< Tito 3 >
1 Uwakumbushe kuwanyenyekea viongozi na mamlaka, kuwatii na kuwa tayari katika kila kazi njema.
Připomínej bratřím, ať respektují své státní zřízení a ať jsou ochotni ke každé obecně prospěšné práci.
2 Wakumbushe kutokumtendea mtu yeyote ubaya, waepuke majibizano, wawape nafasi watu wengine katika kufanya maamuzi, na kuonesha unyenyekevu kwa watu wote.
O nikom ať nemluví špatně, nehádají se, ale ať jsou mírní a vždycky ke všem vlídní.
3 Kwa kuwa sisi pia tulikuwa na mawazo potofu na wakaidi. Tulikuwa upotevuni na tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe. Tuliishi katika wivu na uovu. Tulichukiza na kuchukiana.
Vždyť i my jsme byli kdysi nerozumní, vzpurní, bloudili jsme bez cíle, otročili všelijakým vášním a v našem srdci sídlil hněv, závist a nenávist.
4 Lakini wakati huruma ya Mungu mwokozi wetu na upendo wake kwa wanadamu ulipoonekana,
Ale Bůh ukázal svou lásku a dobrotu a zachránil nás.
5 haikuwa kwa matendo yetu ya haki tuliyofanya, bali alituokoa kwa neema yake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa upya na katika kufanywa upya kwa Roho Mtakatifu.
Neučinil to kvůli našim kdovíjakým zásluhám, ale ze své laskavosti a soucitu. Očistil nás od všech hříchů a udělil svého Ducha, který v nás zrodil nový život.
6 Mungu alimwaga Roho Mtakatifu kwa wingi juu yetu kupitia Yesu Kristo mwokozi wetu.
Toho Ducha jsme dostali v hojnosti zásluhou Ježíše Krista a pouze z jeho dobroty.
7 Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios )
Již nyní smíme mít podíl na věčném životě, který toužebně očekáváme. (aiōnios )
8 Huu ni ujumbe wa kuaminika. Ninawataka myanene kwa ujasiri mambo haya, ili kwamba wale wanaomwamini Mungu wawe na dhamira juu ya kazi nzuri ambayo aliiweka mbele yao. Mambo haya ni mazuri na yanafaida kwa ajili ya watu wote.
Na všechno, co ti říkám, se můžeš spolehnout. Trvej na těchto slovech, aby se všichni, kdo věří v Boha, snažili vynikat dobrým jednáním. Je to nejen správné, ale i užitečné.
9 Lakini jiepusheni na mijadala ya kipumbavu, nasaba, mashindano, na migongano kuhusu sheria. Mambo hayo hayana maana wala faida.
Nenech se zatáhnout do debat o neřešitelných otázkách a sporných teologických myšlenkách a nepouštěj se do hašteření o závažnost židovského zákona; není to k ničemu a nikam to nevede, jen k hádkám.
10 Mkataeni yeyote anayesababisha migawanyiko kati yenu. Baada ya onyo moja ama mawili,
Toho, kdo si v tom libuje, varuj jednou, nanejvýš dvakrát. Nepomůže-li to, rozejdi se s ním;
11 jueni kwamba mtu wa jinsi hiyo ameiacha njia iliyo sahihi na anatenda dhambi na kujihukumu mwenyewe.
takový člověk hřeší vědomě a tím sám sebe odsuzuje.
12 Nitakapomtuma kwako Artemi au Tikiko, harakisha uje kwangu huku Nikopoli ambapo nimeamua kukaa kipindi cha baridi.
Chci k tobě poslat buďto Artemu nebo Tychika. Jakmile dorazí, přijď za mnou co nejdřív do Nikopole; rozhodl jsem se, že zimu přečkám tam.
13 Harakisha na umtume Zena mtaalamu katika sheria, na Apolo, pasipo kupungukiwa na kitu.
Právníka Zénu a Apolla vyprav na cestu pečlivě, aby jim nic nechybělo.
14 Watu wetu lazima wajifunze kujishughulisha katika kazi nzuri ambazo zinagusa mahitaji muhimu ili kwamba wasije wakawa wasiozaa matunda.
I věřící lidé se musí učit pomáhat potřebným a tak svou víru prokazovat v praxi.
15 Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale watupendao katika imani. Neema iwe nanyi nyote.
Všichni, co jsou se mnou, tě pozdravují. Pozdravuj také všechny naše přátele ve víře. Tvůj Pavel