< Tito 3 >

1 Uwakumbushe kuwanyenyekea viongozi na mamlaka, kuwatii na kuwa tayari katika kila kazi njema.
Vahupilise kuli nera kuva yendisi ni mivuso, kuva zuwa, kuli tukiseza kupanga mitendo milotu.
2 Wakumbushe kutokumtendea mtu yeyote ubaya, waepuke majibizano, wawape nafasi watu wengine katika kufanya maamuzi, na kuonesha unyenyekevu kwa watu wote.
Uva hupilise kusa nyefula zumwi, vasiye i nkani, kuzuminina vamwi kuva ni zira zavo, ni kuvonisa chishemo ku vonse vantu.
3 Kwa kuwa sisi pia tulikuwa na mawazo potofu na wakaidi. Tulikuwa upotevuni na tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe. Tuliishi katika wivu na uovu. Tulichukiza na kuchukiana.
Kakuti hamwi naswe kena tuvali ku nahana zilotu ni kusechilira. Tuvali kuchengetwe ni kuva muzitamo ze minyaka isiyana ni ntakazo. Tuvali kuhala muvuvi ni muna. Tuvali ve zitoyo ni kuli toya zumwi ku zumwi.
4 Lakini wakati huruma ya Mungu mwokozi wetu na upendo wake kwa wanadamu ulipoonekana,
Kono cwale kushiyama kwe Ireza muhazi wetu ni lato lyakwe kuvantu livavoneki,
5 haikuwa kwa matendo yetu ya haki tuliyofanya, bali alituokoa kwa neema yake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa upya na katika kufanywa upya kwa Roho Mtakatifu.
kena ivali che mitendo ya kushiyama itu va pangi, kono kechishemo chakwe kuti ava tu hazi. A vatuhazi che kushajiwa ko kuzalwa chincha ni kusandulwa vuhya cho Luhuho lu Jolola.
6 Mungu alimwaga Roho Mtakatifu kwa wingi juu yetu kupitia Yesu Kristo mwokozi wetu.
Ireza cho vufumu ava chunki Luhuho lu Jolola hentu cha Muhazi Jesu Keresite.
7 Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios g166)
Ava pangi inchi ili kuti, kuwana kunyemunwa ke chishemo, katu wole kuva vayoli ve sepo yo vuhalo vusa mani. (aiōnios g166)
8 Huu ni ujumbe wa kuaminika. Ninawataka myanene kwa ujasiri mambo haya, ili kwamba wale wanaomwamini Mungu wawe na dhamira juu ya kazi nzuri ambayo aliiweka mbele yao. Mambo haya ni mazuri na yanafaida kwa ajili ya watu wote.
Iri ñusa lisepahala luli. Nisaka kuti u wambe cha vundume kuamana nezi zintu, iri kuti avo va sepete Ireza vave ne sepo hami tendo mirotu yava viki havusu bwavo. Inzi zintu zi lotu ni kuvozekeza ku vonse vantu.
9 Lakini jiepusheni na mijadala ya kipumbavu, nasaba, mashindano, na migongano kuhusu sheria. Mambo hayo hayana maana wala faida.
Kono usiye inkani zo vuholo ni masika ni kukanana ni kuzeka kuamana ni mulao. Izo zintu kazina intuso mi kakwina chizi vozekeza.
10 Mkataeni yeyote anayesababisha migawanyiko kati yenu. Baada ya onyo moja ama mawili,
Ukanine yense yo leta i kauhano mukati kenu, kuzwa ha yonke kamba zo vere inkalimero,
11 jueni kwamba mtu wa jinsi hiyo ameiacha njia iliyo sahihi na anatenda dhambi na kujihukumu mwenyewe.
mi wizive kuti uzo yenke chava sanduki kwi nzira i shiyeme mi u panga chivi ni kuli atula iye mwine.
12 Nitakapomtuma kwako Artemi au Tikiko, harakisha uje kwangu huku Nikopoli ambapo nimeamua kukaa kipindi cha baridi.
Hani tuma Atemasi kamba Tayichisi kwenu, uhwere ni kwiza kwangu kwa Nikopolisi, uko kuni vali keteri kuke kala hamaliha.
13 Harakisha na umtume Zena mtaalamu katika sheria, na Apolo, pasipo kupungukiwa na kitu.
U hwere ni ku tuma Zenasi, i chaziva mu mulao, ni Apolosi, cho mukwa ukuta kuti kanji vavuli chimwi.
14 Watu wetu lazima wajifunze kujishughulisha katika kazi nzuri ambazo zinagusa mahitaji muhimu ili kwamba wasije wakawa wasiozaa matunda.
Vantu ventu vaswanera kulituta kuva muzintu ze mitendo milotu isaka zintu haho iri kuti kanji ve kali nivasena misero.
15 Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale watupendao katika imani. Neema iwe nanyi nyote.
Vonse avo vena name vaku lumerisa. Ulumerise avo va tusaka mwi tumero. Chishemo chive nanwe mwenze.

< Tito 3 >