< Tito 3 >

1 Uwakumbushe kuwanyenyekea viongozi na mamlaka, kuwatii na kuwa tayari katika kila kazi njema.
Нагадуй їм, щоб начальства і власти слухали і корились, і до всякого доброго діла були готові,
2 Wakumbushe kutokumtendea mtu yeyote ubaya, waepuke majibizano, wawape nafasi watu wengine katika kufanya maamuzi, na kuonesha unyenyekevu kwa watu wote.
щоб нїкого не хулили, не були сварливі, а тихі, показуючи всяку лагідність до всїх людей.
3 Kwa kuwa sisi pia tulikuwa na mawazo potofu na wakaidi. Tulikuwa upotevuni na tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe. Tuliishi katika wivu na uovu. Tulichukiza na kuchukiana.
Були бо колись і ми нерозумні, непокірні, і зведені слуги похотям та всяким розкошам, живучи в злобі та завистї, гидкими бувши та ненавидячи один одного.
4 Lakini wakati huruma ya Mungu mwokozi wetu na upendo wake kwa wanadamu ulipoonekana,
Як же явилась благость і чоловіколюбиє Спаса нашого Бога,
5 haikuwa kwa matendo yetu ya haki tuliyofanya, bali alituokoa kwa neema yake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa upya na katika kufanywa upya kwa Roho Mtakatifu.
не з дїл праведних, що ми робили, а по своїй милости спас нас купеллю новорождення і обновлення Духа сьвятого,
6 Mungu alimwaga Roho Mtakatifu kwa wingi juu yetu kupitia Yesu Kristo mwokozi wetu.
котрого вилив на нас щедро через Ісуса Христа, Спасителя вашого,
7 Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios g166)
щоб оправдавшись благодаттю Його, зробились ми наслїдниками по надії життя вічнього. (aiōnios g166)
8 Huu ni ujumbe wa kuaminika. Ninawataka myanene kwa ujasiri mambo haya, ili kwamba wale wanaomwamini Mungu wawe na dhamira juu ya kazi nzuri ambayo aliiweka mbele yao. Mambo haya ni mazuri na yanafaida kwa ajili ya watu wote.
Вірне слово, і хочу, щоб про се ти впевняв, щоб котрі увірували в Бога, старались пильнувати добрих дїл. Добре воно і користне людям.
9 Lakini jiepusheni na mijadala ya kipumbavu, nasaba, mashindano, na migongano kuhusu sheria. Mambo hayo hayana maana wala faida.
Дурного ж змагання, та родоводів, та спорів, та сварок про закон цурай ся, бо вони не на користь і марні.
10 Mkataeni yeyote anayesababisha migawanyiko kati yenu. Baada ya onyo moja ama mawili,
Єретика чоловіка після первого і другого напомину, покинь,
11 jueni kwamba mtu wa jinsi hiyo ameiacha njia iliyo sahihi na anatenda dhambi na kujihukumu mwenyewe.
знаючи, що такий розвертаєть ся і грішить, осудивши сам себе.
12 Nitakapomtuma kwako Artemi au Tikiko, harakisha uje kwangu huku Nikopoli ambapo nimeamua kukaa kipindi cha baridi.
Як пришлю Артема до тебе або Тихика, постарайсь прийти до мене в Никополь: там бо надумавсь я зазимувати.
13 Harakisha na umtume Zena mtaalamu katika sheria, na Apolo, pasipo kupungukiwa na kitu.
Зину законника та Аполоса старанно випровадь, щоб нї в чому не мали недостатку.
14 Watu wetu lazima wajifunze kujishughulisha katika kazi nzuri ambazo zinagusa mahitaji muhimu ili kwamba wasije wakawa wasiozaa matunda.
Нехай і наші вчять ся пильнувати добрих дід для конечних погріб, щоб не були без овощу.
15 Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale watupendao katika imani. Neema iwe nanyi nyote.
Витають тебе усї, що зо мною. Витай тих, хто любить нас у вірі. Благодать з усїма вами. Амінь.

< Tito 3 >