Mmoja wao, mtu mwenye busara, alisema, “Wakrete wana uongo usio na mwisho, wabaya na wanyama wa hatari, wavivu na walafi.”
Umwi webhwe, omunu wo bhwengeso, aikile, Abhakrete bhano lulimi lunu lutana bhutelo, bhabhibhi, ni ntyanyi mbibhi, ni bhalenga na bhatubhe.
13 Haya maelezo ni ya kweli, kwa hiyo uwazuie kwa nguvu ili kwamba waweze kusema kweli katika imani.
Okwaika okwo ni kwa chimari, kulwejo ubhaganye kwa managa gone koleleki bhaike echimari cha mukwikirisha.
14 Wewe usijihusishe na hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi au amri za watu, ambao hurudisha nyuma ukweli.
Awe usige otegeresha jingani ja Bhayaudi jinu jitari ja chimari amwi ebhiragiro bhya bhanu, bhanu abhafutatira ebhye chimari.
15 Kwa wote walio safi, vitu vyote ni visafi. Lakini kwa wote walio wachafu na wasioamini, hakuna kilicho kisafi. Kwa kuwa mawazo yao na dhamira zao zimechafuliwa.
Ku bhanu bherere, bhyone ni bhyeru. Nawe chitariwo chinu cheru kubhajabhi na bhanyantekirisha.
16 Wanakiri kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Wao ni waovu na wasiotii. Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema.
Abhaika ati chimumenyere Nyamuanga, mbe nawe mubhikorwa bhyebhwe abhamulema. Abho ni bhajabhi ka ni bhanyantongwa. Ka bhateire mu bhikorwa bhyone bhyone bhya kisi.